JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,964
- 9,463
Magufuli ndio mtu msafi na mwenye kuthubutu tuliebaki naye kumchagua.
Fisadi nyangumi tunamjua....hatumchagui.
Watanzania tunayo imani na CCM.
Naona unajitekenya na kucheka. Isemee nafsi yako hao waTanzania walikutuma? Hao kina Lowassa, chenge, tibaijuka mramba magufuli na wenzao ni nani aliwatengeneza?