Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,924
- 61,707
- Thread starter
- #261
Ebu njoo twende wote tukakague viganjaKitu pekee ninachojua huyo mtoto itakuwa unamjua tangia mchanga,je hukukagua mfanano wa viungo japo kimoja?
Ebu njoo twende wote tukakague viganjaKitu pekee ninachojua huyo mtoto itakuwa unamjua tangia mchanga,je hukukagua mfanano wa viungo japo kimoja?
Kama itathibitika ni wa kwangu, hakutokuwa na shidaLakini mtoto anatakiwa malezi mkuu
Then you should not worrryyyNo one is yours, is just your turn.
Eeeh kabisa!Ebu njoo twende wote tukakague viganja
Not I shouldn't invest?Then you should not worrryyy
akishapata ki playboy chake hapo ndo baasi sikio la kufaa😅😅I guess hakuwa na zaidi ya miaka 30 na alikuwa na tako..Wadada wa aina niliyotaja hapo wanakuwaga huwaambii kitu katika peak yao wengi huwa na majuto mbeleni
Mkuu yeye alisahau imani aliweka hisia zake za kibinaadamu, ukiweka imani sana kwenye maisha utajiona wewe upo chini tu huwezi kwenda juu.Kiubinadamu hii ni ngumu, ila kiimani unaweza kujitwisha majukumu yasiyo ya lazima.
YarabiiiiTOBA
Waumini wakiwa na maisha mazuri, hawatakuwa na mapepo na sadaka (mapato) yatakosekana.Mkuu yeye alisahau imani aliweka hisia zake za kibinaadamu, ukiweka imani sana kwenye maisha utajiona wewe upo chini tu huwezi kwenda juu.
Kuna viongozi wa dini hutumia njia ya imani za wafuasi wao ili wao waishi maisha mazuri na waumini wao wakiwa na maisha duni sana.
Ata kama hakuna mahusiano tena?Msaidiekadiri ya uwezo wako
Inawezekana ikawa hivyo, ila jua ni kali sanaWewe ndio option B yenyewe Sasa! 😃
Zingatia hiliMkuu, mwanamke akishajua mtoto ni wako, hatokuwa na sababu ya kukwepa vipimo. Kama una shaka hata ya 1%, usithubutu kuinvest kwenye hiyo ada mwakani bila majibu ya daktari mkononi.
Matumizi yaendane na kipatoMe sijui kwanini wanaume mnaumiaga kwenye kuhudumia
Maringo yalikuwa mengi sanaMbona kama umefurahia?