GE2025 Atawatawala kwa Risasi na Mamluki?

GE2025 Atawatawala kwa Risasi na Mamluki?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Huu ujinga wa kuamini Mungu wengine tulishaukataa kitambo.

Nikikwambia uthibitishe Mungu yupo huwezi.

Huwezi.

Usitulishe huu ujinga in secular spaces nenda kahubiri kanisani huko.
Huyu mtu anaudhi sana, yaani ni binadamu wale wanaosherehea watu wakipatw na mabaya, ni kama mchawi Fulani hivi,

Nashangaa ni mwandishi gani wa habari mjinga kama hivi, anachoandika hakieleweki , kama ni mwandishi kweli, hajulikani anasimamia nini ktk uandishi wako, ni mtu anayeleta maudhi tu.
 
Naunga mkono, isipokuwa paragraph ya mwisho niweke maneno kidogo.

Maandamano haya yana element nyingi sana ndani yake, naamini hata wao na vyombo vyao kuna kitu wamejifunza. Huko mbele hali itakuwaje, ni swali ambalo nadhani nitaweka akiba ya maneno kidogo kwasababu ni ukweli CCM wakipata tishio la msingi kabisa hufanya jitihada za kubadilika. Ngoja tuendelee tazama wanavyo changa karata zao upya.
Ndugu yangu , unasema watabadilika, ili waweje, hivi kwa akili ya kawaida, wakinadilika wanabadilikaje, hicho chama , kuanzia Viongozi wao wote mpaka uongozi wa chini kabisa, akili zao ndio hizo, mpaka washabiki wao wapo hivyo, leo wabadikike, kinabadilika kitu gani, ndio maisha waliozoea, dawa ni kufura hicho chama kabisa
 
Ukiwajibu unakula tusi, kama ulikuwa umri wa makamo, utakuwa ulikiona kipindi changu cha Kiti Moto, yale ndio maswali yangu, JPM ni mtu wangu, tukikutana tunaongea, hivyo nililala kawaida kabisa.

Huwa tunakutana kutana na JPM kitaa
View: https://youtu.be/kws2YUVqNq0?si=e2-xC_q5v6XPXMaf

P

Okay, nilijiwa na swali hilo kwakuwa niliona video yako nyingine ukieleza maswahibu yaliyo kukuta baada ya kuuliza swali lile ikulu na kuwa kweli mayalla (njaa) ilikupata baada ya pale.
 
Ndugu yangu , unasema watabadilika, ili waweje, hivi kwa akili ya kawaida, wakinadilika wanabadilikaje, hicho chama , kuanzia Viongozi wao wote mpaka uongozi wa chini kabisa, akili zao ndio hizo, mpaka washabiki wao wapo hivyo, leo wabadikike, kinabadilika kitu gani, ndio maisha waliozoea, dawa ni kufura hicho chama kabisa
Niliandika kwa kurejea hali ya 2015 na maamuzi ya CCM kuja na JPM kama mtu sahihi dhidi ya hoja zote zilizo elekezwa kwao kisiasa.
 
Unawaboa watu, watakuunganisha kwenye list.

Read the room.
Kosa langu kuu humu jf ndio hili la kuusema ukweli ulivyo hata kama utawaboa wasioukubali ukweli,siandiki kufurahisha watu,nawaeleza ukweli

Mfano mzuri ni kuhusu matokeo ya uchaguzi, akiishatangazwa ni uchaguzi umekwisha,akiisha apishwa ni rais wa JMT, no one can do anything na sasa ndio itakuwa hakuna nywinyi wala nywinywinywi!
P
 
Kosa langu kuu humu jf ndio hili la kuusema ukweli ulivyo hata kama utawaboa wasioukubali ukweli,siandiki kufurahisha watu,nawaeleza ukweli

Mfano mzuri ni kuhusu matokeo ya uchaguzi, akiishatangazwa ni uchaguzi umekwisha,akiisha apishwa ni rais wa JMT, no one can do anything na sasa ndio itakuwa hakuna nywinyi wala nywinywinywi!
P
Kwa nini iwe hivyo?

Kwa nini iwe ukitangazwa uchaguzi umekwisha?

Kwa nini Kenya iwe tofauti na ncho yao imeenda poa tu haijaanguka?

Hivi unaweza kuutetea utawala dhalimu wa makaburu wa Afrika Kusini kwa sababu kulikuwa na sheria zinazoupa nguvu ya kubagua weusi ulivyowabagua?

Kama sheria ni dhalimu, ukitetea utawala unaosimamishwa na sheria dhalimu, kwa nini na wewe tusikuite mdhalimu?
 
Kwa nini iwe hivyo?

Kwa nini iwe ukitangazwa uchaguzi umekwisha?

Hivi unaweza kuutetea utawala dhalimu wa makaburu wa Afrika Kusini kwa sababu kulikuwa na sheria zinazoupa nguvu ya kubagua weusi ulivyowabagua?

Kama sheria ni dhalimu, ukitetea utawala unaosimamishwa na sheria dhalimu, kwa nini na wewe tusikuite mdhalimu?

Jana nilikuwa naangalia TV moja ya Kenya na walikuwa wanalizungumzia hilo suala la ukishatangazwa ndo basi tena, uchaguzi umekwisha.

Walikuwa wanashangaa ni jinsi gani Tanzania inaweza ikawa na sheria ya kipumbavu namna hiyo katika karne hii ya 21.

Tuna sheria za ajabu sana ambazo yawezekana zinapatikana Tanzania tu.

Na ndo maana hata ile jana yule mwenyekiti wa tume alitangaza ushindi wa Samia kwa kutumia random numbers tu.

Wote tunajua Samia hakupigiwa kura na watu milioni 31.

Wote tunajua hakupata 97.6% ya kura.

Nimetoka kuongea na watu wangu wa Shinyanga huko na wanasema ni watu wachache sana waliojitokeza kupiga kura.

Somehow and someway, people boycotted this election and it was countrywide.

Kwa nchi kama Tanzania, turnout ya watu milioni 32+ ni kubwa sana. Haifichiki. Hiyo ni karibu ya nusu nzima ya population ya Tanzania.

Long ass queues would have been witnessed all over the country.

But somehow Samia managed to get 31 million votes 😂😂.

A landslide win!

And they had the unmitigated gall to say she won by 97.6% of the vote.
 
Tumemshauri humu kazi ya kwanza baada ya kuapishwa ni healing the nation,

Kwa mujibu wa katiba yetu,akiishatangazwa,ndio ametangazwa,uchaguzi umekwisha,there is nothing anybody can do. Kitu cha kwanza baada ya kuapishwa,
1. atoe a general amnesty kwa wale wahalifu wote waliofanya ule uhalifu kwasababu japo ni wahalifu kwa maandamano yaliyoambatana na uharibifu wa mali wa kijinai, kwa wengine hawa vijana ni mashujaa wakombozi waliojitoa kuipigania nchi yao, asiwaadhibu. Tena CDF Mkunda aondoshwe, Wale the good ones waandikishwe JKT wachujwe, waajiriwe jeshini.
2. akubali serikali italipa fidia kwa kila uharibifu uliotokea kwasababu ni serikali yake imesababisha yote haya.
3. a heal the nation kwa kuwateua Lissu,Zitto,Mpina,na Mwalimu katika zile nafasi zake 10 za ubunge ili kuwapoza moto Gen Zii, mtu kama Lissu akisimama na kusema tulieni, vijana wanatulia.
4. Ashushe mabega chini,awe humble,aje down to earth, asiendelee kutambia urais wake wala u mimi ndie Amiri Jeshi, 5 days taifa limechafuka hakuna kauli ya CinC!
5. a wa disband wasiojulikana ambao ni 'wasiojulikana', na ni “wasiojulikana” kweli hawajulikani,akubali serikali yetu haina uwezo kuwabaini,aombe msaada wa kusaidiwa na yeyote,tukiwemo sisi waandishi wa IJ.

P
Na wewe nawe?
Nothing can be done sio kweli
Zipo mahakama za kimataifa z inaweza kumhukumu
Acheni kuwaogopesha watu
Mmemshauri Nani ?
 
Kosa langu kuu humu jf ndio hili la kuusema ukweli ulivyo hata kama utawaboa wasioukubali ukweli,siandiki kufurahisha watu,nawaeleza ukweli

Mfano mzuri ni kuhusu matokeo ya uchaguzi, akiishatangazwa ni uchaguzi umekwisha,akiisha apishwa ni rais wa JMT, no one can do anything na sasa ndio itakuwa hakuna nywinyi wala nywinywinywi!
P

haiwezekani hata siku moja kwenye communist country ukatumia real id yako halafu ukawa huru kimawazo.

kwangu you are just gaslighting people lkn ni mmoja wao, i.e sehemu ya huu mfumo unao tesa na kuuwa watu, vinginevyo usingekuwa huru hivyo tena na picha yako juu? halipo hilo.

i mean kwenye nchi ambayo wanadiriki kuzima internet karibia wiki in the 21st century ambapo internet ni kila kitu halafu wewe ujianike hivyo huku ukijaribu kuaminisha watu kwamba hauna upande? …
 
Wamemtangaza..watamuapisha
Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona
Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao...

Lakini hadi hivi sasa hawajaonesha hata kidogo kuelewa kilichotokea...kusikitika lakini kitendo cha kuleta mamluki kwenye nchi yetu ni dhambi kubwa sana...

Wao wamemtangaza kwa risasi
Mioyo imemkataa na kuasi.
Unaumia ukiwa wapi?
 
Mpishi wa haya yote na sterling tangu square A ni mchengrwa so atamtengenezea script tu kama zingine atakariri akasome!

Huyu ndiye anastahili kujibu yote itakapofika ICC hapo baadaye, ni suala la muda tu! Hamna aliyetegemea protest na muda wake ulipofika zikawa na sasa muda wa ICC utafika tu pia, damu zote zilizomwagika zitakua accounted hatimaye
 
haiwezekani hata siku moja kwenye communist country ukatumia real id yako halafu ukawa huru kimawazo.

kwangu mimi you are just gaslighting people lkn ni mmoja wao, i.e sehemu ya huu mfumo unao tesa na kuuwa watu, vinginevyo usingekuwa huru hivyo tena na picha yako juu? halipo hilo.

i mean kwenye nchi ambayo wanadiriki kuzima internet karibia wiki in the 21st century ambapo internet ni kila kitu halafu wewe ujianike hivyo huku ukijaribu kuaminisha watu kwamba hauna upande? …
Mkuu Kija, Kijakazi , kuna watu ni ma bold, kama wewe ni wa mwaka 47 utakuwa unakijua kipindi changu cha Kiti Moto

Naamini hili
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=PYRR9SOeHpyu98oN
swali uliliona.

January nimealikwa Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma na kupewa a VIP treatment, angalia nilichokuja kuandika kwenye gazeti la Mwananchi
https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...fanyika-mkutano-mkuu-wa-ccm-ni-batili-4905320

Na sikuishia hapo, nikamwandikia Dada barua Thread 'Dada Mkubwa tunakupenda na tunakukubali, kama ni wewe, ni wewe tu, hakuna mwingine! Usiruhusu uhuni huu, fuata Katiba na the due process, utabarikiwa' Dada Mkubwa tunakupenda na tunakukubali, kama ni wewe, ni wewe tu, hakuna mwingine! Usiruhusu uhuni huu, fuata Katiba na the due process, utabarikiwa

Kama unaamini na mimi ni sehemu ya the deep state, amini tuu ila mtu wa ofisi ile anaweza Sema haya kuhusu ofisi yake? Thread 'TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!' TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

P
 
Mkuu Kija, Kijakazi , kuna watu ni ma bold, kama wewe ni wa mwaka 47 utakuwa unakijua kipindi changu cha Kiti Moto

Naamini hili
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=PYRR9SOeHpyu98oN
swali uliliona.

January nimealikwa Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma na kupewa a VIP treatment, angalia nilichokuja kuandika kwenye gazeti la Mwananchi
https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...fanyika-mkutano-mkuu-wa-ccm-ni-batili-4905320

Na sikuishia hapo, nikamwandikia Dada barua

P

ukaharibu kabisa na kuthibitisha kualika mwandishia wa kujitegemea ni makosa.
 
Back
Top Bottom