Uchaguzi 2020 Azimio: Bunge la Marekani laisihi Serikali ya Tanzania na wahusika wote kuhakikisha Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki

Only a colonised mind will cheer for such things. Kwao wakisema na mwangwi ukasikika kutoka kwa watu weusi wa taifa hili..ni ushindi mkubwa sana.

Wanaendelea kujua kuwa kati ya hao mamilioni walioko Tanzania kuna mifugo yao. Huwezi kushangilia jirani kujipangia ujisimamieje..

Wewe umeshindwa kujisimamia!? Unaona umekanyagwa unaumia ..kwann usisimame useme naumia.. sitaki.!? Mpaka uanze kumwambia jirani akusemee!??

Pathetic.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Kutotoa msaada kwa mhitaji wakati una uwezo wa kufanya hivyo una upungufu wa utu. Uhuru wa mtanzania, hata wa kuongea tu, haupo. Ni aibu kwa watunga Sheria hizo, si kwa anaetungiwa anaeshindwa kupumua mpaka anasemewa na jirani.
 
Naona huyu beberu/mwanamme anatumulika mchana kweupe. Mola tusaidie tusije tukateleza hawa jamaa siwa amini wanaweza kutufanya kitu mbaya. Tusiwachukulie poa hata kidogo.
 
@fazili

Lazima ujue hakuna heshima utakayogawiwa tu.. heshima inachukuliwa.

Na nchi zote zilizoamua kujisimamia kwao Ni threat.. ushawahi kujiuliza ikiwa kila nchi itaruhusiwa kujisimamia kwa uhuru uchumi wa mabeberu unakuwa katika hali gani!?

Hii haitakuwa laini, wala nyepesi but the end is worth it.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Usimtetee muuaji na dikteta tuliyenaye kuna watu wengi hawajulikani walipo akina Saanane na wengine, kuna ufisadi mkubwa umefinikwa kwa nguvu zote na serikali ni suala la muda tu makubwa yatajulikana. Jiwe ni katili na mtu hatari sana kwa nchi hii ni bora kwamba Marekani wameona na wanaanza kumdhibiti.
 
Only a colonised mind will cheer for such things. Kwao wakisema na mwangwi ukasikika kutoka kwa watu weusi wa taifa hili..ni ushindi mkubwa sana.

Wanaendelea kujua kuwa kati ya hao mamilioni walioko Tanzania kuna mifugo yao. Huwezi kushangilia jirani kujipangia ujisimamieje.

Wewe umeshindwa kujisimamia!? Unaona umekanyagwa unaumia ..kwann usisimame useme naumia.. sitaki.!? Mpaka uanze kumwambia jirani akusemee!??

Pathetic.
Hujui game linavyochezwa wewe, mbabe dawa yake ni mbabe mwinzie nothing more, yeye si anajifanya mbabe kwa vile anajivunia polisi, twtz na tiss kwa vile wako chini yake, sasa upinzani wanavyo hivyo vyote?

Nyie endeleeni kujitoa ufahamu tu, kwa hela za wizi, lakini mbabe wenu ameshawatunishia misuri tuone hiyo jeuri yenu.
 
Only a colonised mind will cheer for such things. Kwao wakisema na mwangwi ukasikika kutoka kwa watu weusi wa taifa hili..ni ushindi mkubwa sana.

Wanaendelea kujua kuwa kati ya hao mamilioni walioko Tanzania kuna mifugo yao. Huwezi kushangilia jirani kujipangia ujisimamieje.

Wewe umeshindwa kujisimamia!? Unaona umekanyagwa unaumia ..kwann usisimame useme naumia.. sitaki.!? Mpaka uanze kumwambia jirani akusemee!??

Pathetic.
Kweli maisha yanaenda kasi sana Sikuhizi kuweka taa za barabarani nayo ni sera ambayo chama fulani kinajivunia na kutembea kifua mbele Watu hawana AJIRA, mzunguko wa pesa umekua mgumu, Pembejeo na Masoko kwenye kilimo ndio balaa. Alafu mtu na phd yake anahubiri taa za barabarani bila aibu.
 
Prof. Palamagamba Kabudi baada ya kutolea ufafanuzi kushangaa ripoti ya Michele Bachelet kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa sasa na hili azimio namba 1120 la Baraza la Wakilishi la USA tunategemea waziri Kabudi kutoa msimamo juu ya matamko haya toka Mabaraza ya Seneti na Congress ya USA.
 
Azimio la bunge la Marekani liliotolewa tarehe 17/09/2020 lenye jina la "Urging the Government of Tanzania and all parties to respect human rights and constitutional rights and ensure free and fair elections in October 2020, and recognizing the importance of multi-party democracy in Tanzania."

Limepitishwa nchini Marekani kusihi serikali ya Tanzania na wadau wote wanaohusika kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 nchini Tanzania kufuata haki za binadamu,katiba ili kuhakikisha uchaguzi utakuwa wa huru na haki hapo mwezi Oktoba 2020. Tamko hilo limeonekana kukemea baadhi ya vitendo vya serikali ya Tanzania tangu mwaka 2015 vyenye viashiria vya kuvunja haki za wananchi wa Tanzania.

Moja ya madai ya azimio hilo ni kwamba:
1. Serikali ya Tanzania imezuia ukusanyaji huru wa takwimu, utoaji wa takwimu
2. Serikali ama watendaji wa serikali wamekuwa wakitishia, kushambulia na kukamata wanahabari na kutokujali wanahabari waliopotea.
3. Serikali imezuia wanasiasa kufanya shughuli zao za kisiasa kuanzia mwaka 2016 mpaka 2019 kinyume na katiba ya nchi.
4. Serikali imedhibiti uhusiano wa taasisi zisizo za serikali NGO na taasisi nyingine zilizopo nje ya nchi kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa mnamo September 2019.
5. Viongozi wa vyama vya upinzani wamekuwa wakipotea vitisho, kushambuliwa na serikali kushindwa kuwakamata watenda makosa.

View attachment 1573603

Soma zaidi:
Tanzania yaihakikishia Marekani uchaguzi utakuwa huru | DW | 09.09.2020
Ubalozi wa Marekani nchini wasikitishwa na Uminyaji demokrasia na ukamataji wa Viongozi wa Upinzani nchini
Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa
Mungu awabariki mabeberu!
 
Haya maneno ya USA siyapendi. Walete USS Ronald Reagan mwabao wa bahari ya Hindi kama itatokea dhuluma ya kuiba kura wamtandike mtu. Haya maneno dictators never heed to words! 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪
View attachment 1573606

Jamani mimi ni Mzalendo, siyo kuwa nataka nchi yangu ishambuliwe hapana, ila Kiongozi akianza kuwaua watu wake, akija jirani tutamuomba msaada tusiuawe! Ni hilo tu. Ben Saanane yuko wapi? Azory Gwanda yuko wapi? Tumwombe jirani atusaidie kuwatafuta!
Kwa Snowden yuko wapi? Acha kudanganyika kirahisi hivyo!
 
Only a colonised mind will cheer for such things. Kwao wakisema na mwangwi ukasikika kutoka kwa watu weusi wa taifa hili..ni ushindi mkubwa sana.

Wanaendelea kujua kuwa kati ya hao mamilioni walioko Tanzania kuna mifugo yao. Huwezi kushangilia jirani kujipangia ujisimamieje.

Wewe umeshindwa kujisimamia!? Unaona umekanyagwa unaumia ..kwann usisimame useme naumia.. sitaki.!? Mpaka uanze kumwambia jirani akusemee!??

Pathetic.
Anayekunyaga akiwa hasikii lazima upige kelele ili majirani waje kukusaidia.. hii ni fomula ya kawaida kabisa mkuu.

Hawa bado ni majirani wema,wamewekeza hela za walipa kodi wao hapa nchini hadi leo tumewawekea na mabango ya msaada wa watu Marekani.
 
Haya maneno ya USA siyapendi. Walete USS Ronald Reagan mwabao wa bahari ya Hindi kama itatokea dhuluma ya kuiba kura wamtandike mtu. Haya maneno dictators never heed to words! 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪
View attachment 1573606

Jamani mimi ni Mzalendo, siyo kuwa nataka nchi yangu ishambuliwe hapana, ila Kiongozi akianza kuwaua watu wake, akija jirani tutamuomba msaada tusiuawe! Ni hilo tu. Ben Saanane yuko wapi? Azory Gwanda yuko wapi? Tumwombe jirani atusaidie kuwatafuta!
Kwa nini wewe hujaenda kuwatafuta? Zee zima ovyooo!!
 
Sisi mbona hhatukuwasii iMarekani na bunge kuwa Uchaguzi wa Marekani unakuwa huru na haki
Donald Trump asitumie warusi kumsaidia kuchakachua matokeo Marekani ilu ashinde kwa kutumia experts wa computer wa Kirusi?


Americans we Tanzanians under Leadership of Magufuli we are knowledgeable than you in some areas including election and ability to fight Corona don't teach us we agree there are areas that you have more knowledge than us but we also we have areas that we are knowledgeable than you like election and war against Corona
Trump and Congress Wear Mask because they are confused they don't know how to fight Corona!!!

Solve the problem of Trump who rigged election fraudulently before you jump to Tanzania as advissors!!!! Clean your house first
 
Usimtetee muuaji na dikteta tuliyenaye kuna watu wengi hawajulikani walipo akina Saanane na wengine, kuna ufisadi mkubwa umefinikwa kwa nguvu zote na serikali ni suala la muda tu makubwa yatajulikana. Jiwe ni katili na mtu hatari sana kwa nchi hii ni bora kwamba Marekani wameona na wanaanza kumdhibiti.
Siwezi kupingana na wewe! Unaconcern zako.. na naziheshimu. Ninachochukia ni "cowardice" mnayopotray kwa kujificha nyuma ya Marekani na Majirani.

You got an issue with your wife unangoja kuulalamikia umma kisa jirani yako ameuanika udhaifu wa mkeo? Utakuwa mume au kituko!?

Kuwa mwanaume.. ukiona hujaridhishwa ongea.. ukiona umedharauliwa pigania heshima yako sio kupiga kelele umesimama nyuma ya mwanaume mwingine.

Akina Abushiri (na machifu wote collaborators) waliishia utumwani kwa kutegemea vya bure toka kwa wageni.. and this is a "Deja vu" all over again.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Haya maneno ya USA siyapendi. Walete USS Ronald Reagan mwabao wa bahari ya Hindi kama itatokea dhuluma ya kuiba kura wamtandike mtu. Haya maneno dictators never heed to words! 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪
View attachment 1573606

Jamani mimi ni Mzalendo, siyo kuwa nataka nchi yangu ishambuliwe hapana, ila Kiongozi akianza kuwaua watu wake, akija jirani tutamuomba msaada tusiuawe! Ni hilo tu. Ben Saanane yuko wapi? Azory Gwanda yuko wapi? Tumwombe jirani atusaidie kuwatafuta!
Nakuunga mkono tutamuunga mkono USA kuwatandika Hawa wahuni
 
Back
Top Bottom