Baada ya matokeo ya Uchaguzi, kipi kuwa Chama kikuu cha upinzani?

Huu upuuzi mliujua na kwa tamaa zenu za ruzuku mkahitaji muhutest.

Umewapalia mnaanza kutupigia kelele.

Tulieni NGOSHA wanyooshe na kama mlitaraji mtufanye watanzania mitaji ya damu sahauni.

JIPANGENI 2025 msitegemee post za uzushi za kimambi kuwainua dunia ipo kwa kila kiganja cha mtanzania ukiongopa watanzania wanacheka siku ya Uchaguzi ukweli unapita WAJUMBE wanafanya yao.

Hatutegemei taarifa za Mange, huo upuuzi tumeuona kwa macho yetu.
 
Matokeo yameonyesha kuwa ACT Wazalendo imepata wabunge 3, CUF imepata wabunge 3 na CHADEMA imepata mbunge 1.

Hata hivyo kuna uwezekano wabunge wa CHADEMA kuongezeka baada ya uteuzi wa wabunge wa viti maalumu, halikadhalika kwa ACT Wazalendo na CUF.

Je, CHADEMA itaendelea kuwa ni chama kikuu cha upinzani japokuwa kikanuni imeshapoteza sifa ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?

Maendeleo hayana vyama!
Uchaguzi upi?
 
Chama kikuu cha upinzani kitakuwa ni ACT Wazalendo, kwasababu kule Zanzibar, Dr. Mwinyi atawateulia Wawakilishi 5, na huku bara, japo Watanzania wamewakataa kata kata wapinzani, bila a strong oversight committees, checks and balance ya serikali Bungeni itakosekana kabisa, hivyo, tunamuombea Zitto na Lissu, wateuliwe na JPM ili kusisimua upinzani, ZZK ndio atakuwa KUB, Lissu aendelee kuwa Mnadhimu Mkuu. Mdee ataingia viti maalum Chadema, watapata kama viti 5 hivi.

Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, aliyeshinda ameshinda kwa haki na kihalali, na hii ndio a Tanzanian Democracy is part of African Democracy, nchi inaweza kufanya uchaguzi wa vyama vingi, halafu chama kimoja kikashinda kwa 99%, na bado uchaguzi huo ukawa huru na wa haki, determinant ya ushindi sio votes casted but votes counted, japo kulikuwa na dosari ndogo ndogo, bado JPM na CCM walikuwa washinde tuu, and if there was anything done behind the closed doors, whatever it is, its not the factor of victory but kujazia tuu kiwango cha kishindo cha asilimia za ushindi, ila ushindi wa CCM na Magufuli kwenye uchaguzi Mkuu huu, mimi niliutaja tangu ile tarehe 28 October, 2015, watu wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii!.

Tulisema humu kila kitu!.
P
Kama dosari gani zilijitokeza
 
Matokeo yameonyesha kuwa ACT Wazalendo imepata wabunge 3, CUF imepata wabunge 3 na CHADEMA imepata mbunge 1.

Hata hivyo kuna uwezekano wabunge wa CHADEMA kuongezeka baada ya uteuzi wa wabunge wa viti maalumu, halikadhalika kwa ACT Wazalendo na CUF.

Je, CHADEMA itaendelea kuwa ni chama kikuu cha upinzani japokuwa kikanuni imeshapoteza sifa ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?

Maendeleo hayana vyama!
Mazoea ya kuishi kwa kukariri.

Angalia katiba inasemaje?
 
Panic at your own risk. Imeisha hiyooooooooooo
Siyo suala la stress, ila tu kusikitishwa. Hata ccm wenye akili sawasawa wamehuzunishwa. Chaguzi zote tangu kuanza vyama vingi, zilikuwa na mapungufu makubwa, lakini angalau zinaweza kuitwa chaguzi. Huu wa Magufuli wala siyo uchaguzi
 
Kama zipi sasa nimeuliza,Mana yake na cc huku mtaani kilasiku tunadiscus dosari za uchaguzi
Sisi wengine ni watu wa mambo makubwa, hivyo kunapotokea dosari ndogo ndogo, huwa hatuzizingatii, hapa nakutajia baadhi
P
 
Kama walishajua wamejipanga kuvuruga uchaguzi kwa wizi wa kura wa kitoto kwanini walitumia gharama kubwa za kujitangaza zikiwemo posters,mabango makubwa,brochures,wasanii na kila aina ya vikolombwezo?
Je hayo si matumizi mabaya ya rasilimali fedha?
Je hizo siyo dharau kwa watanzania?
Je watu watu hao wanawapenda kweli wanyonge (ila mimi siyo mnyonge)?
Je ni kweli wanauchingu na hali duni ya maisha ya mtanzania?
Je kiongozi mwenye kupenda haki na umoja anahubiri utengano?
Je kukinzana kwa mitazamo,milengo na hoja ni dhambi?
Je sawa kwa kiongozi kutaka kuabudiwa na kusujudiwa?

Yote ya yote, KWANI ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
 
Matokeo yameonyesha kuwa ACT Wazalendo imepata wabunge 3, CUF imepata wabunge 3 na CHADEMA imepata mbunge 1.

Hata hivyo kuna uwezekano wabunge wa CHADEMA kuongezeka baada ya uteuzi wa wabunge wa viti maalumu, halikadhalika kwa ACT Wazalendo na CUF.

Je, CHADEMA itaendelea kuwa ni chama kikuu cha upinzani japokuwa kikanuni imeshapoteza sifa ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?

Maendeleo hayana vyama!
Viti maalum huanzia wabunge wa 5
 
Majina tayari yapo tume na CHADEMA wana nafasi 20 ni kuwateua tu. Hawataweza kukataa kwa sababu muhimu hapa sitataja. Kwa hiyo CHADEMA wataendelea kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni
 
Thibitisha
Sema kingine
Screenshot_2020-11-05-16-42-44.jpg
IMG_20201105_164332_264.jpg
 
Back
Top Bottom