Ndio umesema nini mkuu..mbona umeongea vitu viwili na kuvichanganya kirahisi na haraka sana? Tunahitajia karama, hujasema km hiyo karama tunahitaji sisi au rais? km ni Rais tukisubiri ndio itakuja au?
Usemaje tumsaidie? ktk kampeni aliomba kura kwa kusema ushirikiano wa watanzania angeuhitaji?Je mlifikiria km asingepata huo ushirikiano na msaada nini njia mbadala?
Huwa napata shida wasomi wa tz wakiongea maneno kirahisi rahisi bila uangalifu halafu wanataka wengine wayasikilize tuu na kuyakubali. Ulichoandika hapa ni dhambi kubwa sana. Na hii ndio michango yenu ktk neema na ktk dharura. Subiri hiyo karama, sidhani km una uwezo wa kuiona ikija kwa hizi fikra.