Mi nahisi kuna watu wana matatizo ya akili jamani.
Yaan haiingii akilini mtu unaingia mtandaoni kuanza kuwakejeli wengine, tena pengine kwa kutumia ID tofauti.
Mradi tu uwakere basi ndo roho yako inatulia . . . na si ajabu unaanza kuwaenjoy tena kwa ID nyingine!
Jitu zima kabisa na akili yako . . . .ni bangi ndo zinakutumeni hivyo au??
Sasa hapa mtandaoni unapata faida gani??
Watu wa namna hii ukiwatathmini vizuri utakuta ndo wale wachawi wanaosumbuaga wenzao mitaani kwao.
Usione mtu kafanya vizuri we kishipa shiiiiiii kishakusimama na kihoro chako mbioooo kwenda kupiga juju wenzio kwa roho yako mbaya . . . . ptuuuuuuu!!
Sasa naona sijui mtaani uwanja umekuwa mdogo sana mpaka umeamua uzee wako wa busara uuhamishie mtandaoni
Hovyoooooo!!
Finally, moderators wanaijua/zijua vizuri sana tu ID/IDs zinazofanya haka kamchezo kachafu ila wamepoa eti mpaka member areport . . . thats not a deffence. Tukiachana na comments, mpaka thread inafika jukwaani mnakuwa mmeshaiona ila mnafanya makusudi tu. Mfano . . .ni nani asiyejua kuwa
MzunguMndali anamwandama
Madame B kila mara kwa kumuanzishia threads za ajabu ajabu mara sijui ameota kafa, mara arest in peace . . .
Buchanan hizo hamzioni au mnajua kuona matusi tu na kutoa ban??? Kama vile haitoshi huyo huyo mzungu wenu kaenda kuanzisha thread ya kushangilia kuwasababishia ban wenzake then akamalizia na kumwambia
Chilli arest in server . . . inamaana nyie hayo makusudi hamyaoni . . . au kuna agenda gani kwenye hiyo ID??? Cha kushangaza kama sio kuchekesha eti mheshimiwa
Buchanan anamquote
Madame B na kumwambia eti kumtaja mtu kuwa anakusababishia ban sio vizuri . . . REALLY????
Haijaniigia akilini kabisa na hizo ban mnazotoa for naziona ni unreasonable!