Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

Ndio tunataka Magufuri na yeye achambuliwe kwa hoja zenye ushahidi ili watu wenye akili timamu tusioongozwa na mihemko tuwapime kwa madhambi yao na mazuri yao.
Tuletewe maasi ya Magufuri na ya Lowassa ili tuone wapi uzito umezidi

Mkuu hilo haliwezekani kwa sababu hoja yao kuu ni kuhakikisha Lowasa anachafuliwa na si vinginevyo,huta sikia hata siKu moja mgombea Wa CCM akichambuliwa,Slaa ameonyesha roho yake ya ubinafsi na chuki kwa Lowasa maana ufisadi unaijadiliwa ni RICHMOND tu mengine yoote si ufisadi
 
Mkuu hilo haliwezekani kwa sababu hoja yao kuu ni kuhakikisha Lowasa anachafuliwa na si vinginevyo,huta sikia hata siKu moja mgombea Wa CCM akichambuliwa,Slaa ameonyesha roho yake ya ubinafsi na chuki kwa Lowasa maana ufisadi unaijadiliwa ni RICHMOND tu mengine yoote si ufisadi

Mi nimemsikia Dokt Slaa akimtaja Lowasa kwenye makampuni kama MEREMETA,DOWANS,RICHMOND,Wizi alioufanya wa zaidi ya billion 147 za mradi wa maji Monduli,kubadilisha mpaka wa Monduli na Karatu hali ambayo mpaka sasa karatu watu wanamgogoro wa ardhi na,Suala la Manunuzi ya serikali pia kuna kashfa nzito pia inamuhusu,na mengine mengi.

Lissu,Mbowe,Sumaye na wengineo wa Ukawa tunataka watolee majibu yenye ushahidi unaoeleweka kuhusu tuhuma hizi ili watu waelewe,Magufuri aanikwe kwa ufisadi kama upo ili watu tupime madhambi yake na wizi wake.

Tunataka majibu nakama hayapo basi watu tunaendelea kuamini tunavyovisikia
 
Slaa bora akaimbe taarabu huko atajibizana na kina hadija kopa na mzee yusufu

Si bora yake ataongea akiwa na nondo za kutosha mkononi... Hizo taarabu ni kwa Akina Lisu na wenzake wanaofyatua tu linalokuja midomoni mwao...
 
Magufuli kama Magufuli ni msafi kabisaaaa, hana doa lenye madhara kwa taifa! Doa alilonalo labda ni Magufuli kuwapo ktk mfumo. Ila kwa mzee wa Richmond, yeye mdo symbol ya ufisadi nchi hii. Ni mchafu yeye na sasa mfumo uliompokea yeye na mzee wa hanang na ndugu zao wengine ni wachagu!
Toka ukawa waanze kampeni, neno rushwa na ufisadi halitajwi.


Mimi kwa mtazamo wangu ni swali moja tu la msingi kwa dr Slaa. Atuambie ile press conference na waandishi wa habari na kurushwa kwenye vituo kadhaa vya television ni nani aligharimia? Ninawaomba viongozi wa Chadema na Ukawa wachunguze hili ili ukweli ujulikane. Endapo itathibitika kuwa sisiemu ndio waligharimia basi viongozi wakuu wa Chadema na Ukawa waite press conference na waandishi wa habari na kuuelezea umma wa Tanzania ili Ili watu waujue ukweli. Isije ikawa mtu anajifanya anasimamia misingi kumbe anatumiwa. Itakuwa ni aibu ya karne kwa dr na sisiemu
 
i think you are not too Bright! CHADEMA wako makini sana na walijua tangu mwanzo kwamba Dr. ataongea tu..lazima wanazo facts za kujibu. Tayari Tundu Lisu keshajibu hizo tuhuma. Acha CHADEMA isonge..ilete ukombozi. CCM oyeee!

Tundu Lisu kapiga porojo tu
 
HAKUNA HAJA YA KUMJIBU MTU MWONGO...ASITUPOTEZEE MUDA NA CONCETRATION...tunaendelea na kampeni mpaka LOWASSA aingie ikulu.
 
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late

Yaani watu wa type yako mnanifurahisha sana,wakati Magufuli unayesema hana kashfa yupo ktk chama chenye 99% waliobakia kwenye list of shame na watu hao wamerelax ndani ya chama na wengine wapo ktk kampeni zake,wewe umelala usingizi wa pono!!Nani katuroga watz?
Sijui...
Huyo Magufuli aliyehusika ktk uuzwaji wa nyumba za serikali kipuuzi kabisa lakini wewe huoni tatizo...Mungu wangu!!!!!!!!!!
Haya nikuache.....Mabadiliko ni lazima.
 
i think you are not too Bright! CHADEMA wako makini sana na walijua tangu mwanzo kwamba Dr. ataongea tu..lazima wanazo facts za kujibu. Tayari Tundu Lisu keshajibu hizo tuhuma. Acha CHADEMA isonge..ilete ukombozi. CCM oyeee!

Hawakujua ndio maana kila kukicha walikuwa wanamzushia maneno..
 
Siasa mchezo mchafu.
Ebu tafakari kwann afunguke sasa baada ya mambo kupamba moto chadema .
Mtu kujiamini kiasi kile sio issue ndogo .tuwe makin huku tuendapo.#@!

Alishasema ataongea..nini ataongea tulikuwa hatujui..Dr alianza kujiamini kipindi ambacho watz wengi tulikuwa hatujiamini...
 
Mi nimemsikia Dokt Slaa akimtaja Lowasa kwenye makampuni kama MEREMETA,DOWANS,RICHMOND,Wizi alioufanya wa zaidi ya billion 147 za mradi wa maji Monduli,kubadilisha mpaka wa Monduli na Karatu hali ambayo mpaka sasa karatu watu wanamgogoro wa ardhi na,Suala la Manunuzi ya serikali pia kuna kashfa nzito pia inamuhusu,na mengine mengi.

Lissu,Mbowe,Sumaye na wengineo wa Ukawa tunataka watolee majibu yenye ushahidi unaoeleweka kuhusu tuhuma hizi ili watu waelewe,Magufuri aanikwe kwa ufisadi kama upo ili watu tupime madhambi yake na wizi wake.

Tunataka majibu nakama hayapo basi watu tunaendelea kuamini tunavyovisikia

Utaendelea kuamini wewe mwenyewe upeo mdogo wa uelewa...hivi ni vita vya kisiasa na ccm wanatumia fedha nyingi sana za walipa kodi kutaka kuzima upinzani.
Nakuhakikishia mwaka "WANALO"wananvhi hawadanganyiki tena mtu anaiba pesa ya uma badala ya kushtakiwa WANAOMBWA WARUDISHE!!!
Tatizo la ccm ni kukosa uwajibikaji kulindana mwanzo mwisho...na hilo ndilo linalowatafuta kwa sasa.
 
dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late

we kansigo watu kama wewe hatuwataki humu jf kwani ni lazima uwepo? Katafute kazi ya kufanya ndani ya chama chako hata kufagia ebo!
 
Back
Top Bottom