Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,138
Mshamba wewe...Wewe unayejifanya kutoa ushauri yawekana hata milioni 5 huna! Bagosha?
Unajua unaongea na nani hapa..?
Mshamba wewe...Wewe unayejifanya kutoa ushauri yawekana hata milioni 5 huna! Bagosha?
Pesa ya biashara haitaji kujaa ili uanze , biashara inapaswa kuanza kidogo na kukua , ata hizo 80 simshauri atie zote kwenye biasharaPesa ya biashara haitaji kujaa ili uanze , biashara inapaswa kuanza kidogo na kukua , hata hizo 80 simshauri atie zote kwenye biashara
Mkuu uswqzi utapangisha room kwa tsh ngapi!?Achana na biashara,sijui ufugaji,achana na kilimo,mazao....
Kwa 80m wekeza kwenye nyumba ya/za wapangaji na fremu(hii ni fixed asset),lenga pato/kusanyo la 1.5m kwa mwezi,nakuhakikishia huta kuja kunisahau
Jenga Rooms 20 (15 za makazi na 5 frame),uswazi room moja kila kitu inakula 3.2-3.5m
Kwa bahati mbaya umekwishachelewa. Ulipaswa kujipanga miaka miwili kabla ya kustaafu. Fixed deposit hailipi, ni kama mtaji mfu. Hiyo pesa inatakiwa izunguke ili kuweza kuzaa kuliko kuiacha tu Benki ambao wanaitumia kama mtaji wao. Biashara ina mizungu yake. Shangaa una nyanya nzuri sana pale sokoni lakini hupati mnunuzi Jirani yako ana nyanya wengine huziita "masala" lakini anauza kwa watengeneza chips kama tomato source na zinakwisha asubuhi tu.Nimekuwa kazini Kwa zaidi ya miaka thelathini na sita, mwaka Jana nimestaafu nimelipwa mafao yangu nikazifix benk mwaka mmoja baadae nataka nizitoe nifanye biashara, naomba ushauri wenu ziko zaidi ya 80m
Hapana kaka, naomba unitafutie ile kazi !!!!Unafanya biashara wewe..?
Sawa mkuuHapana kaka, naomba unitafutie ile kazi !!!!
Form 6 mmemaliza mitihani , karibuni sana uraiani.Nimekuwa kazini Kwa zaidi ya miaka thelathini na sita, mwaka Jana nimestaafu nimelipwa mafao yangu nikazifix benk mwaka mmoja baadae nataka nizitoe nifanye biashara, naomba ushauri wenu ziko zaidi ya 80m
Una hamu ya kuwa maskiniNimekuwa kazini Kwa zaidi ya miaka thelathini na sita, mwaka Jana nimestaafu nimelipwa mafao yangu nikazifix benk mwaka mmoja baadae nataka nizitoe nifanye biashara, naomba ushauri wenu ziko zaidi ya 80m
Hii ya kutopata faida mliyokubaliana ni pale unazitoa wakati wowote?Uzuri wake unaweza kuzitoa at any time,hakunaga masharti sema hautapata faida mliyokubaliana tu
Huyu ni poor brain mkuu! Anaona 80m ni kidogo eti lazima ifike milioni 100?Kwahiyo 80 mio ni ndogo ? Kwa biashara unajua kuna watu wana import kwa 80mio ? Na wanazungusha hiyo hela ?
ama ananunua kwa supplier hapa Tz kwa 80 mio ? Hiyo hiyo kama hujaishi kwenye industry ya biashara ni ngumu kunielewa,
Yap kama muda haujafika na umezihitaji pesa zako wanakupatia lakini hupati faida kwa kuwa umevunja makubalianoHii ya kutopata faida mliyokubaliana ni pale unazitoa wakati wowote?
Kaka nilichojifunza hela yoyote ni mtaji , ikiwa muhusika karidhia na anaona inafaa kwa ajili ya kuwa msingi wa biashara yake, unasikia mtu anasema nna mio tano utasikia mtu ety haitoshi mara nna million mia ety mtu anasema haitoshi ?Huyu ni poor brain mkuu! Anaona 80m ni kidogo eti lazima ifike milioni 100?
kweli kabxa mkuuKaka nilichojifunza hela yoyote ni mtaji , ikiwa muhusika karidhia na anaona inafaa kwa ajili ya kuwa msingi wa biashara yake, unasikia mtu anasema nna mio tano utasikia mtu ety haitoshi mara nna million mia ety mtu anasema haitoshi ?
Ni kiasi kipi kinatosha kuwa mtaji ?
Me nadhani woga na kujilinganisha kunatuponza sana aseeh hata mwenye MiO mia pengine alianza na ten mio au ishrin au chini ya hapo lakini nidhamu yake na kutokukata tamaa kukamfikisha alipo.
Mtaje jina uone atakavyokuwashia tanuri😂😂😂😂😂😂😂😂 Kuna mwanangu sana kadanganywa na filter huko instagram mpaka sasa kachanganyikiwa unaambiwa 😂😂😂😂😂
Kama hujawahi fanya biashara, usijaribu kufanya biashara uzeeni! Weka hela zako UTT uwe unaishi kwa gawio. Otherwise utakuja kujutaNimekuwa kazini Kwa zaidi ya miaka thelathini na sita, mwaka Jana nimestaafu nimelipwa mafao yangu nikazifix benk mwaka mmoja baadae nataka nizitoe nifanye biashara, naomba ushauri wenu ziko zaidi ya 80m