Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,581
- 10,111
Lipia Tangazo
Monetary doctorFuga ngombe , kuku na samaki sato na kambale, pia wekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji 🤔
Toka nikiwa na miaka 8 nafuga sungura nakuuza na kuku kwa faida hivyo nina uzoefu wa miaka 35 na zaidiNi mfanya biashara mzoefu au chipukizi
Ukweli Sina uzoefu na biashara nilmudu kujenga nyumba ya kuishi na nyingine ya kupangisha ndo inanisaidia pamoja na pensheni ya Kila mwezi, asante Kwa ushauriChonde chonde ziache huko huko mzee wangu au kama ukizitoa huko benki kaziwekeze UTT kwani nafikiri riba yao ni nzuri,around 15%.
Kama wakati ulivyoajiriwa hukuwahi kufanya biashara usithubutu kuanzisha biashara sasa hivi.
Dogo kabebe tofali, umemchenga fundi wako saahizi hana kibarua huko. umesingizia umeenda chooni ili uingie JF kuwashauri watu kuhusu mambo ya fedhaMmmh milion 80 mbona kama bado hvi kwa biashara serious mkuu..
Naomba fanya hv tafuta tafuta upate hata milion 100 hv ndo uje tukupe ushauri
Evelyn Salt
Afate ushauri huu akiingia kwenye nondi miaka 2 mingi atalia na sukari juu huku akiwa na strokeFuga ngombe , kuku na samaki sato na kambale, pia wekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji 🤔
Asante sanaHichi ndio kinawakuta wastaafu wengi. Nguvu zimeisha, akili imechoka alafu uanze moja na biashara. Sector ambayo imejaa kila aina ya horror unayoifikiria. Kama ni biashara basi ilitakiwa ufanye wakati uko kazini ili hata ukistaafu ni kitendo cha kuendelea tu. Sababu mara nyingi kuanza biashara yoyote ile kupoteza kila kitu ni lazima ili kujifunza na wastaafu wengi huishia wakavu namna hiyo.
Nisikutishe bure mzee, kama una mwanao mkubwa anayejitambua na unayemuamini, mpe robo ya hizo pesa afanye biashara physical wewe uwe msimamizi, pesa nyingine iweke kama backup. Alafu kuwa makini na kuomba ushauri mitandaoni, wengi wanaandika tu bila kufikiria na wala sio wafanya biashara, ushauri wa biashara omba wafanya biashara unaowajua. Pia kuwa makini na biashara za kuwekeza, mitaani na hasa mitandaoni, matapeli wamejaa kila kona.
Kuna daktari amestaafu kutoka muhimbili nilimkuta anauza mayai kwenye kiduka-genge. Hivyo usitegemee vikubwa sana.
Bado nakubaliana nawewe aanze na uwekezaji wa m15-20 tu ni Hela nzuri sana zingine aziache huko zilikoPesa ya biashara haitaji kujaa ili uanze , biashara inapaswa kuanza kidogo na kukua , hata hizo 80 simshauri atie zote kwenye biashara
Kweli kabisaChonde chonde ziache huko huko mzee wangu au kama ukizitoa huko benki kaziwekeze UTT kwani nafikiri riba yao ni nzuri,around 15%.
Kama wakati ulivyoajiriwa hukuwahi kufanya biashara usithubutu kuanzisha biashara sasa hivi.
Nasikia kama UTT wako vizuri, ila sasa tayari ameshaweka mwaka mzima huko benki! Amefanya vizuri kuzifungia kwanza huko ili achekeche kichwa!Chonde chonde ziache huko huko mzee wangu au kama ukizitoa huko benki kaziwekeze UTT kwani nafikiri riba yao ni nzuri,around 15%.
Kama wakati ulivyoajiriwa hukuwahi kufanya biashara usithubutu kuanzisha biashara sasa hivi.
Naona unaangalia mazingira ya kumtapeli jamaaHongera Bro, nami nakufuata miaka machache ijayo. Ungesema uko mkoa gani ingawa jina linajionesha wewe ni wa Usukumani, sasa uko wapi ili watu wakushauri vizuri based on local context!
Ulikuwa fani Gani mkuu,ili Tuanzie hapo,eg Afisa mauzo,kilimo,TRA,Dr nk ili nikushauri,uendane na fani yake Usije kwamba njiani,!Nimekuwa kazini Kwa zaidi ya miaka thelathini na sita, mwaka Jana nimestaafu nimelipwa mafao yangu nikazifix benk mwaka mmoja baadae nataka nizitoe nifanye biashara, naomba ushauri wenu ziko zaidi ya 80m
Unless unapenda kufanya biashara, kama pesa hio (pensheni) inakutosheleza au unaishi according to your means wewe kula bata; Kustaafu ndio huko ni kupumzika na kufanya unachopenda sio kubadilisha kazi....
Hapo ndio linakuja suala la investmets ambazo ni low risk mfano kuweka pesa zako kwenye High Yield Savings Accounts
Endelea tuu kuzifixNimekuwa kazini Kwa zaidi ya miaka thelathini na sita, mwaka Jana nimestaafu nimelipwa mafao yangu nikazifix benk mwaka mmoja baadae nataka nizitoe nifanye biashara, naomba ushauri wenu ziko zaidi ya 80m
Anakula pention ya Kila mweziWakati anatafuta hiyo 100 atakuwa anaendelea kuitumia hii.80 atakujashtuka imebaki 50 au 30 kama ni biashara au mardi aanze now kukaaa na hela nyingi kama hii atajikuta anaifanyia matumizi ya siyo na lazima