Medical Dictionary
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,060
- 309
vita imehamia upinzani kwa wapinzaniKituo cha television channel 5(east africa television) kimepost katika twittwer page yake"Baada ya dr slaa kuzungumza leo,mwenyekiti mbowe amefunguka sikiliza EA breakfast ya ea radio kesho saa 12 asbuhi"
Kituo cha television channel 5(east africa television) kimepost katika twittwer page yake"Baada ya dr slaa kuzungumza leo,mwenyekiti mbowe amefunguka sikiliza EA breakfast ya ea radio kesho saa 12 asbuhi"
Aje na facts kama Dr. Slaa, sio propaganda za kipumbavu!!
Naona sasa watu chali, huku sisiemu B inapiga kampeni na viongozi waandamizi wa chadema wako bize kijaribu kuzima moto wa gesi kwa kuufunika na shuka!!
Chadema maslahi, MKUKI HAUZUIWI KWA PAZIA!
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late
Kama kweli ishu ni kashfa hata huyo magufuli mwnyewe sio msafi mbona vyama viko vingi tu na vinawaadilifu wazuri tu!! Bora hao kuliko ccm
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late
Na wakithubutu kujibizana na Dr. Slaa ataweka mambo yote hadhalani na issue itaingia mchanga huku ccm ikipeta ki ulaini kabisa.
vita imehamia upinzani kwa wapinzani
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late
Magufuli kama Magufuli ni msafi kabisaaaa, hana doa lenye madhara kwa taifa! Doa alilonalo labda ni Magufuli kuwapo ktk mfumo. Ila kwa mzee wa Richmond, yeye mdo symbol ya ufisadi nchi hii. Ni mchafu yeye na sasa mfumo uliompokea yeye na mzee wa hanang na ndugu zao wengine ni wachagu!
Toka ukawa waanze kampeni, neno rushwa na ufisadi halitajwi.
It is very true.Wangempotezea.Huyu Slaa anataka majibizano wakati watu wapo katika kampeni.