Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

Hivi ni jipya lipi aliloongea Dr Slaa zaidi ya kumshambulia personally Mr Lowassa? mimi nilidhani angekuja na habari mpya (kwa mfano jinsi labda ya CHADEMA walivyokuwa wanafuja hela za ruzuku etc etc). Lakini kuwaambia Lowasaa ni fisadi wakati huo wimbo umekuwepo almost miaka minane sasa sio move nzuri. Viongozi wa UKAWA wangempuuza mtu.



Mtu mwenyewe kumbe anaendeshwa kwa remote na mamaa Josephine
 
. Umenena vyema mkuu tukitaka jua umuhimu wa kampeini safi tujikumbushie kupiti libya-binadamu hatosheki leo wako wap?....imekuwa nchi ya vita kali hakuna tena mikate wala umeme wa bure....Lowas anatumika.... nimeanza kumbuka maneneno ya steve nyerere kwamba kabla hatujaanza maamuzi ya kipi cha kufanya juu ya taifa letu tujitafakali.Vijana waliomgoa gadhafi leo ndo wanagolewa na jeshi.....hacheni ujinga vija tusiwe mtaji wa vita na machafuko kwa taifa letu.Mtakosa hata pahala pa kuendeshea hizo boda zenu.Mafisadi hawafai na tuwakatae.
mnachotakiwa kujua mbele ya ufisadi huu uliokithiri hakuna hata siku moja mtawala akapenda vyama vya upinzan hali itakuwa hihi miaka nenda rudi Mpaka mifisadi inakuwa na mitukuu
 
Hivi ni jipya lipi aliloongea Dr Slaa zaidi ya kumshambulia personally Mr Lowassa? mimi nilidhani angekuja na habari mpya (kwa mfano jinsi labda ya CHADEMA walivyokuwa wanafuja hela za ruzuku etc etc). Lakini kuwaambia Lowasaa ni fisadi wakati huo wimbo umekuwepo almost miaka minane sasa sio move nzuri. Viongozi wa UKAWA wangempuuza mtu.



Mtu mwenyewe kumbe anaendeshwa kwa remote na mamaa Josephine

Isitoshe habari za lowasa tunazijua tangu 2008 kila siku zinaongelewa kwaio hakuna jipya aende tuu. Sisi tunasubili mabadiliko2015
 
Facts gani zaidi ya kuleta fitina za kidini.

Hivi angalia nani analaumiwa kwa mauwaji ya Mwembechai na Pemba ??Amemtaja Sumaye kama ni Waziri Mkuu lakini kajifanya kumsahau Mkatoliki mwenzake Mkapa ambaye ndiye alikuwa Raisi wakati ule.

Angalia na timing ya mashambulizi . Slaa anasema waislamu wamedhulumiwa ......

Kwa nini aseme leo ???.


Hali inaonyesha CCM haiwezi kushinda . Sasa inatupatupa turufu zake za mwisho

Slaa anawafanya waislamu ni wapumbavu kama anavyofikiri Mkapa na maneno yake ya ufedhuli.

Mwaka 2010 Slaa alikosa Uraisi kwa kushirikiana na na maaskofu , jambo lililowafanya waislamu kutokumpigia kura .

SAFARI HII KURA ZA WAISLAMU ZIKO UKAWA

HILI HALINA UBISHI

Labda kwa wale wachache wasiojitambua

Fitna za kidini zipi?
Wewe hutaki watu waseme ukweli?

Mambo ya kuchanganya dini na siasa wameyaanza lowasa na Gwajima
 
Magufuli kama Magufuli ni msafi kabisaaaa, hana doa lenye madhara kwa taifa! Doa alilonalo labda ni Magufuli kuwapo ktk mfumo. Ila kwa mzee wa Richmond, yeye mdo symbol ya ufisadi nchi hii. Ni mchafu yeye na sasa mfumo uliompokea yeye na mzee wa hanang na ndugu zao wengine ni wachagu!
Toka ukawa waanze kampeni, neno rushwa na ufisadi halitajwi.

Eti magufuli ni msafi hana doa! nafikiri hata Lowasa alipokuwa CCM uliyatamka hayo hayo ila kwa kuwa kaondoka CCM leo hii unatamka hayo labda nikupe uchafu wa magufuli kama ifuatavyo:-

1. Wizara ya Uvuvi - Amekamata kwa mbwembwe Meri ya wavuvi wa samaki kilichotokea Serikali imeshindwa kesi na tunalipa Tsh. Billion 3

2. Wizara ya Ardhi na Makazi - Ameuza nyumba za Serikali kwa gharama ambazo hata bei ya kiwanja tu katika maeneo hayo ni kubwa na isitoshe amegawia hadi hawala.

3. Wizara ya Ujenzi - Kulitokea upotevu wa Billion 252 ambazo huyo magufuli halishindwa kuzielezea bungeni na ikathibitishwa wazi zimeibiwa na hii ni kutokana na Report ya CAG

4. Wizara ya ujenzi - Kutokana na serikali chini ya wizara ya makufuli kuchelewa kuwalipa wakandarasi wa Barabara Serikali inadaiwa Billion 960 kama Riba ambazo zinakwenda pasipo kufanyiwa kazi.
 
hata siku moja huyo m/kiti hana IQ ya kujibizana na Dr Slaa.

Ukisha gundea upumbavu wa jurani yako, atakuchokoza kila mara, ukimjibu wote mtaonekana wajinga. Lakini ukiwa na akili unakaa kimya. Lazima nafsi imtese akigundua ujinga wake. M/kiti hana haja ya kumjibu Dr Slaa.
 
Fitna za kidini zipi?
Wewe hutaki watu waseme ukweli?

Mambo ya kuchanganya dini na siasa wameyaanza lowasa na Gwajima

mbona huyo Lowasa hakuyasema kabla ameyasema tarehe 1 Sept.

Hivi angalia nani analaumiwa kwa mauwaji ya Mwembechai na Pemba ??Amemtaja Sumaye kama ni Waziri Mkuu lakini kajifanya kumsahau Mkatoliki mwenzake Mkapa ambaye ndiye alikuwa Raisi wakati ule.

Angalia na timing ya mashambulizi . Slaa anasema waislamu wamedhulumiwa ......

Kwa nini aseme leo ???.

Mwaka 2010 Slaa alikosa Uraisi kwa kushirikiana na na maaskofu , jambo lililowafanya waislamu kutokumpigia kura .

SAFARI HII KURA ZA WAISLAMU ZIKO UKAWA

HILI HALINA UBISHI

Labda kwa wale wachache wasiojitambua
 
Magufuli kama Magufuli ni msafi kabisaaaa, hana doa lenye madhara kwa taifa! Doa alilonalo labda ni Magufuli kuwapo ktk mfumo. Ila kwa mzee wa Richmond, yeye mdo symbol ya ufisadi nchi hii. Ni mchafu yeye na sasa mfumo uliompokea yeye na mzee wa hanang na ndugu zao wengine ni wachagu!
Toka ukawa waanze kampeni, neno rushwa na ufisadi halitajwi.


Mabarabara yote yaliyojengwa hayana ubora mfano mzuri naambiwa Dar Chalinze kuna sehemu porini porini utafikiri unaendesha kwenye tope; na nyingine nyingi sawa na hizo. Nafikiri hapa umejitoa tu ufahamu na hautaki kusikia lakini wewe huwezi kuongea na kufikiri kwa niaba ya Watanzania. Waache wachague wanayemtaka. Kama bahati itaanguakia kwako basi usherehekee. Full stop. Watanzania wanajua wa kumchagua kwa kuwa kipimo wanacho cha utendaji na uzingatiaji wa ahadi, kasi ya maendeleo na kukidhi kwa mahitaji yao na mfumuko wa maisha. Hivi vinajionesha dhahiri. Huhitaji miwani kuona hilo - CCM sasa basi. Na kwa nini hamtaki mabadiliko pia? Mwl mwenyewe alibadilika na kuwaletea hiyo CCM na down the line mlipaswa kubadilika pia. This suggests kwamba hamna aliye na akili Zaidi ya Mwl na Lowassa na wengine waliobadilika ndani ya CCM HIVYO kikae pembeni kwa kuongoza kwa mazoea. Na hii ndio inawazuia kukubali changes kwa kuwa itabainika mengi na mambo mengine yatahita viongozi wengine kunyongwa au kupigwa risasi hadharani kama maamuzi ya sharia au hasira kwa yalifayika. Namna hii CCM haitakubali mabadiliko na ndio halli iliyonayo sasa ya mazoea yatatoweka na watu Fulani watapata taabu saana.

Haya kusuka au kunyoa mabadiliko ndiyo hayo hayazuiliki - CCM bye bye.
 
Aje na facts kama Dr. Slaa, sio propaganda za kipumbavu!!
Naona sasa watu chali, huku sisiemu B inapiga kampeni na viongozi waandamizi wa chadema wako bize kijaribu kuzima moto wa gesi kwa kuufunika na shuka!!
Chadema maslahi, MKUKI HAUZUIWI KWA PAZIA!
slaa alikuwa na fact gani? kijani mna shida kweli, si mlisema hana ushahisi bali vipeperushi vya mtandao
 
. Umenena vyema mkuu tukitaka jua umuhimu wa kampeini safi tujikumbushie kupiti libya-binadamu hatosheki leo wako wap?....imekuwa nchi ya vita kali hakuna tena mikate wala umeme wa bure....Lowas anatumika.... nimeanza kumbuka maneneno ya steve nyerere kwamba kabla hatujaanza maamuzi ya kipi cha kufanya juu ya taifa letu tujitafakali.Vijana waliomgoa gadhafi leo ndo wanagolewa na jeshi.....hacheni ujinga vija tusiwe mtaji wa vita na machafuko kwa taifa letu.Mtakosa hata pahala pa kuendeshea hizo boda zenu.Mafisadi hawafai na tuwakatae.

Wote mmechelewa kama Slaa wenu alivochelewa wananchi wengi walishafanya maamuzi. Hata hivyo ni vigezo gani mlivyotumia kulinganisha siasa za nchi yetu na Libya?.
 
Duh propaganda ni zaidi ya ujuavyo, wale wale waliokua wanamwita mzinzi leo shujaa mtaa wa pili?
 
Aje na facts kama Dr. Slaa, sio propaganda za kipumbavu!!
Naona sasa watu chali, huku sisiemu B inapiga kampeni na viongozi waandamizi wa chadema wako bize kijaribu kuzima moto wa gesi kwa kuufunika na shuka!!
Chadema maslahi, MKUKI HAUZUIWI KWA PAZIA!

mkuu hiyo mkuki hauzuiwi kwa pazia ndio nimeipenda
 
slaa ataendelea kuwa na heshima. alichosema kwa kiasi kikubwa ni ukweli!
 
Aje na facts kama Dr. Slaa, sio propaganda za kipumbavu!!
Naona sasa watu chali, huku sisiemu B inapiga kampeni na viongozi waandamizi wa chadema wako bize kijaribu kuzima moto wa gesi kwa kuufunika na shuka!!
Chadema maslahi, MKUKI HAUZUIWI KWA PAZIA!

Kwa mtazamo wako na wenzio msiojitambua unaona slaa jana kaongea vya maana saaana..! sasa slaa jana karudia yale aliyoyasema wakati akitaja ( list of shame) kipya ambacho watz hawana uhakika nacho ni kujiuzulu siasa hapohapo anasema atatetea wanyonge:what: akiwa wapi:what: huyu mzee wivu unamsumbua hana jipya..!!
 
Kama kweli ishu ni kashfa hata huyo magufuli mwnyewe sio msafi mbona vyama viko vingi tu na vinawaadilifu wazuri tu!! Bora hao kuliko ccm
ndo maana kura yangu inaweza kuangukia kule ACT kwa Anna taratiiiiibu kabisa.
 
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late

Gadafi wa tz ni nani?
 
i think you are not too Bright! CHADEMA wako makini sana na walijua tangu mwanzo kwamba Dr. ataongea tu..lazima wanazo facts za kujibu. Tayari Tundu Lisu keshajibu hizo tuhuma. Acha CHADEMA isonge..ilete ukombozi. CCM oyeee!

Facts ni kulala ndani ya gari hzo sio hoja za mashiko njoo na hoja ambayo ina maelezo ya kutosha hapo bado sana
 
Dr slaa kiukweli ameongea kwa uchungu na hisia kali, watanzania tuitendee haki nchi yetu, tumpe kura magufuli, hana kashfa nzito kama za lowassa, nawaomba sana tusiikomoe nchi yetu, walibya leo hii wanajuta, walidanganywa hivihivi, utajiri na amani yao yote imetoweka, wanamkumbuka gadafi wao and it is too late
Leo nimepanda gari ya Meja mmoja wa Jeshi, amesema, Watanzania hawamjui Maguli. Watajuta baada ya Kumchagua. Anasema ni mtu mchafu sana. Pia, hivi Nyerere akifufuka sasa hivi akakuta nyumba alizotunza kwa ajili ya wafanyakazi, zimeuzwa tena Magufuli nasikia (nasikia) kawauzia ndugu na majamaa wengine kwa bei ya kutupa, unadhani hiyo ni kashfa ndogo? Hivi unakumbuka wakati Kikwete anaingia watu tulivokuwa na matumaini? Yameenda wapi? Tujaribu katiba mpya. Hilo ndo suluhisho.
 
Magufuli ndio mtu msafi na mwenye kuthubutu tuliebaki naye kumchagua.

Fisadi nyangumi tunamjua....hatumchagui.

Watanzania tunayo imani na CCM.
 
Back
Top Bottom