Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

Wangempotezea.Huyu Slaa anataka majibizano wakati watu wapo katika kampeni.

Ni kweli mkuu,anataka kutupotezea muda ili tuconcetrate kwenye majibizano huku CCM wakipiga tu kampeni.
 
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late

MSIMAMO WETU NI ULEULE KURA ZETU NI KWA LOWASSA,Hakika hatutaichagua CCM tena.
 
Kama kweli ishu ni kashfa hata huyo magufuli mwnyewe sio msafi mbona vyama viko vingi tu na vinawaadilifu wazuri tu!! Bora hao kuliko ccm

CCM ndio inaongoza kwa kuwa na ufisadi na wizi wa mali na fedha za umma,ila wanalindana.
 
Kama Lowassa ana utetezi madhubuti basi tambua CCM ndio iliyo kwenye wakati mgumu kuliko Slaa au CDM...

Madude yote ya Richmond, EPA etc kwa vyovyote vile yana msururu wa watu wanene waliohusika...

Haya madude yatazama na wengi kama wakiyatibua sasa...

CCM imemtapika sababu alifanya madudu ndani ya ccm! Barua za uthibitisho zilizokua akizisoma slaa ulizisikiliza au ni ushabiki tu unao endelea nao! Maamuzi mengine aliyachukua yeye kama yeye na kudiriki kuandika barua ya serikali lugha za majiizi yenzie! Mabadiliko gani unayo yataka!?
 
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late

Kugawana nyumba za watz na wadogo zake ni kashfa nzito kuliko Richmond
 
Mzee slaa amejivunjia heshima mwenyewe, alitakiwa kusoma alama kwanza siokukurupuka tu, angetulia tu asubiri mabadiliko kama anadhani chadema itayumba ajiulize zito alivyo timuliwa chadema ilikuwaje na sasa ikoje.

Chadema ila anza kuboronga kwa zitto na iliweza kujimudu kiaina aina sababu ya misimamo ya slaa! Kaa pembeni check sinema linapo elekea na Mbowe anapo hojiwa asubuhi mumuulize " nn hatima ya chadema baada ya oct " kiukweli ni kwamba litabaki jina na habari ya ukawa itakuwa fundisho milele! Ww ukusanye mijiizi ya mali za watanzania uyakumbatie na kuyatukuza mengine mnaya sujudu' haya mabadiliko mnayo tafuta wengine ni ushabiki usio na kichwa wala miguu
 
Unasemaje CCM imemtapika Lowassa wakati haikumfukuza uanachama?

Lowassa kaondoka CCM kwa dhamira na utashi wake binafsi...

Ningekuelewa katika hayo uliyoyaandika iwapo tu Lowassa angelikuwa kavuliwa uanachama na vikao vya CCM...

CCM hamna ujanja wa kuchokonoa zaidi, Lowassa ni tatizo mlilolifuga na kadiri mnavyochokonoa zaidi ndio hatari inakikaribia chama...

Hayo makabrasha ya Slaa hayana umuhimu wowote maana Slaa kajibainisha kabisa yu mtu wa ndimi mbili...

Mwanzoni yeye mwenyewe kampeleka Lowassa Chadema kwa masharti ya kuongeza mtaji kwa Ukawa na upinzani...

Baada ya hilo kushindikana Slaa tena anamgeuka Lowassa na kumkandia kuwa ni mchafu...

Huo uchafu hakuuona mwanzoni alipoanza naye mawasiliano?

Je, Lowassa angetimiliza masharti ya Slaa, Dr Slaa bado angeliacha siasa?

CCM imemtapika sababu alifanya madudu ndani ya ccm! Barua za uthibitisho zilizokua akizisoma slaa ulizisikiliza au ni ushabiki tu unao endelea nao! Maamuzi mengine aliyachukua yeye kama yeye na kudiriki kuandika barua ya serikali lugha za majiizi yenzie! Mabadiliko gani unayo yataka!?
 
Chadema ila anza kuboronga kwa zitto na iliweza kujimudu kiaina aina sababu ya misimamo ya slaa! Kaa pembeni check sinema linapo elekea na Mbowe anapo hojiwa asubuhi mumuulize " nn hatima ya chadema baada ya oct " kiukweli ni kwamba litabaki jina na habari ya ukawa itakuwa fundisho milele! Ww ukusanye mijiizi ya mali za watanzania uyakumbatie na kuyatukuza mengine mnaya sujudu' haya mabadiliko mnayo tafuta wengine ni ushabiki usio na kichwa wala miguu

Umenena vema sana mkuu.
 
i think you are not too Bright! CHADEMA wako makini sana na walijua tangu mwanzo kwamba Dr. ataongea tu..lazima wanazo facts za kujibu. Tayari Tundu Lisu keshajibu hizo tuhuma. Acha CHADEMA isonge..ilete ukombozi. CCM oyeee!

Huijui Chadema zaidi yetu. Nakwambia kuwa hakuna cha umakini hapo. Tundu Lissu kafokafoka tu hajaongea kitu cha maana jana. Tunamsubiri huyo Mwenyekiti aende na ajibu hoja.
 
it is already too late, we have decided to vote for ukawa.

Idiotic remarks because nothing is set in stone. You and your family are part of but not equal to millions of Tanzanians.
 
It is very true.

Lengo kuu la Dr Slaa na 'wafadhili' wake wa Sisiem ni kutaka kudivert attention ya Umma wa watanzania kutoka kwenye azma yao ya kuleta mabadiliko ya kuing'oa CCM madarakani ifikapo Oktoba 25 mwaka huu kupitia sanduku la kura na badala yake wanataka yageuke ni malumbano ya baina ya Ukawa vs Dr Slaa.

Mnaulizwa mnashindwa kujibu. Mnataka kuing'oa CCM ili iweje? Sote tunajua matatizo hebu tupeni suluhisho. Hamna! Mnasema Lowassa. Kisha mnazidi kukatisha tamaa kudai hata akiwa fisadi, mchafu, mgonjwa na spana mkononi si tunataka mabadiliko. Nauliza tena kumwingiza Lowassa Ikulu maisha yako yatabadilika kivipi? Jibu huna. Watakaopata mabadiliko ni Lowassa na ex-CCM buddies na labda akina Chenge atawakumbuka! Wewe utaendelea na matatizo yako kama si kuzidi. Huyu hafai kabisa!
 
WANA MABADILIKO

-Henry. Ford;
Amesema. "If u do what u hv always done,you'll get what u hv always gotten"

Dr;slaa hajashangaza wa2 kajishangaza mwenyewe.Hakuna m TZ hasie jua kuwa Slaa ni TRAITOR nahiyo tabia hakuianza leo.

Hata maaskofu alio watuhumu leo ndio hao waliomuona hafai mpaka wakamfukuza utawa na upadri wa R.catholic.

Hakuishia hapo akamuoa ROSE lkn mwisho wa siku aka m BETRAY na kuendeleza u traitor kwa mwanamke mwengine ambaye si wa ndoa.Sasa amechelewa Mboe alimwambia wame tia GIA angani.


-Lao-Tsu,Tao Teb King;
Amezungumza akasema
"The best solder does not attack,the superior fighter succeed without violence,The greatest conqueror wins without struggle,The most successful manager leads without dictating,this is called intelligent nonaaggressiveness,this is called mastery of men"

NINA MAANA GANI?

Sifa zote hizi alizo zitaja Lao-Tsu,Tao Teb King mhe;EDWARD LOWASSA anazo na anazi ishi sasa yeye sllaa anasubiri na anafikiri mzee;ENL ataita waandishi wa hbr ili ajibu tuhuma za kibuni zisizo kuwa na ushahidi wa kutosha.

Sllaa ategemee kupambana na kina:Tundu antipathy Lossy,Richard Tambwe Hiza,Mnyika,Mdee na n.k hao ndio saizi yk

wa TZ wanataka MABADILIKO.Na mabadilikp yataletwa na UKAWA ikiongozwa na LOWASSA.
 
Slaa katumwa. Slaa ana jazba. Slaa ana wivu baada ya kuona wenzie wanachanja mbuga. Slaa alitaka mawazo take tu ndo yaheshimiwe
 
Back
Top Bottom