Attention: Kuwa makini na member huyu

Attention: Kuwa makini na member huyu

Mkuu uwe unabonyeza "Report Abuse" ukiona jambo lolote usilolipenda, esp matusi/lugha ya kejeli, etc ili hatua ya haraka zaidi ichukuliwe badala ya ku-mention kila wakati!

Mmeng'ang'ania report abuse tu badala ya kuwa considerate na threads zinazorushwa!
Inamaana comments zote ambazo huwa mnadelete zinakuwa zimereportiwa???
Mbona kwenye issue zingine mnakuwa macho sana . . . .?
Tumeshakuwa watoto sasa ambao kila saa tunakimbilia kushtaki tu!

Ungekuwa umeandamwa wewe au wenzio tena kwa mara zote hizo mngeshapiga ban bila abuse report.
Ila kwa sasa hivi mnajifanya kazi yenu ni kusubiria reports . . . sasa sijui kazi yenu ndo hiyo tu?
 
Kipipi nashukuru kama umeliona hilo.
Huyo MzunguMndali kutwa kuniandama mimi mara Madame B nimekufa,
mara sijui Ameniota nafanyaje,mi namuangalia tu,
ila yeye kutaja wenzake we Buchanan unaona sawa ila mie nikimtaja unaona nimekosea,
afu unasema tubonyeze Report abuse.
Ina mana pale aliponitaja mimi hujapaona ila mimi nilipomtaja ndipo umepaona?
Acheni hzo,kama MzunguMndali ni Mamluki tuambieni tujue.
Sasa hv CC nzima tumemuhara kwa tabia yake.

Nawe MzunguMndali kama unataka bifu niambie sio kila siku kuniandama,
mimi bifu naliweza tena zaidi ya Dr. Dre na Chris Brown.


Si ndo hapo sasa!!!
Wanawatukuza sana tu alafu wanarely kwenye report abuse kama gelesha tu. Buchanan hapo umebugi . . . lazima tukwambie ukweli!
 
Last edited by a moderator:
Mmeng'ang'ania report abuse tu badala ya kuwa considerate na threads zinazorushwa!
Inamaana comments zote ambazo huwa mnadelete zinakuwa zimereportiwa???
Mbona kwenye issue zingine mnakuwa macho sana . . . .?
Tumeshakuwa watoto sasa ambao kila saa tunakimbilia kushtaki tu!

Ungekuwa umeandamwa wewe au wenzio tena kwa mara zote hizo mngeshapiga ban bila abuse report.
Ila kwa sasa hivi mnajifanya kazi yenu ni kusubiria reports . . . sasa sijui kazi yenu ndo hiyo tu?

Ubinadamu kazi sana!
 
Maliza hapo halafu uje na liID lako la kutafutia watu ban. Walewale!!
Hakuna cha wale wale wala nini... Ban unajitafutia mwenyewe. Ujanja anotumia huyo mtu ni mdogo sana sasa kwa vile wengine maamuzi yao inategemea maamuzi ya wengine basi wanaingia mkenge. Nina ID moja, mbili au zaidu sioni sababu ya kuwa nazo.
Kwa wale wanaodhani kumuweka mtu kwenye ignore list nao ni wale wale... Si kila siku huyo uliyemuweka huko ataandika hicho unachodhani kibaya kwako.... Kuna wakati maswali ya unayoyaona kuwa ni ya kijinga ndo yanaamsha busara zako. Tatizo la watu wengine hapa duniani hawataki kuchalenjiwa wanataka waishi na akina NDIYO MZEE kila siku. PAMOJA NA HAYO, UTAMU WA MAISHA UPO KWENYE TOFAUTI ZETU......
 
Si ndo hapo sasa!!!
Wanawatukuza sana tu alafu wanarely kwenye report abuse kama gelesha tu. Buchanan hapo umebugi . . . lazima tukwambie ukweli!

Mi nimesema humu kuna Mashemeji, Wakwe, Mawifi, Wajomba sasa mpe Ban Uone kama hajakunyang'anya dada au kaka yake au mkewe.
 
Last edited by a moderator:
Mmeng'ang'ania report abuse tu badala ya kuwa considerate na threads zinazorushwa!
Inamaana comments zote ambazo huwa mnadelete zinakuwa zimereportiwa???
Mbona kwenye issue zingine mnakuwa macho sana . . . .?
Tumeshakuwa watoto sasa ambao kila saa tunakimbilia kushtaki tu!

Ungekuwa umeandamwa wewe au wenzio tena kwa mara zote hizo mngeshapiga ban bila abuse report.
Ila kwa sasa hivi mnajifanya kazi yenu ni kusubiria reports . . . sasa sijui kazi yenu ndo hiyo tu?
Kuna watu wanatamani wapewe uwezo wa ku-ban watu humu JF. Wanajiona wao ndo usalama wa taifa a.k.a usalama wa JF

Ukishaona wewe maisha yako ni ya kushitaki wengine tu basi una matatizo yako.
 
Ubinadamu kazi sana!

Especially mnapokuwa na viongozi wasiotaka kukubali mapungufu yao na ya utaratibu waliouweka.
Hakika hata mahakama zingekuwa zinabase kwenye sheria tu na procedures zilizoandikwa pekee,
Basi kusingekuwa na justice hata siku moja.

Kwa wale wapenda kusoma vitabu mbalimbali . . . . utaona watu kama kina Plato na great thinkers wengine,
walioargue kuhusu natural law na equitable justice. Na kwamba equitable justice ipo ili kurekebisha mapungufu ya legal justice.

So ukiona king'ora chukua hatua sio kurely kwenye misemo ya ubinaadam kazi ilihali hakuna asiyejua hilo na ndio hutupa changamoto kila siku ili tuweze kufikia maamuzi stahiki.
 
Kuna watu wanatamani wapewe uwezo wa ku-ban watu humu JF. Wanajiona wao ndo usalama wa taifa a.k.a usalama wa JF

Ukishaona wewe maisha yako ni ya kushitaki wengine tu basi una matatizo yako.

Na mi siwezi kukaa nashitaki shitaki watu ili hali kuna njia mbadala kabisa zinazoweza kuzuia fujo za namna hiyo!
 
Back
Top Bottom