othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,676
- 9,080
Wanywa damu mnaumia sn.
Tulipotoka panatisha sn,
Ahsante mama, ahsante FAM.
Tulipotoka panatisha sn,
Ahsante mama, ahsante FAM.
John Cheyo akisoma comment yako anacheeka, anasema mlinisema sana kujiweka karibu na CCM, mbona na nyie mnafanya kama mimi sasa?😁😁Wanywa damu mnaumia sn.
Tulipotoka panatisha sn,
Ahsante mama, ahsante FAM.
Kuteseka ni sehemu ya struggle. Kama hutaki kuteseka kaa pembeni ili walio tayari hata kufa ili kuleta mabadilikio ya kweli washike usukani. Kuliko kusaliti stuggle na kuanza kujikombakomba kwa CCM bora ukae pembeni ulee wajukuu au ule bata kadri unavyoweza
John Cheyo akisoma comment yako anacheeka, anasema mlinisema sana kujiweka karibu na CCM, mbona na nyie mnafanya kama mimi sasa?
Tumeshawekeza nguvu nyingi sana kupitia CHADEMA kiasi kwamba ikianza kuwa CCM B tunakuwa tumepoteza miaka mingi sana ya nguvu tuliyoitumia kwenye chama hicho ambacho tumekisaidia kufika hapa kilipo kwa machozi, jasho na damuKwa nini akae pembeni wakati uwanja ni mkubwa tu na msiotaka maridhiano mnaweza kuleta mabadiliko kupitia huko kwingine??
Hili sio jibu la swali uliloulizwa na buccaneerKuteseka ni sehemu ya struggle. Kama hutaki kuteseka kaa pembeni ili walio tayari hata kufa ili kuleta mabadilikio ya kweli washike usukani. Kuliko kusaliti stuggle na kuanza kujikombakomba kwa CCM bora ukae pembeni ulee wajukuu au ule bata kadri unavyoweza
Wewe ni wa kufukuzwa chamani maana umekengeukaWapinzani sisi hatuelewi huo msimamo wa viongozi wa CDM kwa muongozo wa Mbowe. Wao viongozi waendelee na siasa za kujikomba, lakini sisi hatuna muda huo. Kama Mbowe aliweza kumpokea Lowassa na watu wakamvumilia, basi safari hii atajua hana ushawishi huo aliodhani anao. Ni muda mrefu Mbowe alishaonyesha kupoteza mwelekeo.
Yes. Ni kweli kabisa..Tuacheni kejeli instead tuwapongeze Samia na Mbowe kwa kuweka masilahi ya nchi yetu mbele kuliko kitu kingine chochote.
Hii nchi angeendelea kuwa hai yule HAYAWANI wa Chato ingekuwa nchi ya hovyo kuliko Yemen na Somalia
Muache aendee kuoza huko aliko
Humjui Mbowe.hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.
Kwa hiyo unataka kutwambia kuwa siasa kama za John Cheyo, Shibuda na Lyatonga Mrema ndiyo siasa makini au vipi?Yes. Ni kweli kabisa..
Sijui kina Missile of the Nation ni kwanini tu wanaendelea kulilia siasa za uhasama za kuviziana na kupigana risasi, kutekana, kupotezana na kuuana ziendelee..
Mimi naona mambo yanaendelea vizuri kabisa. Vyama vya upinzani vinaendelea na siasa za majukwaani vyema Kwa kuikosoa na kuisema CCM kwelikweli. Katika situation kama hii mtu anawezaje kudai upinzani umekufa? Umekufaje Kwa mfano? Kwa kuwa CCM na CHADEMA wameweza kukaa pamoja na kukubaliana kuachana na siasa za uhasama wa kuuana?
Aaah, please give me a break ndugu Missile of the Nation !!
Kwanin wewe unataka watu wataseke kwa niaba yao huku wewe ukiwa nyuma ya keyboard kama unaona wameshindwa kazi ingia mzigoni hujakatazwaKuteseka ni sehemu ya struggle. Kama hutaki kuteseka kaa pembeni ili walio tayari hata kufa ili kuleta mabadilikio ya kweli washike usukani. Kuliko kusaliti stuggle na kuanza kujikombakomba kwa CCM bora ukae pembeni ulee wajukuu au ule bata kadri unavyoweza
Kwani zikoje hizo?Kwa hiyo unataka kutwambia kuwa siasa kama za John Cheyo, Shibuda na Lyatonga Mrema ndiyo siasa makini au vipi?
Mfano south afrika wakati mandela kafungwa watu walikua wanaandamanaKwa hiyo unataka kutwambia kuwa siasa kama za John Cheyo, Shibuda na Lyatonga Mrema ndiyo siasa makini au vipi?
Mi mbowe hata nisikie ameenda ccm siwezi mlaumu na sina deni nayeHili sio jibu la swali uliloulizwa na buccaneer
Na kama unajibu kijeuri badala ya kuitetea hoja yako, na wewe unaweza kujibiwa kijeuri vivyo hivyo kwa kuambiwa kwamba, ukiona CHADEMA hakukufai nenda na tafuta njia uanzishe chama chako cha siasa kama kina Zito Kabwe uone kama ni rahisi..
By the way, ni kama huelewi vile kwa sababu hakuna aliyesaliti struggle bali hizo ni hisia zako za kutaka kuendelea kuishi maisha ya juzi ukashindwa kuelewa kuwa tunaishi leo kwa kuwa, nyakati na majira hubadilika. Mazingira ya kufanya siasa pia hubadilika na vivyo hivyo mikakati na mbinu hubadilika pia..!!