Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 41,286
- 71,420
Wa kwangu juzi kuniambia BushDokta Mimi ni mzuri Sana, na ninajijua Mimi ni mzuri, Nikipita njiani kama kuna Wanaume 10, Kati Yao 9 lazima wageuke au wote 10 kabisa.Uko sahihi, alafu amepanda hewani, akigeuka huku na kule miluzi ni mingi
Akaonhgeza kwa kusema hata ukiniacha sijali, unarudi tu na hata usiporudi watakuja wengine. Ukinifumania I don't care nawaacha nyote mnarumbana naenda kulala kwa Mwingine.
Haya maneno yalikuwa ni ya dharau na majivuno ya hali ya juu, kwa sasa ana miaka 23, ni mzuri Sana. Nampa miaka 5 mbele maneno yake nimeyaandika kwa wino wa Moto.
Kwa uzoefu wangu wa miaka 30, wote walioniletea jeuri walirudi tena kwangu baada ya miaka 2 hadi 5 nilichowafanya na ambacho naendelea kuwafanya hadi Leo hii, na sasa hivi nimetoka kwa mmoja wao na kesho napokea Mwingine Mungu ndiye anajua