TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,194
- 18,221
Unavuta shuka asubuhi?Nimekuwa kazini Kwa zaidi ya miaka thelathini na sita, mwaka Jana nimestaafu nimelipwa mafao yangu nikazifix benk mwaka mmoja baadae nataka nizitoe nifanye biashara, naomba ushauri wenu ziko zaidi ya 80m