AU's dilemna and the Libyan crisis

AU's dilemna and the Libyan crisis

Democracy!
Define it anyway you want.
American/European democracy can never work in Russia.
American/European democracy can never work in Arab world,
Blacks and Arabs have their own form of democracy and none can never work iether way.
Qaddafi is exercising arab democracy.
Col.Qaddafi, I envy you.
 
waacheni waamerka wawakomboe walibya, mlitaka gadaffi aendelee kuwachapa na kuwamamliza huku akitamba ni mwanamapinduzi? hao viongozi wa kiafrika kazi ya yao ni kwenda na wake zao kuuza sura pale addi ababa, after all watu kama jk, mugabe, na m7 mtategemea kweli kitu hapo?
 
Hiyo statement ya Museveni naivulia kofia na hasa alivyozipanga hoja zake kwa Kiingereza fasaha kabisa. Kataja negatives na positives za Gaddafi. Lakini namsifu Museveni alivyokuwa na ujasiri na independent mind kuitoa Hivi Mkwere wetu anaweza kutoa kitu kama hiki.

Subutu! Anaogopa asije na bakuli tupu akienda kuomba kutoka nchi za Magharibi. Halafu hata hiyo lugha .... sijui....
 
Huyu Museven hana tofauti gani na Gaddafi, hata yeye lengo lake ni kuwa Rais wa Afrika Mashariki kwa hiyo wote ni sawa. Wakati mwenzake anataka kuwa rais wa Afrika, yeye wa Afrika Mashariki.
 
Nimejitahidi kufwatilia mgogoro wa libya nimejifunza mambo mengi sana moja ni kwamba capilalists has no parmanent frends /enemies but permanent interests kwamdamlemfu nimeona wa tanzania wengi hasa ndugu zangu wa islam wa kichukizwa moja kwa moja na kile kinacho fanywa na marekani pamoja na mataifa ya ulaya dhidi ya libya wakihisi wanania ya kuukandamiza uislam wa lidya pamoja na kuchukua mafuta, chakushangaza ni kwamba gadaffi mwanzoni alivishutumu fikosi vya alkaida kuwa ndio vina fanya mipango na vurugu za kumuondoa yeye madarakani lakini leo malekani anaungwa mkono na umoja wa nchi za kiarabu kwa mashambulizi wanayo yafanya dhidi ya nchi hiyo ambako gadaffi aliamini kuwa ndio litakuwa kimbilio lake akivamiwa na malekani .Na hao wa alabu ndio wa islam wa ukweli kuliko sisi huku tulio pokea tu dini toka kwao ,lakini tumekua tukiumia zaidi kuliko hao waarabu wenzie na gadaffi hasa napo shambuliwa ,labda mtasema mnaumia kwasababu gadaffi ni muafrika lakini mnasahau kuwa gadaffi alisha wai kutamka kuwa endapo Afrika haita ungana ataweka nguvu zake zote kwenya umoja wa kiarabu ,this means Afrika yupo tu ila yeye ni muarabu ,FUNDISHO NI KWAMBA WAISLAMU WA TANZANIA TUMEKUWA TUKIKI UNGA MKONO CCM KWASABABU JK NI WADINI YETU HUKU TUKISAHAU KUWA CCM SIO CHAMA CHAKIDINI HIVYO ZILE KURA TULIZO MPA NDIZO ZILIZO ONGEZA RUDHUKU NDANI YA CHAMA HICHO NA NDIZO ZITAKAZO TU MIKA KUMNADI MKRISTO MWAKA 2015.
 
Kila siku tunasema funzo yalitokea ya TUNISIA tukasema liwe funzo kwetu yakatokea ya MISRI nayo tukasema liwe funzo sasa haya ya LIBYA nayo tunasema funzo ina maana watu na wanasiasa hawajui ni kitu gani kinachoendelea sisi tumeishazoea kuongea kwingi ikifika jioni kila mtu anaenda kwake kulala so expect less
 
Nimejitahidi kufwatilia mgogoro wa libya nimejifunza mambo mengi sana moja ni kwamba capilalists has no parmanent frends /enemies but permanent interests kwamdamlemfu nimeona wa tanzania wengi hasa ndugu zangu wa islam wa kichukizwa moja kwa moja na kile kinacho fanywa na marekani pamoja na mataifa ya ulaya dhidi ya libya wakihisi wanania ya kuukandamiza uislam wa lidya pamoja na kuchukua mafuta, chakushangaza ni kwamba gadaffi mwanzoni alivishutumu fikosi vya alkaida kuwa ndio vina fanya mipango na vurugu za kumuondoa yeye madarakani lakini leo malekani anaungwa mkono na umoja wa nchi za kiarabu kwa mashambulizi wanayo yafanya dhidi ya nchi hiyo ambako gadaffi aliamini kuwa ndio litakuwa kimbilio lake akivamiwa na malekani .Na hao wa alabu ndio wa islam wa ukweli kuliko sisi huku tulio pokea tu dini toka kwao ,lakini tumekua tukiumia zaidi kuliko hao waarabu wenzie na gadaffi hasa napo shambuliwa ,labda mtasema mnaumia kwasababu gadaffi ni muafrika lakini mnasahau kuwa gadaffi alisha wai kutamka kuwa endapo Afrika haita ungana ataweka nguvu zake zote kwenya umoja wa kiarabu ,this means Afrika yupo tu ila yeye ni muarabu ,FUNDISHO NI KWAMBA WAISLAMU WA TANZANIA TUMEKUWA TUKIKI UNGA MKONO CCM KWASABABU JK NI WADINI YETU HUKU TUKISAHAU KUWA CCM SIO CHAMA CHAKIDINI HIVYO ZILE KURA TULIZO MPA NDIZO ZILIZO ONGEZA RUDHUKU NDANI YA CHAMA HICHO NA NDIZO ZITAKAZO TU MIKA KUMNADI MKRISTO MWAKA 2015.

Unashauri waislamu waunge mkono chama gani kimweke muislamu 2015? nafurahi umekubali kuna chama cha kidini,ningependa ukitaje ........kusema ukweli kuna sehemu umejichanganya hueleweki......:washing:
 
Hiyo statement ya Museveni naivulia kofia na hasa alivyozipanga hoja zake kwa Kiingereza fasaha kabisa. Kataja negatives na positives za Gaddafi. Lakini namsifu Museveni alivyokuwa na ujasiri na independent mind kuitoa Hivi Mkwere wetu anaweza kutoa kitu kama hiki.

Subutu! Anaogopa asije na bakuli tupu akienda kuomba kutoka nchi za Magharibi. Halafu hata hiyo lugha .... sijui....
Thubutuuu!!!
 
Unashauri waislamu waunge mkono chama gani kimweke muislamu 2015? nafurahi umekubali kuna chama cha kidini,ningependa ukitaje ........kusema ukweli kuna sehemu umejichanganya hueleweki......:washing:
nikweli labda nime chichanganya kwa kutaka kuunganisha vitu viwili kwa wakati mmja (libya na tanzania).lakini nilivyo sema ccm sio chama cha kidini namanisha kwamba tanzania hakuna chama cha kidini kinacho weza kusajiriwa hivyo hakuna chama cha kidini.
bt unaweza kutanua ubongo wako zaidi ili unielewe ki ulahisi.udini unaimaliza tanzania
 
Kwa hakika sisi waafrika Mungu ametunyima weledi,ujasiri,huruma,ni waoga,wavivu,wanafiki,watu wa kujipendekeza kwa matajiri.

Inasikitisha kuona bara lenye nchi 53 kushindwa kuwa na umoja wenye nguvu unaoweza kukemea mabedui wanaotudharau na kutufanyia vitendo vya unyanyasaji na mauji yasiyo na sababu.Angalia Marekani na washirika wake wanavyoionea Libya nchi ya nne kwa utajiri barani Afrika,yenye watu wanaothaminiwa na kiongozi wake.Wananchi wote wanapatiwa huduma zote muhimu bila malipo wala ubaguzi wa aina yoyote.Leo mataifa tajiri kutokana na wivu wao kwa rasilimali ya mafuta iliyomo nchini humo wanatoa macho na kuamua kupandikiza waasi ili wamuondoe Gaddafi kwa kisingizio eti hapendi demokrasia,kwani demokrasia ni nini? Nchi zetu tunaochaguana kila kukicha mbona maisha yametushinda? Uingereza mbano wanaogozwa na malkia?

Viongozi wa Afrika mbona mpo kimya? Baada ya Libya mnadhani nanyi mtakuwa salama? Inasikitisha sana viongozi wa Afrika kuendekeza kuwa ombaomba tu kwa hao Wamarekani,kufikiri kwenu kumefikia mwisho?

Waungwana nanyi toeni mawazo yenu nini kifanyike ili viongozi wa Afrika wabadilike na kuchukua hatua dhidi ya wakoloni hawa!
 
Mkuu majority ya nchi hizi ni ombaomba sasa unategemea nini?
 
Mlimbwa afadhali umeliona hilo,maana nimepiga sana kelele hadi sauti inaelekea kunikauka...nimeandika sana lakini Watanzania hatuna tabia ya kusoma as well...wanaogopa kufunua kwa maana kwao kufunua maandishi ni sawa na kumfunua mama mkwe! Nasema ni dhambi isiyosameheka si kwa taifa kuinuka juu ya taifa jingine tu bali hata kwa familia kuinuka juu ya familia nyingine! "Wenzetu" hawako kulinda maslahi ya Waafrika bali kupora rasilimali na kuendelea kutukalia kibabe...Wamekalia sana viongozi uchwara wasiojitegemea kimaamuzi na wamepandikiza mamluki kwenye nchi zilizokua na viongozi shupavu...Badala ya waliobaki kukemea wamekaa kimya kana kwamba kinachotokea ni mchezo wa kuigiza!Ole wenu viongozi wa Afrika mnaotumiwa km mua,siku utamu wenu utaisha jalala ndiyo itakua mahala penu!
 
Mbona mnakuwa hamfatilii news?
Mbona meseveni kawachana live!
Au yy sio rais!
 
Mbona mnakuwa hamfatilii news?
Mbona meseveni kawachana live!
Au yy sio rais!

Mkuu suala sio kupinga tuu na kupiga kelele, hiyo kila mtu anaweza. Hata Mtikila anaweza kulaani kinachoendelea Libya. Binafsi nadhani ingekuwa bora Putin, Museven, Hu Jintao, Chavez, Castro, Ahamedinnejad na wengine kokote duniani wapeleke midege na manowari., then wamwambie Obama, Sarkozy na Cameron haya kombora kwa kombora, jicho kwa jicho.
 
Gadafi yupi? Si ndio alitupiga vita through Id amini dada? Kudadadeki akafie mbali
 
Nani afungue mdomo wake? Thubutuu!!!!!!!!!!!! Marais karibu wote wa Africa wanamuogopa Gadhafi vibaya sana kwani inasemekana anafadhili vikundi vya waasi kwenye nchi nyingi za africa hasa zilizo jirani na Libya.Viongozi wetu wanaogopa kuharibu kwa wafadhili pamoja na Gadhafi mwenyewe hivyo solution ni kukaa kimya.Naombea waandishi wetu wamtandike swali JK atoe msimamo wake kuhusu Libya uone atakavyojikanyaga.
Huyo Museven sijui ameongea nini ila kama amemtetea Gadhafi basi atakuwa ni mnafiki kwani wikileaks walishatoa habari zake na Gadafi.
 
Je pia ni kwanini Russia na China hawakutumia kura yao ya turufu?

Kama wangetumia basi kusingekuwa na mashambulizi hayo, na wao wakaamua kutopiga kura kwenye baraza la usalama la UN.
 
Huu ndio unafiki wa viongozi wetu sasa alafu wanataka EU na UN wawachukulie serious? Leo nimeona rais wa South Africa analaani coalition bombing wakati balozi wake UN alipiga kura kupitisha hiyo resolution WTF?

Museveni kabala ya uchaguzi aliulizwa ikitokea watu wakaanza kuandamana Uganda kama wanavyoandamana Egypt atafanyaje? Akajibu kuwa kitu kama icho hakiwezi kutokea Uganda (jibu kama la Gaddafi alivyoulizwa kuhusu Egypt), akaendelea kusema kuwa waandamanaji wote watakamatwa na kuwekwa jela. exact quote: **"We would just lock them up. "In the most humane manner possible, bang them into jails and that would be the end of the story." Kweli hawa watu ndio mnataka tuwachukulie serious?

** http://www.timeslive.co.za/africa/article918967.ece/No-Egypt-like-revolt-during-vote--Museveni
 
Una maana gani wanaandamana huku wana kila kitu? Japokuwa wabongo maskini tuna kila kitu. Uzembe wetu ndio unatufanya kuwa maskini. Walibya hawana kila kila kitu. Kwa mfano hawana freedom unayoitumia hapa JF kuandika unachoandika. Thats want they want. Kwako itaonekana kitu kidogo sana kulinganisha na utajiri. Lakini utakuja tambua when you loose your freedom and liberty. The way unavyoshangaa kwa nini wanaandamana huku wana kila kitu, ndivyo pia watu wanavyotushanga kwa nini tuko maskini wakati tuna kila kitu.

hawana uhuru wakati hadi leo waandishi wa marekani wanazulula ovyo tripoli na benghazi,bado fcbk iko hewani.hapa suala sio uhuru wala nini umefika wakati tu wa nchi za arabia kuongozwa under one law from Tehran finish
 
Back
Top Bottom