GE2025 Atawatawala kwa Risasi na Mamluki?

GE2025 Atawatawala kwa Risasi na Mamluki?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
I know it is too much to ask but the only solution under these circumstances ni uchaguzi urudiwe under a new electoral commission. This election should be declared null and void
Kitu ambacho hawatakuja kubali kamwe.
Madudu yao ni mengi na yamevuka mipaka, kwa sasa nchi imegawanyika na kuunganisha kundi kubwa dhidi ya dogo lenye Bunduki. Ya Syria yatatokea Tanzania
 
..uwezo wa kushinda bila kumwaga damu alikuwa anao.

..lakini kwa ujinga wake akaamua kutafuta ushindi kwa njia zisizofaa.
Kama kaiba kura 31mil alichopaswa fanya ni kufanya marekebisho, aweke katiba mpya kisha aibe siku ya uchaguzi.
 
..alikuwa na BILLION 100 alizochangiwa kwa ajili ya kampeni. Kwa maoni yangu uwezo huo wa kifedha ulikuwa unatosha kushinda uchaguzi hata kama Tume ya Uchaguzi ingekuwa imejaa wapinzani.
Bora angeiba kwa watu kupiga kura kuliko wizi ambapo hapakuwa na mtu kapiga kura. Kwa ufupi katengeneza bomu ambalo hajui lalipuka lini
 
P

Leo wewe Leo wakumpa heshima kubwa namna hii Mh. Lissu? Am i dreaming?
Tumemshauri humu kazi ya kwanza baada ya kuapishwa ni healing the nation,

Kwa mujibu wa katiba yetu,akiishatangazwa,ndio ametangazwa,uchaguzi umekwisha,there is nothing anybody can do. Kitu cha kwanza baada ya kuapishwa,
1. atoe a general amnesty kwa wale wahalifu wote waliofanya ule uhalifu kwasababu japo ni wahalifu kwa maandamano yaliyoambatana na uharibifu wa mali wa kijinai, kwa wengine hawa vijana ni mashujaa wakombozi waliojitoa kuipigania nchi yao, asiwaadhibu. Tena CDF Mkunda aondoshwe, Wale the good ones waandikishwe JKT wachujwe, waajiriwe jeshini.
2. akubali serikali italipa fidia kwa kila uharibifu uliotokea kwasababu ni serikali yake imesababisha yote haya.
3. a heal the nation kwa kuwateua Lissu,Zitto,Mpina,na Mwalimu katika zile nafasi zake 10 za ubunge ili kuwapoza moto Gen Zii, mtu kama Lissu akisimama na kusema tulieni, vijana wanatulia.
4. Ashushe mabega chini,awe humble,aje down to earth, asiendelee kutambia urais wake wala u mimi ndie Amiri Jeshi, 5 days taifa limechafuka hakuna kauli ya CinC!
5. a wa disband wasiojulikana ambao ni 'wasiojulikana', na ni “wasiojulikana” kweli hawajulikani,akubali serikali yetu haina uwezo kuwabaini,aombe msaada wa kusaidiwa na yeyote,tukiwemo sisi waandishi wa IJ.
 
P

Leo wewe Leo wakumpa heshima kubwa namna hii Mh. Lissu? Am i dreaming?
Kumbe hujui nimetoka wapi na TL
1. Ni skulumeti wangu Ilboru Thread 'Vurugu za Bungeni: Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.' Vurugu za Bungeni: Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.

2. Ni mimi nilimshauri agombee na JPM Thread 'Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!' GE2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli.

3. Thread 'Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!' Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

4.Thread 'Thamani Kuu ya Tundu Lissu ndani ya CHADEMA ni Ipi Kati ya Uwezo wa Uenyekiti wa chama au Uwezo wa kukipeleka chama Ikulu 2025 ?' Thamani Kuu ya Tundu Lissu ndani ya CHADEMA ni Ipi Kati ya Uwezo wa Uenyekiti wa chama au Uwezo wa kukipeleka chama Ikulu 2025 ?
4.
 
Afu anaenda msikitini

Sema aliyemshauri kuua wananchi kamsaidia abaki madarakani maana wanajeshi walishindwa jua nani anaua ikabidi warudishe watu ndani

..angetekeleza 4R tusingefika katika vurugu na mauaji.
 
Nakubaliana ma wewe kabisa, haya ni mambo ya kusikitisha na ya kuhuzunisha. Wamekipata walichokitaka. Sasa umoja wa kitaifa na kauli kama hizo basi… tuishi kwa kuviziana kama wanyama msituni.

Kwa kuwa viongozi wa dini wamekaa kimya mpaka sasa, na sisi sasa hakuna kutoa sadaka kanisani kwa sasa maana wako kimya hadi wakati huu. Serikali ifanye mpango wa kuwapelekea sadaka huko makanisani kwa ukimya wao.

Vifo vyote hivyo ni ili mtu aendelee kutuongoza, kwa kweli nahuzinika sana kwa vifo vyote vilivyotokea... Siku moja na wao walivyo visababisha, yawakumbuke mateso maradfu- AMEN.
Kwa mtazamo, hao viongozi wa dini walitoa kila aina ya angalizo ama "warning alert" ya kitakachotokea.. Lakini ni kama walibezwa, waliwindwa na wengine kupapaswa... Sasa hivi ndio waonyeshe kuwahitaji? Ukimya wao una majibu mengi, kwa sasa wakiongea kwa kukurupuka itakua balaa zaidi.. Hekima ya ki Mungu iwaongoze wasitoe matamko ya kutugawa bali kuponya nafsi zetu.
 
Yaani hii ya kukodi watu kuja kuua raia wako imeniuma sana. Ni dhairi kuwa huyu mama hana nia njema ya kutawala. Mtu mwenye nia njema hata kama anataka madaraka angejaribu kutafuta negotiations mezani. Kuwaua watu na majangiri wa kukodi ni wazi ana nia mbovu sana huko mbele. Ndugu zangu, taifa letu limekwisha.
Bahati mbaya sana anasaidiwa na watanganyika aliowagawia vyeo kuliteketeza taifa.
 
hii nchi ilishaenda na haitakuwa the same tena, kwani tumeshakuwa kama zile pariah states ambazo madikteta huwa hawatoki kwa sababu ya kuhofia madhambi walioyafanya, ndiyo maana madikteta wote huweka watoto, wake au familia zao, tumeshafika huko.

masikini nchi yetu …
sure una jicho kuona mbali kama tusipokubaliana hii nchi imeenda kuna visasi sio vya kitoto
 
Tumemshauri humu kazi ya kwanza baada ya kuapishwa ni healing the nation,

Kwa mujibu wa katiba yetu,akiishatangazwa,ndio ametangazwa,uchaguzi umekwisha,there is nothing anybody can do. Kitu cha kwanza baada ya kuapishwa,
1. atoe a general amnesty kwa wale wahalifu wote waliofanya ule uhalifu kwasababu japo ni wahalifu kwa maandamano yaliyoambatana na uharibifu wa mali wa kijinai, kwa wengine hawa vijana ni mashujaa wakombozi waliojitoa kuipigania nchi yao, asiwaadhibu. Tena CDF Mkunda aondoshwe, Wale the good ones waandikishwe JKT wachujwe, waajiriwe jeshini.
2. akubali serikali italipa fidia kwa kila uharibifu uliotokea kwasababu ni serikali yake imesababisha yote haya.
3. a heal the nation kwa kuwateua Lissu,Zitto,Mpina,na Mwalimu katika zile nafasi zake 10 za ubunge ili kuwapoza moto Gen Zii, mtu kama Lissu akisimama na kusema tulieni, vijana wanatulia.
4. Ashushe mabega chini,awe humble,aje down to earth, asiendelee kutambia urais wake wala u mimi ndie Amiri Jeshi, 5 days taifa limechafuka hakuna kauli ya CinC!
5. a wa disband wasiojulikana ambao ni 'wasiojulikana', na ni “wasiojulikana” kweli hawajulikani,akubali serikali yetu haina uwezo kuwabaini,aombe msaada wa kusaidiwa na yeyote,tukiwemo sisi waandishi wa IJ.

P
With due respect, mzee wangu umeongea nonsense. Kwa mawazo yako Lissu anautaka ubunge au uteuzi wa aina yoyote? P are you serious?

Hakuna fidia yoyote itakayoweza kupoza machungu ya tuliopoteza ndugu zetu na kushusha hasira na chuki miongoni mwetu.

Kama huyo bibi yenu ana nia ya dhati ya kulitibu taifa mshaurini a step down kama mnaweza.
 
Next episode tutatoka wengi na tutaonana
Kama mtamzania na mzalendo wa nchi yangu nmeumizwa mno
Sijui hawa majamaa zangu waliopo kwenye vyombo vya usalama kama tutaweza kuangaliana tena kwa Upendo

MMETUCHAFUA SANA WAZALENDO NA WATANZANIA
LAANATULLAH
 
Back
Top Bottom