Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late
Mheshimiwa Mbowe we mpotezee tu wananchi tulio wengi tunaelewa na maamuzi tunayo watusubiri oct
vita imehamia upinzani kwa wapinzani
i think you are not too Bright! CHADEMA wako makini sana na walijua tangu mwanzo kwamba Dr. ataongea tu..lazima wanazo facts za kujibu. Tayari Tundu Lisu keshajibu hizo tuhuma. Acha CHADEMA isonge..ilete ukombozi. CCM oyeee!
Huijui Chadema zaidi yetu. Nakwambia kuwa hakuna cha umakini hapo. Tundu Lissu kafokafoka tu hajaongea kitu cha maana jana. Tunamsubiri huyo Mwenyekiti aende na ajibu hoja.
Siasa mchezo mchafu.
Ebu tafakari kwann afunguke sasa baada ya mambo kupamba moto chadema .
Mtu kujiamini kiasi kile sio issue ndogo .tuwe makin huku tuendapo.#@!
Magufuli kama Magufuli ni msafi kabisaaaa, hana doa lenye madhara kwa taifa! Doa alilonalo labda ni Magufuli kuwapo ktk mfumo. Ila kwa mzee wa Richmond, yeye mdo symbol ya ufisadi nchi hii. Ni mchafu yeye na sasa mfumo uliompokea yeye na mzee wa hanang na ndugu zao wengine ni wachagu!
Toka ukawa waanze kampeni, neno rushwa na ufisadi halitajwi.
Wangempotezea.Huyu Slaa anataka majibizano wakati watu wapo katika kampeni.
Huyo tundulisu kajibu nini? Sijaona hoja ya maana aliyotoa, anatapatapa tu
vita imehamia upinzani kwa wapinzani
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late
Mbowe hana hata 10% ya ubavu wa kumjibu dr slaa
Wangempotezea.Huyu Slaa anataka majibizano wakati watu wapo katika kampeni.
i think you are not too Bright! CHADEMA wako makini sana na walijua tangu mwanzo kwamba Dr. ataongea tu..lazima wanazo facts za kujibu. Tayari Tundu Lisu keshajibu hizo tuhuma. Acha CHADEMA isonge..ilete ukombozi. CCM oyeee!