Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

HATUDANGANYIKI HAPA,EL ndiyo mpango mzima,jana kumuweka chumbani pale Hotelini na kumkaririsha maneno mnadhani mmeshinda????subirini Oct 25
Magufuli kama Magufuli ni msafi kabisaaaa, hana doa lenye madhara kwa taifa! Doa alilonalo labda ni Magufuli kuwapo ktk mfumo. Ila kwa mzee wa Richmond, yeye mdo symbol ya ufisadi nchi hii. Ni mchafu yeye na sasa mfumo uliompokea yeye na mzee wa hanang na ndugu zao wengine ni wachagu!
Toka ukawa waanze kampeni, neno rushwa na ufisadi halitajwi.
 
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late

. Umenena vyema mkuu tukitaka jua umuhimu wa kampeini safi tujikumbushie kupiti libya-binadamu hatosheki leo wako wap?....imekuwa nchi ya vita kali hakuna tena mikate wala umeme wa bure....Lowas anatumika.... nimeanza kumbuka maneneno ya steve nyerere kwamba kabla hatujaanza maamuzi ya kipi cha kufanya juu ya taifa letu tujitafakali.Vijana waliomgoa gadhafi leo ndo wanagolewa na jeshi.....hacheni ujinga vija tusiwe mtaji wa vita na machafuko kwa taifa letu.Mtakosa hata pahala pa kuendeshea hizo boda zenu.Mafisadi hawafai na tuwakatae.
 
Aje na facts kama Dr. Slaa, sio propaganda za kipumbavu!!
Naona sasa watu chali, huku sisiemu B inapiga kampeni na viongozi waandamizi wa chadema wako bize kijaribu kuzima moto wa gesi kwa kuufunika na shuka!!
Chadema maslahi, MKUKI HAUZUIWI KWA PAZIA!

Naona unatafuta soko
 
watu wanataka mabadiriko siyo kelele zenu hizo awe mwizi kwa vyovyote tutampigia
lowasa
 
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late

Kwa nini usitoe mfano wa jirani zetu Kenya wamewapiga chini KANU na leo wanasonga mbele.? Kashfa za nyumba za serikali na kivuko cha zamani ni sifa kwako?
 
Jamani kama si ushabiki wa vyama, na kutopenda kujifunza kutoka kwa wenzetu tunaenda kuivuruga nchi yetu, muungano huu wa ukawa ni bomu litakalolipuka wakiwa madarakani wakati watu tunasubiri kwa hamu mabadiliko yenye maboresho viongozi watakua vitani kila mtu kupigania interest zake kwani dhamira ya kweli imetoweka,jifunze sudan, libya....
 
Huijui Chadema zaidi yetu. Nakwambia kuwa hakuna cha umakini hapo. Tundu Lissu kafokafoka tu hajaongea kitu cha maana jana. Tunamsubiri huyo Mwenyekiti aende na ajibu hoja.

Wewe na mwenzako nani?
 
Bora tone la mavi kwenye litre 20 za maji safi kuliko tone la maji safi kwenye litre 20 za kinyesi. If u kno what i mean.


ENL 2015 the next..............
Hate it or Love it, the underdogs get to the top.


Duuuuuuuh....
 
Porojo kulazwa nje kwenye gari? Ndugu mke wa kwanza ndio mke wengine wanaofuata huwa ni matatizo.

Aina ya siasa za CHADEMA. Slaa kazungumzia masuala muhimu kwa mustakabali wa CHADEMA, Tundu Lisu anaongelea mapenzi ya Slaa na mkewe
 
Aje na facts kama Dr. Slaa, sio propaganda za kipumbavu!!
Naona sasa watu chali, huku sisiemu B inapiga kampeni na viongozi waandamizi wa chadema wako bize kijaribu kuzima moto wa gesi kwa kuufunika na shuka!!
Chadema maslahi, MKUKI HAUZUIWI KWA PAZIA!

Facts gani zaidi ya kuleta fitina za kidini.

Hivi angalia nani analaumiwa kwa mauwaji ya Mwembechai na Pemba ??Amemtaja Sumaye kama ni Waziri Mkuu lakini kajifanya kumsahau Mkatoliki mwenzake Mkapa ambaye ndiye alikuwa Raisi wakati ule.

Angalia na timing ya mashambulizi . Slaa anasema waislamu wamedhulumiwa ......

Kwa nini aseme leo ???.


Hali inaonyesha CCM haiwezi kushinda . Sasa inatupatupa turufu zake za mwisho

Slaa anawafanya waislamu ni wapumbavu kama anavyofikiri Mkapa na maneno yake ya ufedhuli.

Mwaka 2010 Slaa alikosa Uraisi kwa kushirikiana na na maaskofu , jambo lililowafanya waislamu kutokumpigia kura .

SAFARI HII KURA ZA WAISLAMU ZIKO UKAWA

HILI HALINA UBISHI

Labda kwa wale wachache wasiojitambua
 
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late

Duuh kumbe uchizi sio kuokota makopo tu.... Pole sana lkn mirembe ukiwah watakusaidia
 
Magufuli kama Magufuli ni msafi kabisaaaa, hana doa lenye madhara kwa taifa! Doa alilonalo labda ni Magufuli kuwapo ktk mfumo. Ila kwa mzee wa Richmond, yeye mdo symbol ya ufisadi nchi hii. Ni mchafu yeye na sasa mfumo uliompokea yeye na mzee wa hanang na ndugu zao wengine ni wachagu!
Toka ukawa waanze kampeni, neno rushwa na ufisadi halitajwi.

Rudi shule kwanza ujifunze kuandika ndipo urudi kuropoka!!!
 
Unasemaje CCM imemtapika Lowassa wakati haikumfukuza uanachama?

Lowassa kaondoka CCM kwa dhamira na utashi wake binafsi...

Ningekuelewa katika hayo uliyoyaandika iwapo tu Lowassa angelikuwa kavuliwa uanachama na vikao vya CCM...

CCM hamna ujanja wa kuchokonoa zaidi, Lowassa ni tatizo mlilolifuga na kadiri mnavyochokonoa zaidi ndio hatari inakikaribia chama...

Hayo makabrasha ya Slaa hayana umuhimu wowote maana Slaa kajibainisha kabisa yu mtu wa ndimi mbili...

Mwanzoni yeye mwenyewe kampeleka Lowassa Chadema kwa masharti ya kuongeza mtaji kwa Ukawa na upinzani...

Baada ya hilo kushindikana Slaa tena anamgeuka Lowassa na kumkandia kuwa ni mchafu...

Huo uchafu hakuuona mwanzoni alipoanza naye mawasiliano?

Je, Lowassa angetimiliza masharti ya Slaa, Dr Slaa bado angeliacha siasa?

Duuh ningekua karibu naww ningekupa hata buku la soda asante kwa kujielewa..... Hawa punguani wengine cjui watashtuka lini?!! 😯😯
 
Ngoja wakurupuke kuja kujib tuhuma sisi twasonga mbelee
 
. Umenena vyema mkuu tukitaka jua umuhimu wa kampeini safi tujikumbushie kupiti libya-binadamu hatosheki leo wako wap?....imekuwa nchi ya vita kali hakuna tena mikate wala umeme wa bure....Lowas anatumika.... nimeanza kumbuka maneneno ya steve nyerere kwamba kabla hatujaanza maamuzi ya kipi cha kufanya juu ya taifa letu tujitafakali.Vijana waliomgoa gadhafi leo ndo wanagolewa na jeshi.....hacheni ujinga vija tusiwe mtaji wa vita na machafuko kwa taifa letu.Mtakosa hata pahala pa kuendeshea hizo boda zenu.Mafisadi hawafai na tuwakatae.

marejeo yenu imekuwa ni Libya tu,je nchi zote ambazo upinzani umeshinda wanajuta?Zambia,Nigeria na zingine je wanajuta au ndio maneno yenu ya kutaka huruma ya wapiga kura hapa hamchomoki safari ii
 
Yaani watu wa type yako mnanifurahisha sana,wakati Magufuli unayesema hana kashfa yupo ktk chama chenye 99% waliobakia kwenye list of shame na watu hao wamerelax ndani ya chama na wengine wapo ktk kampeni zake,wewe umelala usingizi wa pono!!Nani katuroga watz?
Sijui...
Huyo Magufuli aliyehusika ktk uuzwaji wa nyumba za serikali kipuuzi kabisa lakini wewe huoni tatizo...Mungu wangu!!!!!!!!!!
Haya nikuache.....Mabadiliko ni lazima.

Aliyeuza Nyumba za serikali mko naye ni Sumaye muulizeni na mkiendelea Dr Slaa katwambia bado anayo mambo mengi kaeni kimya
 
Back
Top Bottom