Mazishi yangu
Member
- Aug 23, 2026
- 10
- 10
TOBA
Then you should not worrryyyNo one is yours, is just your turn.
Eeeh kabisa!Ebu njoo twende wote tukakague viganja
Not I shouldn't invest?Then you should not worrryyy
akishapata ki playboy chake hapo ndo baasi sikio la kufaa😅😅I guess hakuwa na zaidi ya miaka 30 na alikuwa na tako..Wadada wa aina niliyotaja hapo wanakuwaga huwaambii kitu katika peak yao wengi huwa na majuto mbeleni
Mkuu yeye alisahau imani aliweka hisia zake za kibinaadamu, ukiweka imani sana kwenye maisha utajiona wewe upo chini tu huwezi kwenda juu.Kiubinadamu hii ni ngumu, ila kiimani unaweza kujitwisha majukumu yasiyo ya lazima.
YarabiiiiTOBA
Waumini wakiwa na maisha mazuri, hawatakuwa na mapepo na sadaka (mapato) yatakosekana.Mkuu yeye alisahau imani aliweka hisia zake za kibinaadamu, ukiweka imani sana kwenye maisha utajiona wewe upo chini tu huwezi kwenda juu.
Kuna viongozi wa dini hutumia njia ya imani za wafuasi wao ili wao waishi maisha mazuri na waumini wao wakiwa na maisha duni sana.
Ata kama hakuna mahusiano tena?Msaidiekadiri ya uwezo wako
Inawezekana ikawa hivyo, ila jua ni kali sanaWewe ndio option B yenyewe Sasa! 😃
Zingatia hiliMkuu, mwanamke akishajua mtoto ni wako, hatokuwa na sababu ya kukwepa vipimo. Kama una shaka hata ya 1%, usithubutu kuinvest kwenye hiyo ada mwakani bila majibu ya daktari mkononi.
Matumizi yaendane na kipatoMe sijui kwanini wanaume mnaumiaga kwenye kuhudumia
Maringo yalikuwa mengi sanaMbona kama umefurahia?
Naam, kama rafiki tu. Matatizo anayopitia ni magumu kimwili na kiakili. Anahitaji sapot kifedha na hata kufarijiwa tu. Ningekushauri kwamba hiki sio kipindi cha kumuonyesha makucha.Ata kama hakuna mahusiano tena?
Amekufanya kuwa chaguo la piliIla ke wakiwa kwenye peak yao huwa hawaelewi ni kwa muda tu vinapita. Kuna dada mmoja nilimpenda sana kwa miaka mingi nikajaribu kila njia kuwa nae ila ananiweka karibu baada ya muda anabadilika mbaya zaidi nilifahamika hadi kwao wakijua ndio mkwe ila binti hakuwa siriaz hata kidogo kisa ex wake. Nikampotezea umepita mwaka majuzi kanicheki anasema ananipenda sana nikabaki hoi.