Mkuu lini kaanguka.Na yeye analijua hilo ndiyo maana anapaniki hadi naanguka jukwaani.
Mkuu lini kaanguka.Na yeye analijua hilo ndiyo maana anapaniki hadi naanguka jukwaani.
Acha upumbavu wewe! Kwahiyo unaweza kumuua mtoto wako huku jamii ikikuacha tu kwakuwa ni mtoto wako? Hiki ndicho polepole kawatuma kuja kutetea ujinga?Only a colonised mind will cheer for such things. Kwao wakisema na mwangwi ukasikika kutoka kwa watu weusi wa taifa hili..ni ushindi mkubwa sana.
Wanaendelea kujua kuwa kati ya hao mamilioni walioko Tanzania kuna mifugo yao. Huwezi kushangilia jirani kujipangia ujisimamieje..
Wewe umeshindwa kujisimamia!? Unaona umekanyagwa unaumia ..kwann usisimame useme naumia.. sitaki.!? Mpaka uanze kumwambia jirani akusemee!??
Pathetic.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watanzania wakisema huwa hamuwasikii mnawateka, ngoja waseme wanaume labda mtawasikia.Only a colonised mind will cheer for such things. Kwao wakisema na mwangwi ukasikika kutoka kwa watu weusi wa taifa hili..ni ushindi mkubwa sana.
Wanaendelea kujua kuwa kati ya hao mamilioni walioko Tanzania kuna mifugo yao. Huwezi kushangilia jirani kujipangia ujisimamieje..
Wewe umeshindwa kujisimamia!? Unaona umekanyagwa unaumia ..kwann usisimame useme naumia.. sitaki.!? Mpaka uanze kumwambia jirani akusemee!??
Pathetic.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sheria ipi wamevunja.huu utakua uchaguzi bora kuwahi kutokea
chadema wanavunja sheria wazi wazi ili wakamatwe lakini polisi wamewachunia,
Hayawahusu huku pesa zao za corona mnapokea.Washike yao eti.
Ya huku hayawahusu.
Kuna mgombea nimeona video kazidisha muda kakataa kushuka jukwaani na eti linajigamba lipo tayari kwa loloteSheria ipi wamevunja.
Kwa hio kama tunapokea pesa zao, ndie watuingilie mambo yetu.Hayawahusu huku pesa zao za corona mnapokea.
US wanamsemo wao kwamba "the only language dictactors can understand is strength and power"Safi sana US tuko pamoja sisi tunaenda kumuondoa dikteta kazi yenu ni kutusaidia km kutakua na uibaji wa kura na kutangazwa walioshindwa
Umeona ya kuzidisha muda tu, tume kuengua wagombea huoni, Magufuli kuzuia wengine wasiweke mabango huoni.kuna mgombea nimeona video kazidisha muda kakataa kushuka jukwaani na eti linajigamba lipo tayari kwa lolote
Fukara hana uhuru.Kwa hio kama tunapokea pesa zao, ndie watuingilie mambo yetu.
Mbona wao hawataki privacy za watu kama machoko zisiingiliwe!
Ukiolewa kubali yote hata kulala bila nguo.Si haki!
Watuache tujiendeshe wenyewe!
@faziliMagu ameanza kuwekwa kwenye target na sasa ni suala la muda tu kwani marekani wanamchukulia kama mtu anayehatarisha maslahi ya nchi yao. Pia amewekwa kwenye kundi la akina Libya, Venezuela, Iraq nk. Kuna jambo kubwa linajiunda hapa nafikiri kama magu ni msikivu basi aschukulie mashara lakini navyomjua atadharau na mguu utaota tense.
Wanaume?Watanzania wakisema huwa hamiwasikii mnawateka, ngoja waseme wanaume labda mtawasikia.
Haiishii kwenye kulisemea magufuli haonyeshi kwa vitendo kuwa muumini wa anachokisema hebu fikiria mfano huu : mnaenda kuchukua fomu wewe na opponent wako halafu siku ya kurudisha fomu unatuma watu wako wamteke mpinzani wako ili asirudishe fomu kwa wakati. Ukisharudisha wewe yule opponent wako anapatikana akiwa nusu mauti halafu wewe unatangazwa umepita bila kupingwa je siasa hizi za kimafia ndio mnamsifu Nazo magufuli?Magufuli alishalisemea hili muda mrefu na akarudia na kusisitiza kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki. Sasa marekani Wana Nini kipya?
Angalieni Ccm mtapandwa na hao mabeberu muda si mrefu.Ukiwa na ubongo wa mende kama hivi lazima utoe mawazo kama haya!
Lisu kipigo kipo pale pale na atarudi analia kwa hao vibeberu wake