tenga milion tano tu, anzisha kilimo cha mpunga au mahindi ila mahindi sikushauri sana ni gharama pia losi ipo karibu labda kama upo karibu na bonde utamwagilia.
pili hyo milion 25 iliyobaki kanunue mpunga vijijn uweke store mashine za mpunga ni bure kabxa, saiv junia sie tunanunua kwa laki moja. hapo utakuwa na junia 250.
mwez wa tatu au pili mwakan utaukoboa bei itakua imechangamka.
huenda kila junia ukawa na faida ya 50,000 na zaid endapo ukivuka 3000 kwa kilo.
50M kanunue bond au share na makampun yaliyo imara uwe unapata gawio.