ATCL Kwawaka moto!

Nimewapa pendekezo serikali iwape ATCL bilioni 500!!! hamtaki!

Mkuu Mwanakijiji, Inawezekana bil 2 zikawa nyingi au kidogo. Vilevile bil 500 unazo propose zaweza kuwa ni zaid ya kinacho hitajika (not optimal reinvestment). Mimi nilishauri hapa ATCL ifanyiwe uchambuzi yakinifu (feasibility study) upya ili tuone tatizo ni nini na nini mtaji unaohitajika ni kiasi gani, wafanyakazi wanaohitajika ni wangapi na tuweze kuweze kucome up na manning structure itakayo ifanya ATCL kuwa shilika tishio Africa. Ni rahisi sana ila inataka determined mind. Tatizo ya ATCL sio la kuka vikao vya kisiasa na kuwapa 2 bil waanze kuruka. Mambo kama haya ndio yanapoteza maana ya wasomi Tanzania. na hii ndio sababu wasomi wetu wengi hawataki kurudi kufanya kazi Tanzania kwa sababu hawatumiki. Serikari inapaswa kutambua nafasi yao ya siasa itakuwepo pale pale hata nchi za wenzetu huku nafasi ya siasa bado inanafasi katika maamuzi lakini baada ya kupata ushauri wa kitaalamu.
 
Mkuu Mwanakijiji, Inawezekana bil 2 zikawa nyingi au kidogo. Vilevile bil 500 unazo propose zaweza kuwa ni zaid ya kinacho hitajika (not optimal reinvestment). Mimi nilishauri hapa ATCL ifanyiwe uchambuzi yakinifu (feasibility study) upya ili tuone tatizo ni nini na nini mtaji unaohitajika ni kiasi gani, wafanyakazi wanaohitajika ni wangapi na tuweze kuweze kucome up na manning structure itakayo ifanya ATCL kuwa shilika tishio Africa. Ni rahisi sana ila inataka determined mind. Tatizo ya ATCL sio la kuka vikao vya kisiasa na kuwapa 2 bil waanze kuruka. Mambo kama haya ndio yanapoteza maana ya wasomi Tanzania. na hii ndio sababu wasomi wetu wengi hawataki kurudi kufanya kazi Tanzania kwa sababu hawatumiki. Serikari inapaswa kutambua nafasi yao ya siasa itakuwepo pale pale hata nchi za wenzetu huku nafasi ya siasa bado inanafasi katika maamuzi lakini baada ya kupata ushauri wa kitaalamu.


BM, mimi nakubaliana na wewe kabisa na mapendekezo yako ya wakati ule niliyaendorse kwani nami nilikuwa naona kama wewe. Tatizo ni kuwa watawala wetu hadi hivi sasa wanaamini kuwa tatizo ni fedha. Sasa pendekezo langu la bilioni 500 ni la kukebehi kuwa wakiwapa bilioni 500 bado watakuwa na matatizo!
 
BM, mimi nakubaliana na wewe kabisa na mapendekezo yako ya wakati ule niliyaendorse kwani nami nilikuwa naona kama wewe. Tatizo ni kuwa watawala wetu hadi hivi sasa wanaamini kuwa tatizo ni fedha. Sasa pendekezo langu la bilioni 500 ni la kukebehi kuwa wakiwapa bilioni 500 bado watakuwa na matatizo!

Ukiwapa hiyo wataanza na kudesign logo(1 billion)...this time labda itafanana na emirates ili ifananenane kifanisi...teh heh ehheeh
 
Insurgent, great to see you bado unashikilia bango nembo yao....:) lol

Hii nchi yetu imezidi kwa copy-paste. Kiasi hiki kwa kweli? Na kiasi kilichotumika ni millioni 200? Kila pembe watu waliopewa dhamana ya uongozi ni wezi na wazembe.

Hili shirika ni la umma, je taarifa za account/audit na matumizi ya hili shirika jamaa wa CAG si wanazo? Au mimi kama mlipakodi nitazipataje?
 
Kaizer
Kaizer has no status.
Senior Member Join Date: Tue Sep 2008
Posts: 163
Rep Power: 21

Thanks: 21
Thanked 54 Times in 37 Posts
Credits: 5,355

Re: ATCL Kwawaka moto!

--------------------------------------------------------------------------------

Kuuliza sio ujinga mkuu.Hivi ukifanya hivyo maana yake ni nini hasa?Ahsante.
 
Kisha jamani ebu nipeni somo hapa...
Hilo neno - Wings of Kilimanjaro! - mbona linanishinda kuelewa..
 
Kisha jamani ebu nipeni somo hapa...
Hilo neno - Wings of Kilimanjaro! - mbona linanishinda kuelewa..

Nakubaliana na wewe. Halieleweki. Wings of Kilimanjaro kivipi?, wanamaanisha Kilimajaro ni muhimu kuliko Tanzania?
 
Kilimanjaro, mbona jina hili linatumika kwenye mambo mengi tu tanzania, hata ile bia famous ya TBL nayo inatumia jina hili hili.

Mkuu Mkandara niko pamoja na wewe na mimi napendekeza kuwa wenye hilo jina wapewe royalty kila mwaka ili waendeleze huo mkoa kwi kwi kwi ahahaha
 
Moelex23,
Nilijua tu mtakurupuka wenye kudai hilo jina, sijui ndio kina nani hao maanake Wachagga wenyewe wanauita Kilemaroiye!..
Hata hivyo, nilichoshindwa kuelewa ni kuunganisha shirika la ndege ya taifa, hiyo nembo yake na maneno yaliyofuatia Wings of Kilimanjaro kama yanauzika.
Mkuu siwezi kujua kila kitu, ndio maana nimeomba kupewa somo..najaribu kuelewa mahusiano..
 
Mkuu Mwanakijiji, Inawezekana bil 2 zikawa nyingi au kidogo. Vilevile bil 500 unazo propose zaweza kuwa ni zaid ya kinacho hitajika (not optimal reinvestment). Mimi nilishauri hapa ATCL ifanyiwe uchambuzi yakinifu (feasibility study) upya ili tuone tatizo ni nini na nini mtaji unaohitajika ni kiasi gani, wafanyakazi wanaohitajika ni wangapi na tuweze kuweze kucome up na manning structure itakayo ifanya ATCL kuwa shilika tishio Africa. Ni rahisi sana ila inataka determined mind. Tatizo ya ATCL sio la kuka vikao vya kisiasa na kuwapa 2 bil waanze kuruka. Mambo kama haya ndio yanapoteza maana ya wasomi Tanzania. na hii ndio sababu wasomi wetu wengi hawataki kurudi kufanya kazi Tanzania kwa sababu hawatumiki. Serikari inapaswa kutambua nafasi yao ya siasa itakuwepo pale pale hata nchi za wenzetu huku nafasi ya siasa bado inanafasi katika maamuzi lakini baada ya kupata ushauri wa kitaalamu.

Nakubaliana na wewe, ATCL is a problem on its own let alone capital. Ina wafanyakazi zaidi ya 300 wa kudumu huku ikirusha ndege 2 za kukodi!. Hapo sijawahesabu waexpert wa kukodi kuziendesha hizo ndege 2!.
Kuna thread niliwahi kusema I dought I.Q ya Mkulu, kutoa dozi ya bilioni 5 kutibu 'sikio la kufa', itaishia kulipa mishahara, posho na marupurupu ya hao wenye meno.
Moja ya kidonge kichungu ambacho ATCL lazima ikimeze,(to swalow the bitter pill) itake isitake, ni retrenchment to managable work force.
Kwa maoni yangu, hiyo likizo bila malipo ni danganya toto ndio maana wafanyakazi wameishtukia, the truth sio likizo bali ndiyo bye bye yenyewe!. ATCL yenyewe haina uwezo wa kiuchumi wa kupunguza wafanyakazi. Wengine wako hapo tangu EA Airways hivyo golden handshake yao pekeyake ni mamilioni.
Ushauri wako wa feasibility study ni muhimu lakini pia short time pili ni likizo bila malipo ikianzia kwa management na bodi yao. Wabaki few oparation staff kuzirun hizo ndege zao mbili kwa kutumia huto tujisenti twa serikali at the same time suluhisho la kudumu likitafutwa.
Huyu mwekezaji toka China nimesikia kalipia malipo nusu ya kununua ndege mpya 15 kati ya sasa na 2020!. Huu ni usanii mwingine kama mchezo wa TRL!.
 
Huyu mwekezaji toka China nimesikia kalipia malipo nusu ya kununua ndege mpya 15 kati ya sasa na 2020!. Huu ni usanii mwingine kama mchezo wa TRL!.
..
Sijui tutajifunza lini.. trust me mapungufu yote ya Wachina na uongozi wa ATCL tutakuja usikia baada ya miaka miwili, akitafutwa mchawi!
 
Wakati huo huo mchotaji kutoka Afrika kusini (SAA) bado anadai mgao wake. Kazi kweli kweli.
 
Mimi nadhani hapa JF ianzishwe thread maalum kwaajili ya kuipa serikali mawazo ya nini kufanikisha kuiwezesha ATCL kufanya kazi kibiashara na kiushindani zaidi. Iwekwe thread ambayo itashirikisha wataalam kutoka kila nyanja ile waweke maoni yao ya nini kifanyike. Kule Dubai mashirika yote ya usafiri ni state owned na yanafanya kazi kibiashara vizuri tu. Mpaka taxi ni state owned. Sasa, sisi nini kinatushinda? Tena mbona huku ndio kuna cheap labourers wengi? Kwanini tanashindwa kuwa wafanisi? Kama viongozi wa mashirika wanafuja hela, mbona hawakamatwi? Hakuna auditors kwani? External auditors je? Au ni tatizo la utashi wa viongozi tu? Lakini inawezekanaje viongozi wote wakawa vilaza? Kuna mambo mengi hapa ya kujiuliza.
 
Zero,
Mkuu wangu kama hujafahamu basi fahamu leo kuwa Tanzania ni nchi ya USANII.. sinema tumeziona toka mwalimu hadi sasa tofauti ni ya sinema hizi ni kuwa zipo zinazotisha Horror, action, Drama na nyingine ndio hizi za Comedy!..
 
Kwa nini huyo Matakataka anabembelezwa hivi kama yai? eeeeeh, au anajua sana kuwalisha wakulu nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom