ATCL Cabin ... Uniforms Cost USD49,000 ( PHOTO)

ATCL Cabin ... Uniforms Cost USD49,000 ( PHOTO)

Sasa hao maafisa wawili walioenda kuzisimamia kwa 45days China walikuwa wanakaa kiwandani every day kuangalia zinavyoshonwa au walikuwa wanakula bata na wanawake wa-Kichina. Watu hawana huruma na nchi yao then tunaanza kumlaumu JK mwisho wa siku.
 
Wacha watu wapige pesa mngekuwa nyie mmepelekwa nje ndo mngenyamaza ehh kila mtu mwizi ni nafasi tu hamjapata
 
Kazi nyingine raha, sare mnaletewa!!Sijui na sie manesi na madaktari tuombe tushonewe na sie kiulaya ulaya ingawa hospitali ziko kibongobongo. angalau na sie jamani. Hamna intelligent wa wizara ya afya wa namna hizo jamani. Angalau trial tu hata hospitali mbili tatu.
wasijali sana sie mengine tumezoea kuumia ila huku kutamanishana sana. Ngoja tu tuendelee kugawana angalau hizo panadol na flagyl.
 
Mkuu ritz nasikia Chizi alikuwepo hapo enzi hizo ATC kisha akafutwa kazi. Akafanya kazi Community Airline na baadaye ndio akateuliwa kuwa Mkuu wa ATCL!

Kwa hali hii na ufisadi huu hakika tunatakiwa tuwe na sheria kama za China! Shaba tu hapo manake ukienda kwenye utawala wa sheria huko wenye haki hawana haki wasikuwa na haki wanapewa haki!

Pia umefika muda wananchi tuanze kuwachapa viboko mafisadi kama hawa. Picha za mafisadi zibandikwe masokoni, vituo vya basi na sehemu zote zenye mikusanyiko ili tuwaone na kuwafahamu. Huyo Chizi mimi simfahamu nilikuwa nadhani ni yule Chiziii ambaye huwa namuona kwenye vyombo vya habari nyakati za mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM kumbe siye.
 
Last edited by a moderator:
Kazi nyingine raha, sare mnaletewa!!Sijui na sie manesi na madaktari tuombe tushonewe na sie kiulaya ulaya ingawa hospitali ziko kibongobongo. angalau na sie jamani. Hamna intelligent wa wizara ya afya wa namna hizo jamani. Angalau trial tu hata hospitali mbili tatu.
wasijali sana sie mengine tumezoea kuumia ila huku kutamanishana sana. Ngoja tu tuendelee kugawana angalau hizo panadol na flagyl.
,mkuu garama zake unaziweza??usione wanashonewa tuuu @loh
 
Mkuu ritz nasikia Chizi alikuwepo hapo enzi hizo ATC kisha akafutwa kazi. Akafanya kazi Community Airline na baadaye ndio akateuliwa kuwa Mkuu wa ATCL!

Kwa hali hii na ufisadi huu hakika tunatakiwa tuwe na sheria kama za China! Shaba tu hapo manake ukienda kwenye utawala wa sheria huko wenye haki hawana haki wasikuwa na haki wanapewa haki!

Pia umefika muda wananchi tuanze kuwachapa viboko mafisadi kama hawa. Picha za mafisadi zibandikwe masokoni, vituo vya basi na sehemu zote zenye mikusanyiko ili tuwaone na kuwafahamu. Huyo Chizi mimi simfahamu nilikuwa nadhani ni yule Chiziii ambaye huwa namuona kwenye vyombo vya habari nyakati za mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM kumbe siye.

tungekuwa tunapiga shaba unahisi ADAM NA EVA WANGEKUWEPO
 
sasa hao maafisa wawili walioenda kuzisimamia kwa 45days china walikuwa wanakaa kiwandani every day kuangalia zinavyoshonwa au walikuwa wanakula bata na wanawake wa-kichina. Watu hawana huruma na nchi yao then tunaanza kumlaumu jk mwisho wa siku.
walikuwa wanashikilia uzi wewe vipi???????????kila mtu anakula urefu wa kamba yake pasua uko uliko usisubiri rudandas wajukuu wakujutie loh
 
no data no research no right to speak; uniform zilizo ongelewa na mhesh mwakyembe sio hizi hawa niwanafunzi wa chuo cha mafunzo ya cabin crew.
1000 ya nusus saa imeisha nini angalia chini zimeshawekwa mpwa hao waliowekwa ni wanakwaya wa mt anthonio wa paduwa mbagala zakhem
 
mambo kama haya ndio ya kuandamana na kuilazimisha serikali kujiuzulu sio upuuzi huu eti wa wanafunzi wa kiislamu wanafelishwa!!
 
Wacha watu wapige pesa mngekuwa nyie mmepelekwa nje ndo mngenyamaza ehh kila mtu mwizi ni nafasi tu hamjapata
Kama wewe na baba yako ni wezi usituingize na watu wengine mwizi mkubwa!
 
bora wazanzibar wajiteneg ni aibu kubwa kuwa na muungano na watu wa aina hii
 
Mkuu ritz nasikia Chizi alikuwepo hapo enzi hizo ATC kisha akafutwa kazi. Akafanya kazi Community Airline na baadaye ndio akateuliwa kuwa Mkuu wa ATCL!

Kwa hali hii na ufisadi huu hakika tunatakiwa tuwe na sheria kama za China! Shaba tu hapo manake ukienda kwenye utawala wa sheria huko wenye haki hawana haki wasikuwa na haki wanapewa haki!

Pia umefika muda wananchi tuanze kuwachapa viboko mafisadi kama hawa. Picha za mafisadi zibandikwe masokoni, vituo vya basi na sehemu zote zenye mikusanyiko ili tuwaone na kuwafahamu. Huyo Chizi mimi simfahamu nilikuwa nadhani ni yule Chiziii ambaye huwa namuona kwenye vyombo vya habari nyakati za mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM kumbe siye.
Kimbunga huyu jamaa kafanya sana ufisadi ATCL halafu dada zetu wafanyakazi wa kwenye ndege wanamjua vizuri sana.
 
Last edited by a moderator:
inasikitisha kuona kuna watu wanajiita binadamu,kuna watu wana kufuru ajabu yani ivi vitambaa ndo bei hiyo?...yani nilipatwa hasira
Mbona kwa tz hyo hela ni ndogo aisee
 
tungekuwa tunapiga shaba unahisi ADAM NA EVA WANGEKUWEPO

mkuu Pdidy kwani Adam na Eva wapo? Hukumbuki hukumu ya Mungu baada y wao kutenda dhambi? Alisema kufa hakika mtakufa tena akaongeza Mwanamume atakula kwa jasho na mwanamke atajifungua kwa uchungu! Mungu ndiye wa kwanza kuwapa watenda dhambi hukumu ya kifo na kabla ya kufa wapate uchungu wa kula kwa jasho na kjifungua kwa uchungu. Upo?
 
Last edited by a moderator:
Nani ni designer? Yaani hawa ni brown na hizo nguo brown... matokeo ni uchakavu wa hao watu na ni mateso kweli

wamechoka kama Viatu Vyao Vinavyoonyesha... Kweli Ukiwaweka wa Kenya na wa Kwetu; hata kama bei ya Ticket ya

Kenya ni Ghali, Narukia ya Kenya kwasababu wao ni weusi zaidi yetu lakini rangi za nguo zao zinateleza na kupendezesha

mantiki ya rangi yao. Hapa Sisi tatizo ni kugawa pesa kwa Marafiki, Serikali ina pesa za kuchezea yaani wanaonekana

Kama Vichuguu... PAINFULL!!!

Hivi Blue, Njano, Kijani zilizo katika Bendera yetu hazina dili eeeh?
 
Back
Top Bottom