N'jomba-N'tu
Member
- Aug 17, 2015
- 55
- 20
Magufuli kama Magufuli ni msafi kabisaaaa, hana doa lenye madhara kwa taifa! Doa alilonalo labda ni Magufuli kuwapo ktk mfumo. Ila kwa mzee wa Richmond, yeye mdo symbol ya ufisadi nchi hii. Ni mchafu yeye na sasa mfumo uliompokea yeye na mzee wa hanang na ndugu zao wengine ni wachagu!
Toka ukawa waanze kampeni, neno rushwa na ufisadi halitajwi.
mwe! chacha we uko unadhani hata huyo bwana chijui magufuli akiwa raichi wa nchi baraza la mawaziri litakuwa na chura mpya?. chi zitakuwa chura zile zile na mijitu ile ile tu baba?. mwe! n'jomba n'tu naachia laini