Upo sahihi mkuu, mambo mengi tunayoelezwa ni fabrications tu za hao wanaojiita NASA. Kama wameshindwa kwenda kwenye sayari hata moja kwenye solar system yetu ni vipi wataweza ku comprehend kuhusu galaxies ambazo zina billions of stars. Ukisoma biblia kitabu cha Ayubu 26:7 kaandika, "He stretches out the north over the empty place, and hangs the earth upon nothing" pia Ayubu 28:5 kaandika "As for the earth, out of it comes bread: but under it is turned up as it were fire" Kwa hiyo vitu kama hivi vinavyohusu universe watu kama Ayubu walikuwa tayari wamesha vi comprehend miaka mingi sana huko nyuma ingawaje baadaye tulikuja kuaminishwa galileo galilei ndo alileta theory kwamba dunia ina umbo la tufe. Pia ukisoma Ayubu 26:14 amekiri kwamba hicho alichokuwa anaelewa ni kidogo sana ndo maana ukisoma Ayubu 38: 4-5 Mungu alivyomuuliza maswali, 4. Where were you when I laid the foundations of the earth? declare, if you have understanding. 5 Who has determined the measures thereof, if you know? or who has stretched the line upon it? 6 .On what are its foundations fastened? or who laid its cornerstone; Kwa hiyo utagundua kwamba kama ilivyokuwa kwa Ayubu hata hao scientists wanaweza ku comprehend kiasi kidogo sana kuhusu universe, ni kama tone kwenye bahari.