Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,277
- 17,983
Baada ya mbabe kubabuliwa na kutumbuliwa hadharani tena kwa aibu kubwa, nani atavaa mikoba ya Waziri wa Mambo ya Ndani?
Tukumbuke Waziri atateuliwa kwa jicho la uchaguzi mkuu, 2020. Atakuwa mtu mpya kabisa? Au mmoja wa ma naibu waziri atapandishwa cheo? Au kuna mmoja atahamishiwa hapo toka wizara nyingine? Bila shaka tutashuhudia kuapishwa kwake ndani siku chache pale Ikulu Dar es Salaam.
Kunaweza kuwa na "movement" kwenye baraza la mawaziri. Wengine kuhamishwa nk. Lakini inaweza kuwa nafasi ya Jiwe kumuondoa self confessed Mzee wa Matunguli ambayo hulennga kumroga Jiwe ili asimwondoe kwenye wizara zente ulaji mkubwa labda kupita zote.
Kikubwa kilichonifurahisha ni kwamba Jiwe ameanza kutambua kwamba watu wanaopenda kumsifia sana wana mambo wanayaficha. Wanaandaa makongamano ya vitu hewa lakini lakini ni kumsifia ili kufunika uozo wao.
Update:
Jibu limepatikana. Simbachawene ndiye waziri mpya wa mambo ya ndani na nafasi ya uwaziri ya Makamu wa Rais (Muungano na Mzingira) imechuliwa na Iddi Azan Zungu.
Tukumbuke Waziri atateuliwa kwa jicho la uchaguzi mkuu, 2020. Atakuwa mtu mpya kabisa? Au mmoja wa ma naibu waziri atapandishwa cheo? Au kuna mmoja atahamishiwa hapo toka wizara nyingine? Bila shaka tutashuhudia kuapishwa kwake ndani siku chache pale Ikulu Dar es Salaam.
Kunaweza kuwa na "movement" kwenye baraza la mawaziri. Wengine kuhamishwa nk. Lakini inaweza kuwa nafasi ya Jiwe kumuondoa self confessed Mzee wa Matunguli ambayo hulennga kumroga Jiwe ili asimwondoe kwenye wizara zente ulaji mkubwa labda kupita zote.
Kikubwa kilichonifurahisha ni kwamba Jiwe ameanza kutambua kwamba watu wanaopenda kumsifia sana wana mambo wanayaficha. Wanaandaa makongamano ya vitu hewa lakini lakini ni kumsifia ili kufunika uozo wao.
Update:
Jibu limepatikana. Simbachawene ndiye waziri mpya wa mambo ya ndani na nafasi ya uwaziri ya Makamu wa Rais (Muungano na Mzingira) imechuliwa na Iddi Azan Zungu.