Uchaguzi 2020 Azimio: Bunge la Marekani laisihi Serikali ya Tanzania na wahusika wote kuhakikisha Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki

Only a colonised mind will cheer for such things. Kwao wakisema na mwangwi ukasikika kutoka kwa watu weusi wa taifa hili..ni ushindi mkubwa sana.

Wanaendelea kujua kuwa kati ya hao mamilioni walioko Tanzania kuna mifugo yao. Huwezi kushangilia jirani kujipangia ujisimamieje..

Wewe umeshindwa kujisimamia!? Unaona umekanyagwa unaumia ..kwann usisimame useme naumia.. sitaki.!? Mpaka uanze kumwambia jirani akusemee!??

Pathetic.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha upumbavu wewe! Kwahiyo unaweza kumuua mtoto wako huku jamii ikikuacha tu kwakuwa ni mtoto wako? Hiki ndicho polepole kawatuma kuja kutetea ujinga?
 
Only a colonised mind will cheer for such things. Kwao wakisema na mwangwi ukasikika kutoka kwa watu weusi wa taifa hili..ni ushindi mkubwa sana.

Wanaendelea kujua kuwa kati ya hao mamilioni walioko Tanzania kuna mifugo yao. Huwezi kushangilia jirani kujipangia ujisimamieje..

Wewe umeshindwa kujisimamia!? Unaona umekanyagwa unaumia ..kwann usisimame useme naumia.. sitaki.!? Mpaka uanze kumwambia jirani akusemee!??

Pathetic.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watanzania wakisema huwa hamuwasikii mnawateka, ngoja waseme wanaume labda mtawasikia.
 
Magu ameanza kuwekwa kwenye target na sasa ni suala la muda tu kwani marekani wanamchukulia kama mtu anayehatarisha maslahi ya nchi yao. Pia amewekwa kwenye kundi la akina Libya, Venezuela, Iraq nk. Kuna jambo kubwa linajiunda hapa nafikiri kama magu ni msikivu basi aschukulie mashara lakini navyomjua atadharau na mguu utaota tense.
 
Magu ameanza kuwekwa kwenye target na sasa ni suala la muda tu kwani marekani wanamchukulia kama mtu anayehatarisha maslahi ya nchi yao. Pia amewekwa kwenye kundi la akina Libya, Venezuela, Iraq nk. Kuna jambo kubwa linajiunda hapa nafikiri kama magu ni msikivu basi aschukulie mashara lakini navyomjua atadharau na mguu utaota tense.
@fazili

Lazima ujue hakuna heshima utakayogawiwa tu.. heshima inachukuliwa.

Na nchi zote zilizoamua kujisimamia kwao Ni threat.. ushawahi kujiuliza ikiwa kila nchi itaruhusiwa kujisimamia kwa uhuru uchumi wa mabeberu unakuwa katika hali gani!?

Hii haitakuwa laini, wala nyepesi but the end is worth it.
 
Magufuli alishalisemea hili muda mrefu na akarudia na kusisitiza kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki. Sasa marekani Wana Nini kipya?
Haiishii kwenye kulisemea magufuli haonyeshi kwa vitendo kuwa muumini wa anachokisema hebu fikiria mfano huu : mnaenda kuchukua fomu wewe na opponent wako halafu siku ya kurudisha fomu unatuma watu wako wamteke mpinzani wako ili asirudishe fomu kwa wakati. Ukisharudisha wewe yule opponent wako anapatikana akiwa nusu mauti halafu wewe unatangazwa umepita bila kupingwa je siasa hizi za kimafia ndio mnamsifu Nazo magufuli?
 
Back
Top Bottom