Baada ya matokeo ya Uchaguzi, kipi kuwa Chama kikuu cha upinzani?

Chama cha upinzani cha nini tena Bwashee, lengo lilikuwa kuuwa upinzani na mmefanikiwa unawezaje kutamani tena chama kikuu cha upinzani?

Imeisha hiyo! Hakuna chama cha upinzani sasa hivi, CCM ina wanachama mil 60 sasa raia wote
 
Matokeo yameonyesha kuwa ACT wazalendo imepata wabunge 3, CUF imepata wabunge 3 na CHADEMA imepata mbunge 1...
Chama kikuu cha upinzani kitakuwa ni ACT Wazalendo, kwasababu kule Zanzibar, Dr. Mwinyi atawateulia Wawakilishi 5, na huku bara, japo Watanzania wamewakataa kata kata wapinzani, bila a strong oversight committees, checks and balance ya serikali Bungeni itakosekana kabisa, hivyo, tunamuombea Zitto na Lissu, wateuliwe na JPM ili kusisimua upinzani, ZZK ndio atakuwa KUB, Lissu aendelee kuwa Mnadhimu Mkuu. Mdee ataingia viti maalum Chadema, watapata kama viti 5 hivi.

Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, aliyeshinda ameshinda kwa haki na kihalali, na hii ndio a Tanzanian Democracy is part of African Democracy, nchi inaweza kufanya uchaguzi wa vyama vingi, halafu chama kimoja kikashinda kwa 99%, na bado uchaguzi huo ukawa huru na wa haki, determinant ya ushindi sio votes casted but votes counted, japo kulikuwa na dosari ndogo ndogo, bado JPM na CCM walikuwa washinde tuu, and if there was anything done behind the closed doors, whatever it is, its not the factor of victory but kujazia tuu kiwango cha kishindo cha asilimia za ushindi, ila ushindi wa CCM na Magufuli kwenye uchaguzi Mkuu huu, mimi niliutaja tangu ile tarehe 28 October, 2015, watu wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii!.

Tulisema humu kila kitu!.
P
 
2/3 ya wapiga kura walipuuza hayo maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Ili Upinzani kutambulika na kurhusiwa kuunda Kambi rasmi ya Upinzani bungeni kuna idadi ya viti lazima ifikishe

Changamoto iliyopo ni ya Urafiki wa Mashaka kati ya Chadema na ACT, wote hawaaminiani, Chadema wanaweza wakasusia kwenda Bungeni, ACT waka take advantage na kinyume chake
ACT inaweza ikatangaza kususia Chadema wakaona watumie fursa hiyo!
 
Ili Upinzani kutambulika na kurhusiwa kuunda Kambi rasmi ya Upinzani bungeni kuna idadi ya viti lazima ifikishe


Changamoto iliyopo ni ya Urafiki wa Mashaka kati ya Chadema na ACT, wote hawaaminiani, Chadema wanaweza wakasusia kwenda Bungeni, ACT waka take advantage na kinyume chake
ACT inaweza ikatangaza kususia Chadema wakaona watumie fursa hiyo!
Urafiki wa mashaka kweli kweli, Muungano kati ya msaliti na mzandiki.
 
Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, aliyeshinda ameshinda kwa haki na kihalali, na hii ndio a Tanzanian Democracy is part of African Democracy, nchi inaweza kufanya uchaguzi wa vyama vingi, halafu chama kimoja kikashinda kwa 99%, na bado uchaguzi huo ukawa huru na wa haki, determinant ya ushindi sio votes casted but votes counted, japo kulikuwa na dosari ndogo ndogo, bado JPM na CCM walikuwa washinde tuu, and if there was anything done behind the closed doors, whatever it is, its not the factor of victory but kujazia tuu kiwango cha kishindo cha asilimia za ushindi, ila ushindi wa CCM na Magufuli kwenye uchaguzi Mkuu huu, mimi niliutaja tangu ile tarehe 28 October, 2015, watu wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii!.

Tulisema humu kila kitu!.
P
Wacha ujinga mwamba! Kichwa kama makalio ya nyanda yako! Kwa taarifa yako na awamu hii unauma bench hapati uteyuzi hata kama utaenda kutambika huko kwenu Gamboshi!
 
Matokeo yameonyesha kuwa ACT Wazalendo imepata wabunge 3, CUF imepata wabunge 3 na CHADEMA imepata mbunge 1.

Hata hivyo kuna uwezekano wabunge wa CHADEMA kuongezeka baada ya uteuzi wa wabunge wa viti maalumu, halikadhalika kwa ACT Wazalendo na CUF.

Je, CHADEMA itaendelea kuwa ni chama kikuu cha upinzani japokuwa kikanuni imeshapoteza sifa ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?

Maendeleo hayana vyama!
Hakujawahi kuwa na uchaguzi. Kilichofanyika ni ushenzi. Hivyo hakuna chama kikuu cha upinzani maana hao waliopita kutoka upinzani hawataenda kuapishwa. Kwenda kuapishwa ni kubariki ushenzi
 
Back
Top Bottom