Baada ya Kangi Lugola, nani kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani?

Baada ya mbabe kubabuliwa na kutumbuliwa hadharani tena kwa aibu kubwa, nani atavaa mikoba ya Waziri wa Mambo ya Ndani?

Tukumbe Waziri atateuliwa kwa jicho la uchaguzi mkuu, 2020. Atakuwa mtu mpya kabisa? Au mmoja wa ma naibu waziri atapandishwa cheo? Au kuna mmoja atahamishiwa hapo toka wizara nyingine? Bila shaka tutashuhudia kuapishwa kwake ndani siku chache pale Ikulu Dar es Salaam.

Kunaweza kuwa na "movement" kwenye baraza la mawaziri. Wengine kuhamishwa nk. Lakini inaweza kuwa nafasi ya Jiwe kumuondoa self confessed Mzee wa Matunguli ambayo hulennga kumroga Jiwe ili asimwondoe kwenye wizara zente ulaji mkubwa labda kupita zote.

Kikubwa kilichonifurahisha ni kwamba Jiwe ameanza kutambua kwamba watu wanaopenda kumsifia sana wana mambo wanayaficha. Wanaandaa makongamano ya vitu hewa lakini lakini ni kumsifia ili kufunika uozo wao.
Waitara ,atateuliwa kuwa waziri wa Mambo ya ndani.J.ndalichako ataondolewa wizara ya elimu, maliasili na utalii itapatiwa waziri mwingine,
 
Nikikumbuka jinsi ambavyo Kangi Lugola alivyokuwa akijipendekeza kwa Bosi wake Mkuu ambako Kwangu Mimi naona Kulipitiliza leo hii nikisikia ameandika Barua ya Kujiuzuru Nafasi yake hiyo na Bosi wake amekubali nabaki Kushangaa na Kujiuliza hivi baadhi yetu tukiwa tunajipendekeza kama siyo kujikomba kwa Wakubwa ( Mabosi ) wetu huwa tunategemea nini na je, huwa hatujui kuwa kuna Kesho na muda wowote mambo huwa yanageuka? Hata hivyo kwa Maoni yangu naona ni kama vile hata Bosi Mkuu nae alimchelewesha sana Kangi Lugola kumtoa katika hiyo Nafasi yake na sikumbuki kama hiyo Wizara ilibahatika huko nyuma kupata Waziri ( Bogus ) kama huyu Mcheza Dansi Mwandamizi aliyeondoka muda mchache tu uliopita KL.
Kuna jamaa alikuwa anakuulizia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya mbabe kubabuliwa na kutumbuliwa hadharani tena kwa aibu kubwa, nani atavaa mikoba ya Waziri wa Mambo ya Ndani?

Tukumbe Waziri atateuliwa kwa jicho la uchaguzi mkuu, 2020. Atakuwa mtu mpya kabisa? Au mmoja wa ma naibu waziri atapandishwa cheo? Au kuna mmoja atahamishiwa hapo toka wizara nyingine? Bila shaka tutashuhudia kuapishwa kwake ndani siku chache pale Ikulu Dar es Salaam.

Kunaweza kuwa na "movement" kwenye baraza la mawaziri. Wengine kuhamishwa nk. Lakini inaweza kuwa nafasi ya Jiwe kumuondoa self confessed Mzee wa Matunguli ambayo hulennga kumroga Jiwe ili asimwondoe kwenye wizara zente ulaji mkubwa labda kupita zote.

Kikubwa kilichonifurahisha ni kwamba Jiwe ameanza kutambua kwamba watu wanaopenda kumsifia sana wana mambo wanayaficha. Wanaandaa makongamano ya vitu hewa lakini lakini ni kumsifia ili kufunika uozo wao.
Vijana na wazee mna muda kweli wa kujikita ktk haya mambo.
 
Waitara ,atateuliwa kuwa waziri wa Mambo ya ndani.J.ndalichako ataondolewa wizara ya elimu, maliasili na utalii itapatiwa waziri mwingine,
Ndalichako itakuwa njema kuondolewa. Ana mbinu ya kumsifia Jiwe huku anafanya yake. Anakula sana hela za taasisi zilizo chini ya wizara yake.
 
Baada ya mbabe kubabuliwa na kutumbuliwa hadharani tena kwa aibu kubwa, nani atavaa mikoba ya Waziri wa Mambo ya Ndani?

Tukumbe Waziri atateuliwa kwa jicho la uchaguzi mkuu, 2020. Atakuwa mtu mpya kabisa? Au mmoja wa ma naibu waziri atapandishwa cheo? Au kuna mmoja atahamishiwa hapo toka wizara nyingine? Bila shaka tutashuhudia kuapishwa kwake ndani siku chache pale Ikulu Dar es Salaam.

Kunaweza kuwa na "movement" kwenye baraza la mawaziri. Wengine kuhamishwa nk. Lakini inaweza kuwa nafasi ya Jiwe kumuondoa self confessed Mzee wa Matunguli ambayo hulennga kumroga Jiwe ili asimwondoe kwenye wizara zente ulaji mkubwa labda kupita zote.

Kikubwa kilichonifurahisha ni kwamba Jiwe ameanza kutambua kwamba watu wanaopenda kumsifia sana wana mambo wanayaficha. Wanaandaa makongamano ya vitu hewa lakini lakini ni kumsifia ili kufunika uozo wao.
Lemutuz mobimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa 3 katika awamu hii katika wizara hii kubebeshwa virago
J.ndalichako, Hamis kigwangala, Prof mbarawa, waziri wa uwekezaji sijui anaitwa nani, mkurugenzi Halmashauri ya nzera,mufindi,Moshi manispaa, Serengeti, nyang'wale, Tabora manispaa,igunga, Gairo, ikungi, babati mji, tanga jiji, Ras morogoro, Das geita mji, Das Moshi, DC Serengeti,iringa mjini, mbeya jiji, RC njombe, RC Kilimanjaro, RC iringa, RC Lindi, hii ni orodha ya watakao ondolewa awamu hii kwenye nafasi zao
 
J.ndalichako, Hamis kigwangala, Prof mbarawa, waziri wa uwekezaji sijui anaitwa nani, mkurugenzi Halmashauri ya nzera,mufindi,Moshi manispaa, Serengeti, nyang'wale, Tabora manispaa,igunga, Gairo, ikungi, babati mji, tanga jiji, Ras morogoro, Das geita mji, Das Moshi, DC Serengeti,iringa mjini, mbeya jiji, RC njombe, RC Kilimanjaro, RC iringa, RC Lindi, hii ni orodha ya watakao ondolewa awamu hii kwenye nafasi zao
Hahaha duuh mbona wengi mno mkuu hii itakuwa reshuffle ya aina yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom