Only a colonised mind will cheer for such things. Kwao wakisema na mwangwi ukasikika kutoka kwa watu weusi wa taifa hili..ni ushindi mkubwa sana.
Wanaendelea kujua kuwa kati ya hao mamilioni walioko Tanzania kuna mifugo yao. Huwezi kushangilia jirani kujipangia ujisimamieje..
Wewe umeshindwa kujisimamia!? Unaona umekanyagwa unaumia ..kwann usisimame useme naumia.. sitaki.!? Mpaka uanze kumwambia jirani akusemee!??
Pathetic.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kutotoa msaada kwa mhitaji wakati una uwezo wa kufanya hivyo una upungufu wa utu. Uhuru wa mtanzania, hata wa kuongea tu, haupo. Ni aibu kwa watunga Sheria hizo, si kwa anaetungiwa anaeshindwa kupumua mpaka anasemewa na jirani.