Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,838
- 37,523
hivi kuna uwezekano wa mod kuwa na kaID kake ka pembeni? Just curiosity.
Nadhani.
hivi kuna uwezekano wa mod kuwa na kaID kake ka pembeni? Just curiosity.
Nadhani.
Upepo tu utapita. Ila hawa moderator wanatakiwa wawe kama mahakama, sio mtu akiripotiwa tu wana mpa nyundo, hapo ndio naona wanapo boronga.
Umeona ee!
Ndo mana wengine wanaona hakuna umuhimu wa Ku-report wanaamua kulivagaa, walianzishe la kighetogheto.
Kitu Msambweni kwa Akina Chibo Mkanyageni.
Kudadadeki,
kufa hakuna breki.
Madame B,habari za asubuhi?
Leo hujaniota MzunguMndali?
Maana kila siku lazima uniote mara nimekufa mara tunatiana haya ile mimba ambayo uliota tuko kitandani pamoja,nimeshajifungua,
Njoo utoe huduma kwa mtoto.
Leo hujaniota MzunguMndali?
Maana kila siku lazima uniote mara nimekufa mara tunatiana haya ile mimba ambayo uliota tuko kitandani pamoja,nimeshajifungua,
Njoo utoe huduma kwa mtoto.
Hee! Mwanchekesha! Mambo mpz.
Leo hujaniota MzunguMndali?
Maana kila siku lazima uniote mara nimekufa mara tunatiana haya ile mimba ambayo uliota tuko kitandani pamoja,nimeshajifungua,
Njoo utoe huduma kwa mtoto.
Hela ya kununua Boxer huna,ya kutunza mtoto utaiweza?
Kwenda zako na Upukupuku wako wa Umaskini.
Mie wa ghali wewe,
au unanichukulia poa!
Jiangalie wewe.
ilikua zamani siku hizi naitwa tupa tupa..tatizo sio noti tatizo ni wewe mtumiaji.kula mayii pesa ikuzoe mpenzi.