DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,025
- 45,583
Nimebakisha miaka 4 kuingia 30.
Zamani tunakuwa tuliona miaka 30 ni mingi Sana ila sio kweli but it's just a stepping stone ni Mwanzo wa kuyaelekea Mafanikio Makubwa.
Jambo ambalo nimeona miaka 30 kwa TANZANIA Africa ndo Muda sahihi wa kujifanyia Self-Evaluation tathimini binafsi kwa kuangalia wapi ulikuwa wapi upo na wapi unahitaji ufike.
Pia katika miaka 30 unabidi kuwa una strong self-Image uwe unajitazama Kuanzia ndani yako kwa picha yenye ubora na ukubwa na hii itakupelekea kuwa na self-esteem kujikubali, na unapoanza kujikubali maana yake hautaendeshwa na nguvu kubwa kutoka nje ikiwemo kuzama katika Addiction (Uraibu) wowote Kama Pombe,wanawake, bangi n.k
Maana chanzo Cha Addiction ni kukosa kujiamini Kuanzia ndani yako hivyo unatafuta Nguvu kutoka nje ili ipate kukusaidia kukupa furaha ya Muda mfupi short pleasure, Aliyakuwa furaha huwa ipo ndani yako.
Mwisho miaka 30 itapendeza ikukute ukiwa tayari upo na ule uimara wa ndani wa kutokubali sauti kutoka nje yako kukuambia kuwa hauwezi au hauna thamani au kuchukuliwa poa.
Vijana wengi bado tunasumbuliwa na kitu kinaitwa Limp limp ni kutokuwa na uimara wa ndani hivyo tunabidi kuwa na Uelewa mzuri kuhusu limp maana ukiwa hauna uimara wa ndani utaogopa kujaribu fursa mbalimbali kwa kuamini hizo fursa zipo kwa ajili ya watu fulani .
Aging is inevitable live ur life Enjoy and cherish every single moment
Zamani tunakuwa tuliona miaka 30 ni mingi Sana ila sio kweli but it's just a stepping stone ni Mwanzo wa kuyaelekea Mafanikio Makubwa.
Jambo ambalo nimeona miaka 30 kwa TANZANIA Africa ndo Muda sahihi wa kujifanyia Self-Evaluation tathimini binafsi kwa kuangalia wapi ulikuwa wapi upo na wapi unahitaji ufike.
Pia katika miaka 30 unabidi kuwa una strong self-Image uwe unajitazama Kuanzia ndani yako kwa picha yenye ubora na ukubwa na hii itakupelekea kuwa na self-esteem kujikubali, na unapoanza kujikubali maana yake hautaendeshwa na nguvu kubwa kutoka nje ikiwemo kuzama katika Addiction (Uraibu) wowote Kama Pombe,wanawake, bangi n.k
Maana chanzo Cha Addiction ni kukosa kujiamini Kuanzia ndani yako hivyo unatafuta Nguvu kutoka nje ili ipate kukusaidia kukupa furaha ya Muda mfupi short pleasure, Aliyakuwa furaha huwa ipo ndani yako.
Mwisho miaka 30 itapendeza ikukute ukiwa tayari upo na ule uimara wa ndani wa kutokubali sauti kutoka nje yako kukuambia kuwa hauwezi au hauna thamani au kuchukuliwa poa.
Vijana wengi bado tunasumbuliwa na kitu kinaitwa Limp limp ni kutokuwa na uimara wa ndani hivyo tunabidi kuwa na Uelewa mzuri kuhusu limp maana ukiwa hauna uimara wa ndani utaogopa kujaribu fursa mbalimbali kwa kuamini hizo fursa zipo kwa ajili ya watu fulani .
Aging is inevitable live ur life Enjoy and cherish every single moment