bm21
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 774
- 33
Nimewapa pendekezo serikali iwape ATCL bilioni 500!!! hamtaki!
Mkuu Mwanakijiji, Inawezekana bil 2 zikawa nyingi au kidogo. Vilevile bil 500 unazo propose zaweza kuwa ni zaid ya kinacho hitajika (not optimal reinvestment). Mimi nilishauri hapa ATCL ifanyiwe uchambuzi yakinifu (feasibility study) upya ili tuone tatizo ni nini na nini mtaji unaohitajika ni kiasi gani, wafanyakazi wanaohitajika ni wangapi na tuweze kuweze kucome up na manning structure itakayo ifanya ATCL kuwa shilika tishio Africa. Ni rahisi sana ila inataka determined mind. Tatizo ya ATCL sio la kuka vikao vya kisiasa na kuwapa 2 bil waanze kuruka. Mambo kama haya ndio yanapoteza maana ya wasomi Tanzania. na hii ndio sababu wasomi wetu wengi hawataki kurudi kufanya kazi Tanzania kwa sababu hawatumiki. Serikari inapaswa kutambua nafasi yao ya siasa itakuwepo pale pale hata nchi za wenzetu huku nafasi ya siasa bado inanafasi katika maamuzi lakini baada ya kupata ushauri wa kitaalamu.