Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,112
- 22,307
Habari zilizotufikia punde huko makao makuu ya atcl mjini kunawaka moto,,
chanzo chetu kilicho huko tanzania kinasema Mkutano mkubwa umeitishwa na CEO wao MH david mattaka, NA HABARI ZILIZOJIRI MH SANA AMEANZA KWA KUCHOKOZA WATU WAENDE LIKIZO BILA MALIPO, KATIKA KUULIZWA NA KUBANWA WAPI SHERIA KAMA HIYO IPO, ameshindwa kujieleza na hivi sasa kunawafanyakazi wananyanyua viti kupingana na agizo lake.
habari zaidi wafanyakazi wamerudia tena CEO kazi imekushinda waachie wengine...mwenye taarifa zaidi huko tz atujulishe jamani,jamani hii atcl si ndio iliopewa billion 2,billion 2.5,billion 2, na inatarajiwa ati kuongezewa billion 3
jamani huyu mtu anataka kutafuna pesa zote bila ya kuwa na wafanyakazi ama!!tuleteeni nyuzi
chanzo chetu kilicho huko tanzania kinasema Mkutano mkubwa umeitishwa na CEO wao MH david mattaka, NA HABARI ZILIZOJIRI MH SANA AMEANZA KWA KUCHOKOZA WATU WAENDE LIKIZO BILA MALIPO, KATIKA KUULIZWA NA KUBANWA WAPI SHERIA KAMA HIYO IPO, ameshindwa kujieleza na hivi sasa kunawafanyakazi wananyanyua viti kupingana na agizo lake.
habari zaidi wafanyakazi wamerudia tena CEO kazi imekushinda waachie wengine...mwenye taarifa zaidi huko tz atujulishe jamani,jamani hii atcl si ndio iliopewa billion 2,billion 2.5,billion 2, na inatarajiwa ati kuongezewa billion 3
jamani huyu mtu anataka kutafuna pesa zote bila ya kuwa na wafanyakazi ama!!tuleteeni nyuzi