Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!

Pamoja na yote yanayosemwa kumhusu mtu huyu, bandiko hili bado linasimama.
Paskali
We sio mzima Paskali....
Bandiko hili limeshakufa, ni kumaanisha kuongozwa na Rais alie na jinai?? Kosa la kugushi, minimum sentensi ni miaka 7, ukijumlisha na hii, tayari ni 2024....plus, kunakipindi ambacho ukitoka jela ndio unaruhusiwa kugombea, sio hapo hapo...kimsingi...nenda katafute mganga wa kienyeji wa kihindi, japo kuhisi hizi fikra zinaweza kuwa +ve
 
We sio mzima Paskali....
Bandiko hili limeshakufa, ni kumaanisha kuongozwa na Rais alie na jinai?? Kosa la kugushi, minimum sentensi ni miaka 7, ukijumlisha na hii, tayari ni 2024....plus, kunakipindi ambacho ukitoka jela ndio unaruhusiwa kugombea, sio hapo hapo...kimsingi...nenda katafute mganga wa kienyeji wa kihindi, japo kuhisi hizi fikra zinaweza kuwa +ve
Not guilty until proven!. Sifa yake kuu ni uthubutu wa hali lakini sasa ameongeza sifa ya ziada ya perseverance, ustahilivu mkubwa , uvumilivu wa makuu na uking'ang'anizi ambazo ni sifa za kiongozi bora.

Paskali
 
Kama kweli mko serious na mnataka awe Rais ajaye, cha kufanya kwa sasa ni kumsafisha na kashfa ya vyeti. Please be serious...Mshaurini aache kwenda kulia lia makanisani, aonyeshe vyeti vyake na afafanue utata wa majina yake unaojadiliwa kweye vyombo vya habari.
 
hiii nchi ikichukuliwa tena na makonda 2025 basi kwa miaka 20 watanzania wengi watakuwa wamepoteza dira zao ndoto nyingi zitakuwa zimekufa maaana ndani ya hii miaka 10 tayri ndoto na malengo nyingi za watu zitakufa watu watapata shda sna viongzi wanaojaribu jaribu wataliingiza taifa ktka hali mbaya ya kiuchumi watu wataishi nchini kwao kama wakimbizi viongiz wanapayuka leo kesho wanatenda kinyume na walichopayuka hapo awali hawana huruma wanpoomba kura wanlia kwa unyenyekevu lakini wakishapata inakuwa ni tatzo kubwa wanaona kama watatawala milele wanaongea lugha chafu kwa wahanga wanaropoka ropoka ovyovyo kama walezi wanongea kicheksho (comedy) nguvu kubwa ya kushawishi ,maombi ya kila mtu yanaitajika kuliokoa taifa hili lililopotea
 
Baada ya Makonda kuvamia Clouds Media siku ya Ijumaa usiku, then natafakari sana jinsi nilivyomkubali huyu jamaa.

Kiukweli Makonda asipotumbuliwa leo, then hawezi kutumbuliwa tena na tatizo sasa litakuwa sio Makonda bali tatizo ni...

Paskali.
 
Baada ya Makonda kuvamia Clouds Media siku ya Ijumaa usiku, then natafakari sana jinsi nilivyomkubali huyu jamaa.

Kiukweli Makonda asipotumbuliwa leo, then hawezi kutumbuliwa tena na tatizo sasa litakuwa sio Makonda bali tatizo ni...

Paskali.

Paschal Ulivunja Principle na kuukataa Ukweli, Ukweli huwa haupendi kupuuzwa puuzwa!
Ishu ya vyeti ni very serious kuliko kuvamia, lakini ulifumba macho wakati unajua kuna maelfu ya watu wameumizwa kwa hivyohivyo vyeti, na wewe unajua Karma inavyofanya kazi, Mkubwa wa nchi kapewa mtihani ili watu waone dhamira yake ya kweli kuhusu vyeti, na akifeli katika mtihani huu kuna consequences za kisiasa zitaandama political career yake!.

Ni kama Nyerere alivyounga mkono kujitenga kwa BIAFRA then miaka kadhaa baadae Aboud Jumbe akalianzisha kuhusu mamlaka zaidi ya Zanzibar!
 
Baada ya Makonda kuvamia Clouds Media siku ya Ijumaa usiku, then natafakari sana jinsi nilivyomkubali huyu jamaa.

Kiukweli Makonda asipotumbuliwa leo, then hawezi kutumbuliwa tena na tatizo sasa litakuwa sio Makonda bali tatizo ni...

Paskali.
Unatia huruma!! Nilikuonya kukimbilia verified ID hukuelewa!! Sifa za kitambo kidogo zikakuteka now unadhalilika!!

Mkiwa hamna chakusema heri mkae kimya!! Kwa utawala huu wale msiotaka kufikiri kabla ya kutenda mtadhalilika sana!!
 
Mkuu Uponjonchiman, nimekuleta hapa ili kukuonyesha tunavyomsupport dogo, ila sifa kubwa ya mwandishi yoyote wa habari ni kutafuta Ukweli na kuusema Ukweli no matter what.

Paskali
Kunasiku nilikuambia wazi unachotafuta utakipata, acha kuchumia tumbo fikiri kwa usahihi!!!
 
Nilikusifu sana kipnd umemuulza maswali mkuu wakati wa mkutano na waandshi wa habar. Ila nmesoma threads zako mbili znazotembea humu JF nmegundua jambo moja. Huenda umeanza kutumia tumbo sio ubongo. Vile vile umeweka usukuma mbele. Mzee rudi ktk misingi yako ya zamani. Tumbo huwa linaumbua sana.
 
Baada ya Makonda kuvamia Clouds Media siku ya Ijumaa usiku, then natafakari sana jinsi nilivyomkubali huyu jamaa.

Kiukweli Makonda asipotumbuliwa leo, then hawezi kutumbuliwa tena na tatizo sasa litakuwa sio Makonda bali tatizo ni...

Paskali.
Angalau kidogo japokuwa ulichelewa kupata ufahamu ila walau akili na fikra zako zimeanza kurudi na kukaa sawa
 
Baada ya Makonda kuvamia Clouds Media siku ya Ijumaa usiku, then natafakari sana jinsi nilivyomkubali huyu jamaa.

Kiukweli Makonda asipotumbuliwa leo, then hawezi kutumbuliwa tena na tatizo sasa litakuwa sio Makonda bali tatizo ni...

Paskali.
Kia hiyo umeamua kubadilisha gear angani juu kwa juu kama interchange za tazara na flyover za ubungo mataa
 
Not guilty until proven!. Sifa yake kuu ni uthubutu wa hali lakini sasa ameongeza sifa ya ziada ya perseverance, ustahilivu mkubwa , uvumilivu wa makuu na uking'ang'anizi ambazo ni sifa za kiongozi bora.

Paskali
Teh teh teh! Dah aisee nchii kwa kweli kuna vioja ila tusijilazimishe kumdhihaki Mungu wa kweli jamani nchi tunaitia laana sisi wenyewe
 
Sasa huyo Daud A. Bashite (Maranja) atakuwa na qualification gani ya kugombea urais?? Pascal wakati mwingi huwa unatokota, huku unachokitetea hakionekani. One of the requirements to run for that particular office ni kuwa ni kuwa na degree. Sasa kijana wa Kolomije anayo degree ya haki??? Jamaa shule ni mweupe, labda katiba ibadilishwe ili kum-accommodate Kolomije Line. Njaa na ukabila vibaya sana.
 
Back
Top Bottom