Baada ya kufikisha miaka 30 uligundua kimebadilika nini katika maisha yako?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,025
45,583
Nimebakisha miaka 4 kuingia 30.

Zamani tunakuwa tuliona miaka 30 ni mingi Sana ila sio kweli but it's just a stepping stone ni Mwanzo wa kuyaelekea Mafanikio Makubwa.

Jambo ambalo nimeona miaka 30 kwa TANZANIA Africa ndo Muda sahihi wa kujifanyia Self-Evaluation tathimini binafsi kwa kuangalia wapi ulikuwa wapi upo na wapi unahitaji ufike.

Pia katika miaka 30 unabidi kuwa una strong self-Image uwe unajitazama Kuanzia ndani yako kwa picha yenye ubora na ukubwa na hii itakupelekea kuwa na self-esteem kujikubali, na unapoanza kujikubali maana yake hautaendeshwa na nguvu kubwa kutoka nje ikiwemo kuzama katika Addiction (Uraibu) wowote Kama Pombe,wanawake, bangi n.k

Maana chanzo Cha Addiction ni kukosa kujiamini Kuanzia ndani yako hivyo unatafuta Nguvu kutoka nje ili ipate kukusaidia kukupa furaha ya Muda mfupi short pleasure, Aliyakuwa furaha huwa ipo ndani yako.

Mwisho miaka 30 itapendeza ikukute ukiwa tayari upo na ule uimara wa ndani wa kutokubali sauti kutoka nje yako kukuambia kuwa hauwezi au hauna thamani au kuchukuliwa poa.

Vijana wengi bado tunasumbuliwa na kitu kinaitwa Limp limp ni kutokuwa na uimara wa ndani hivyo tunabidi kuwa na Uelewa mzuri kuhusu limp maana ukiwa hauna uimara wa ndani utaogopa kujaribu fursa mbalimbali kwa kuamini hizo fursa zipo kwa ajili ya watu fulani .

Aging is inevitable live ur life Enjoy and cherish every single moment
 
Nimebakisha miaka 4 kuingia 30
Zamani tunakuwa tuliona miaka 30 ni mingi Sana ila sio kweli but it's just a stepping stone

Jambo ambalo nimeona miaka 30 kwa TANZANIA Africa ndo Muda sahihi wa kujifanyia Self-Evaluation tathimini binafsi kwa kuangalia wapi ulikuwa wapi upo na wapi unahitaji ufike .

Pia katika miaka 30 unabidi kuwa una strong self-Image uwe unajitazama Kuanzia ndani yako kwa picha yenye ubora na ukubwa na hii itakupelekea kuwa na self-esteem kujikubali, na unapoanza kujikubali maana yake hautaendeshwa na nguvu kubwa kutoka nje ikiwemo kuzama katika Addiction (Uraibu) wowote Kama Pombe,wanawake, bangi n.k

Maana chanzo Cha Addiction ni kukosa kujiamini Kuanzia ndani yako hivyo unatafuta Nguvu kutoka nje ili ikusaidie kukupa furaha ya Muda mfupi short pleasure, Aliyakuwa furaha huwa ipo ndani yako.

Mwisho miaka 30 itapendeza ikukute ukiwa tayari upo na ule uimara wa ndani wa kutokubali sauti kutoka nje yako kukuambia kuwa hauwezi au hauna thamani au kuchukuliwa poa.


Vijana wengi bado tunasumbuliwa na kitu kinaitwa Limp limp ni kutokuwa na uimara wa ndani hivyo tunabidi kuwa na Uelewa mzuri kuhusu limp maana ukiwa hauna uimara wa ndani utaogopa kujaribu fursa mbalimbali kwa kuamini hizo fursa zipo kwa ajili ya watu fulani .


Aging is inevitable live ur life Enjoy and cherish every single moment
Umenena vyema,ila hiyo miaka ni mbali sana inategemea na malezi na mazingira,Mimi niilianza kujitambua nikiwa na miaka15!
 
Miaka 30 kwa zama hizi sio mingi yaani usiposhangaa hata kujipanga bado sana.

Sababu kubwa na kutafuta elimu ,ebu jaalia umalize chuo ukiwa 22 au 23 then ujipange labda biashara au ajira ya fasta ..

Ila dogo wa mtaani bila ya kusoma alifika miaka 18 lazima aanze harakati za kutafuta pesa maana hana excuse ...Ina maana mpaka alifika miaka 30 yupo kweny game ya kutafuta pesa kwa miaka zaidi ya 12 ,kama ni biashara zishasimama au zimekufa.
 
Miaka 30 kwa zama hizi sio mingi yaani usiposhangaa hata kujipanga bado sana.

Sababu kubwa na kutafuta elimu ,ebu jaalia umalize chuo ukiwa 22 au 23 then ujipange labda biashara au ajira ya fasta ..

Ila dogo wa mtaani bila ya kusoma alifika miaka 18 lazima aanze harakati za kutafuta pesa maana hana excuse ...Ina maana mpaka alifika miaka 30 yupo kweny game ya kutafuta pesa kwa miaka zaidi ya 12 ,kama ni biashara zishasimama au zimekufa.
Kikubwa ni kuweka Malengo maana kila njia uliyopo ni sahihi inaweza kukufikisha hatua yoyote kubwa iwe Elimu ,Kazi Biashara ,kilimo ,uvuvi n.k
 
Umenena vyema,ila hiyo miaka ni mbali sana inategemea na malezi na mazingira,Mimi niilianza kujitambua nikiwa na miaka15!
Upo sahihi Sana Self awareness ni silaha muhimu katika MAISHA maana TANZANIA watu wanafanya Kazi ila kwa kuikosa self-awereness unajikuta you end up being broke

To be smarter matter most in this life.
 
Miaka 30 kwa zama hizi sio mingi yaani usiposhangaa hata kujipanga bado sana.

Sababu kubwa na kutafuta elimu ,ebu jaalia umalize chuo ukiwa 22 au 23 then ujipange labda biashara au ajira ya fasta ..

Ila dogo wa mtaani bila ya kusoma alifika miaka 18 lazima aanze harakati za kutafuta pesa maana hana excuse ...Ina maana mpaka alifika miaka 30 yupo kweny game ya kutafuta pesa kwa miaka zaidi ya 12 ,kama ni biashara zishasimama au zimekufa.

Kwa msomi miaka 30 ni kama jana. Sio mingi.
Ila unatakiwa uwe ushatambua ukweli wa maisha. Na uwe ushafanya maamuzi wa kipi cha kufanya.
Then between 30-40 usimamishe ngome yako na watoto angalau wawili kama ni mpenzi wa familia
 
Kwa msomi miaka 30 ni kama jana. Sio mingi.
Ila unatakiwa uwe ushatambua ukweli wa maisha. Na uwe ushafanya maamuzi wa kipi cha kufanya.
Then between 30-40 usimamishe ngome yako na watoto angalau wawili kama ni mpenzi wa familia
Umeona eeh!? Ila wa kitaa hapo kashapambana sana haswa yule aliyekaa kitaa tangu afeli form four.
 
Hahaha yaani
emoji23.png
,

Maisha haya.
Alaf wanasema 20-29 hapa miaka huwa inaenda taratibu ila ukishatoboa 30 miaka huwa inakimbia balaa na kama huna ramani watu wanakutenga kila mtu anakuona we siyo mwana wanaona hujielewi na ni mzembe hata babaako hataki kukuona
 
Back
Top Bottom