At the end we will prove that we are all wrong ,not only Newton

At the end we will prove that we are all wrong ,not only Newton

Wakati nikiwa junior grade niliwahi kum challenge mwalimu nikaambulia barua ya utovu wa nidhamu..fine Einstein namheshimu ila tafiti inapingwa na tafiti...atabaki kuwa mwasisi ila zama zinabadilika!
Pole sana ila sishangai. Hata kumuelewa Einstein vizuri bado watu hawajaweza kwasababu anaongelea vitu ambavyo hatuwezi kuvi comprehend unlike Newton. Sasa ikisikika Einstein amepingwa tena na "ghost physics" watu hawaelewi wanazidi kuchanganyikiwa wanabaki tu Einstein hawezi kuwa falsified.
 
The creator is the one knows, you as human being step aside, what you know is just close to the truth but not the reality.
 
Pole sana ila sishangai. Hata kumuelewa Einstein vizuri bado watu hawajaweza kwasababu anaongelea vitu ambavyo hatuwezi kuvi comprehend unlike Newton. Sasa ikisikika Einstein amepingwa tena na "ghost physics" watu hawaelewi wanazidi kuchanganyikiwa wanabaki tu Einstein hawezi kuwa falsified.
Kuna topic first year kwa watu walio pursue Physics inaitwa mechanics...wakufunzi walikuwa complex kuliko hata Newton mwenyewe! Anyway innovation inaendelea ..wacha tafiti ziendelee!
 
Ina hold significance manake bila Newton tusingeweza kujenga skyscrapers, engineering etc. But still he was wrong, not completely wrong, alishindwa tu kuelewa kwamba hamna mvutano. Na nyakati pia zili changia.
All in all bado anabaki kuwa na mchango mkubwa maana einstein ndo alianza ku mchalenge jamaa kwa relativity idea zake
 
Kuna topic first year kwa watu walio pursue Physics inaitwa mechanics...wakufunzi walikuwa complex kuliko hata Newton mwenyewe! Anyway innovation inaendelea ..wacha tafiti ziendelee!
Kumbe. Mi sijui kwasababu mara ya mwisho kufundishwa physics darasani ilikuwa form four.
 
"there is no such thing as gravity but bend in space time". Inayafonya Earth kuifuata Jua sio mvutano, bali Earth imedumbukia kwenye shimo la Jua.
Naweza kuuliza hapa kidogo mkuu kwamba no kipi basi kinachozuia duniani isidumbukie moja kwa moja ndani ya kiini cha jua ikiwa kama ni kufuata muelekeo na si uvutano..?
 
Kumbe. Mi sijui kwasababu mara ya mwisho kufundishwa physics darasani ilikuwa form four.
Sijui kama navyowaza ni sahihi ila wanadamu tuna kasumba moja amabayo tunaamini kwamba walichofanya tunaoaminishwa kwamba walikuwa sahihi basi hakitakiwi kuwa challenged!
Mathalan ukiangalia tafiti alizofanya Charles Darwin kuhusu ' theory of evolution by natural selection ' utagundua tumepata pa kuanzia ili kupitia matango pori!
 
Mimi hapa sielewi kabisa. Lakini nina nia yakutaka kuelewa.
 
All in all bado anabaki kuwa na mchango mkubwa maana einstein ndo alianza ku mchalenge jamaa kwa relativity idea zake
Ni kweli. Walianza akina Faraday, Tesla etc lakini Einstein ndo aligusa penyewe. Alimuangusha giant ambaye hakupingwa kwa karibia miaka 400. Na bila hao akina Tesla na Faraday tusingekuwa na umeme.
 
Naweza kuuliza hapa kidogo mkuu kwamba no kipi basi kinachozuia duniani isidumbukie moja kwa moja ndani ya kiini cha jua ikiwa kama ni kufuata muelekeo na si uvutano..?
Umbali. Umbali ni mkubwa. Tungekuwa karibu tungedumbukia.
 
Back
Top Bottom