dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Salaam Wakuu,
Kwa kuwa ameonekana kutokukubaliana na Sera za Rais Samia, alitakiwa ajiuzulu bila Shuruti.
Paul Makonda ni Mwenezi wa CCM na Samia Suluhu ni Mwenyekiti. Mwenezi hakubaliani na Mwenyekiti, anatakiwa aachie ngazi kuliko kutengeneza mtatandao wa matajiri kwa nia Ovu.
Siku zote Rais Samia amesema Serikali yake ni awamu ya Sita. Makonda anasema Serikali ni ya awamu ya tano sababu inatumia Ilani ya awamu ya tano. Je, anabishana na Rais wake?
Kuna maneno anaongea kumkejeli mtu aliyemteua kana kwamba hajui kazi. Mfano anasema "Nabadilika kutokanana Mazingira, Ningeteuliwa kipindi cha Magufuli Chuma, wale jamaa wangenyooka - unatamani kupiga panchi onaona Mama sio Mapigo yake" Hizi ni dharau kwa rais. Kwamba Samia sio Chuma? Wakati kakupa uteuzi?
Kwa nafasi yake ya Uenezi anasema tusimtofautishe Rais Samia na Hayati Magufuli. Kwanini anakataa tusimtofautishe wakati tofauti zinaonekana?
1. Rais Samia Kaunganisha Nchi wakati Magufuli aliisambaratisha
2. Rais Samia kafungua Nchi kipindi cha Magufuli tulikuwa kama Kisiwani
3. Rais Samia hakuna Utekaji wala watu kupotea kipindi cha Magufuli tulikuwa tunaokota Maiti kwenye zimefungwa kwenye Gunia zikielea Coco beach.
4. Rais Samia hanyang'anyi pesa za mtu zilizopo Benki, kipindi cha Magufuli alikuwa anatuma watu wakague mabenki nani ana fedha nyingi kisha wanamfungulia kesi ya Uhujumu Uchumi baadaye anawataka wagawane hela zilizopo Benki ili wawe huru
5. Rais Samia karuhusu Mikutano ya Siasa, Kipindi cha Magufuli hapakuwa na Mkutano ya siasa
6. Rais Samia anatupa tume huru wakati wa Magufuli alikuwa anaengua watu na Wagombea wa Vyama vya upinzani wanafungwa jela wakitoka CCM ishashinda.
7. Tais Samia yupo kwenye Mchakato wa kutupa Katiba Mpya, Wakati wa Magufuli alisema haliitangaza kwenye ilani ya CCM.
Yapo mengi sana.. Sasa hivi Watanzania wanafuraha na wqnatabasamu nk.
Halafu Makonda anatokea huko eti Magufuli na Samia ni kitu kimoja.
Paul Makonda anadanganywa na Polepole. Nia yake ni kumtoa Rais Samia kwenye reli.
Alichukua hela za matajiri, kaenda kufanya Mikutano kanda ya Ziwa ili kumtisha Mama kwamba bila Makonda Samia hapati kura. Anajidanganya.
Ni wakati wa Samia kumpangia kazi nyingine. Sababu ubalozi wenyewe alishapigwa ban kwenda Marekani wala kuhudhuria Mikutano inayoongozwa na Marekani kwa kosa la kudhurumu uhai wa binadamu alipokuwa Mkuu wa Mkoa.
Makonda ni Jumba bovu. Asimuangukie Rais wetu bado tunamtegemea. Alituvusha salama kipindi cha Msiba wa Taifa na Bado Kasimama.
Makonda asimchafue. Amuache awaletee maendeleo Watanzania. Asilinganishwe na yoyote
Kwa kuwa ameonekana kutokukubaliana na Sera za Rais Samia, alitakiwa ajiuzulu bila Shuruti.
Paul Makonda ni Mwenezi wa CCM na Samia Suluhu ni Mwenyekiti. Mwenezi hakubaliani na Mwenyekiti, anatakiwa aachie ngazi kuliko kutengeneza mtatandao wa matajiri kwa nia Ovu.
Siku zote Rais Samia amesema Serikali yake ni awamu ya Sita. Makonda anasema Serikali ni ya awamu ya tano sababu inatumia Ilani ya awamu ya tano. Je, anabishana na Rais wake?
Kuna maneno anaongea kumkejeli mtu aliyemteua kana kwamba hajui kazi. Mfano anasema "Nabadilika kutokanana Mazingira, Ningeteuliwa kipindi cha Magufuli Chuma, wale jamaa wangenyooka - unatamani kupiga panchi onaona Mama sio Mapigo yake" Hizi ni dharau kwa rais. Kwamba Samia sio Chuma? Wakati kakupa uteuzi?
Kwa nafasi yake ya Uenezi anasema tusimtofautishe Rais Samia na Hayati Magufuli. Kwanini anakataa tusimtofautishe wakati tofauti zinaonekana?
1. Rais Samia Kaunganisha Nchi wakati Magufuli aliisambaratisha
2. Rais Samia kafungua Nchi kipindi cha Magufuli tulikuwa kama Kisiwani
3. Rais Samia hakuna Utekaji wala watu kupotea kipindi cha Magufuli tulikuwa tunaokota Maiti kwenye zimefungwa kwenye Gunia zikielea Coco beach.
4. Rais Samia hanyang'anyi pesa za mtu zilizopo Benki, kipindi cha Magufuli alikuwa anatuma watu wakague mabenki nani ana fedha nyingi kisha wanamfungulia kesi ya Uhujumu Uchumi baadaye anawataka wagawane hela zilizopo Benki ili wawe huru
5. Rais Samia karuhusu Mikutano ya Siasa, Kipindi cha Magufuli hapakuwa na Mkutano ya siasa
6. Rais Samia anatupa tume huru wakati wa Magufuli alikuwa anaengua watu na Wagombea wa Vyama vya upinzani wanafungwa jela wakitoka CCM ishashinda.
7. Tais Samia yupo kwenye Mchakato wa kutupa Katiba Mpya, Wakati wa Magufuli alisema haliitangaza kwenye ilani ya CCM.
Yapo mengi sana.. Sasa hivi Watanzania wanafuraha na wqnatabasamu nk.
Halafu Makonda anatokea huko eti Magufuli na Samia ni kitu kimoja.
Paul Makonda anadanganywa na Polepole. Nia yake ni kumtoa Rais Samia kwenye reli.
Alichukua hela za matajiri, kaenda kufanya Mikutano kanda ya Ziwa ili kumtisha Mama kwamba bila Makonda Samia hapati kura. Anajidanganya.
Ni wakati wa Samia kumpangia kazi nyingine. Sababu ubalozi wenyewe alishapigwa ban kwenda Marekani wala kuhudhuria Mikutano inayoongozwa na Marekani kwa kosa la kudhurumu uhai wa binadamu alipokuwa Mkuu wa Mkoa.
Makonda ni Jumba bovu. Asimuangukie Rais wetu bado tunamtegemea. Alituvusha salama kipindi cha Msiba wa Taifa na Bado Kasimama.
Makonda asimchafue. Amuache awaletee maendeleo Watanzania. Asilinganishwe na yoyote