At the end we will prove that we are all wrong ,not only Newton

At the end we will prove that we are all wrong ,not only Newton

Hii nayo ni theory tu!! Ukiangalia sana, Discovery science na theory zao kutoka NASA zinatuharibu akili kabisa.
Hakuna hata kimoja kina exist, sio black hole, Galaxies wala kutuambia kuwa jua ni kubwa kuliko dunia. Yote hayo ni uchafu tu, wala dunia haizunguki jua, shuleni tumefanywa fools, na kweli duniani kuna full of fools. Theory kibao za uongo.
Naomba usini quote tena na upuuzi wako. Kama ingekuwa uongo ungeweza kuingia mtandaoni na kuandika huu utumbo? Kama huelewi uliza.
 
Einstein mwenyewe wapo wanaodai aliendeleza nadharia aliyoikuta hakuanzisha jipya zaidi ya kurahisisha ile equation ya KE=1/2Mv(square) ambayo hapo awali haikuwa hivyo.
 
Nina mpango wa kuleta uzi niliyo summarize vizuri kwa lugha ya kiswahili watu waelewe ingawa najua sio rahisi watu waelewe manake scientists wenyewe hawaelewi quantum physics.


Mkuu huo uzi utakaoleta utakuwa kituko tu. eti, Quantum physics kwa kiswahili??!! 😫
 
epub version hiyo,link hapo chini
Image result for What is Real? The Unfinished Quest for the Meaning of Quantum Physics

https://anonymousfiles.io/YRNWkQQi/

Ooh chief asante ngoja npitie mdg mdg huku kuzimu 😅😅
 
Ndio umbali. Jua nilikubwa hivyo shimo linalotengenezwa halipo deep ila lipo wide unlike blackhole ambayo shimo lake ni deep sana ila halipo wide. Ndo maana unaweza ukasogea karibu kabisa kwenye Blackhole lakini usisikie chochote mpaka uvuke event horizon.
Ndio maana effects za Jua zinafika mpaka kwa Pluto. Jinsi unavyoendelea kusogelea Jua ndo unazidi kuingia kwenye shimo lake.
Dunia ipo ndani kwenye shimo lakini bado umbali nimkubwa sana, eight light minutes to be exact.
Na dunia haiendeleii kusogelea jua, yenyewe inazungukuka tu na kurotate kwenye axis yake.



Ina maana "black hole" tayari ipo??!!
 
Hhahahahaaa. Hamna blackhole kwenye solar system yetu.


The black hole is a universal term, refering to what would be the grave of the universe and it is yet to be formed.

Ulimwengu mzima hivi sasa bado unatanuka in its space na utakaposimama kutanuka ndipo utarudi nyuma ulipotokea na kukusanyika pamoja kama jinsi ulivyoanza, (all celestial bodies) utajikusanya kutokana na collosal force of gravity at a point (hub). Na point hiyo ndiyo inaitwa "black hole", au kwa kiswahili kaburi la ulimwengu.

Baadaye kutoka katika hiyo black hole itatokea "big bang" nyingine kuanzisha universe nyingine, na kitendo hicho ni repeated after every trillions of light years or so, ie, big bang-----black hoke----- big bang---- black hole and so on.
 
jaman kumbuken kitu kikiwa kinazunguka huwa kinaproduce a centripetal force which is eque to the weight of a body.. ko Issac Newton yuko sahih
 

Attachments

jaman kumbuken kitu kikiwa kinazunguka huwa kinaproduce a centripetal force which is eque to the weight of a body.. ko Issac Newton yuko sahih
How about bulging effect caused by centripetal force?..One of the evidence to explain the increase of diameter of the earth at the equator is centripetal force.
 
epub version hiyo,,,
nimeshai convert to pdf mkuu nimeki attach hapo chini..
enjoy😎,,, mwambie devil namsalimia tu,,apambane na hali yake😁😁
Asante kiongozi

Nshapata uhamisho nmehamishiwa mbinguni kuwakilisha kambi ya upinzani chief
 
Mr mlakimtoto,the rotation of the earth along its axis and revolution around the sun can not affect the diameter of the earth at the equator???
 
Naomba usini quote tena na upuuzi wako. Kama ingekuwa uongo ungeweza kuingia mtandaoni na kuandika huu utumbo? Kama huelewi uliza.
Siwezi kukuuliza chochote, kwa sababu wewe bado ni fool, bado hujaelimika ila umekaririshwa na old school ties! Siwezi kupata majibu kwako kwa maswali yangu.
Ila nakutia moyo jifunze zaidi, utaugundua uongo mwingi sana wa NASA.
Nikudokeze kitu kidogo.
Kuna telescope duniani kubwa sana ya kuangalia ng'ambo inaitwa L.U.C.I.F.E.R inamilikiwa na VATICAN.
Unajua kwa nini inaitwa Lucifer?
Kirefu chake ni Large binocular telescope near infrared Utility with Camera and Intergral Unit for Extragalactic Research.
Lucifer ni jina la "shetani" kama tumjuavyo, au wao humwita malaika wa nuru.
Hivyo kazi ya astronomy ni kazi ya ibilisi ambaye ni baba wa uongo wote. Lakini cha ajabu pia telescope hiyo kubwa duniani inamilikiwa na taasisi ya dini kubwa duniani Vatican!
Hivyo nakushauri utafakari na ujifunze upya uachane na hayo matapishi unayoendelea kujilisha.
 
Kuweza kuprove black hole ina maanisha space haipo wazi ipo kama blanket. Shimo haliwezi kutokea kwenye uwazi. Space ikiwa kama blanket all matter including the sun stars etc zinatengeneza mashimo madogo madogo ambayo yanafanya matter ndogo zaidi zidumbukie.
Hivyo basi Newton was wrong because there is no such thing as gravity but bend in space time. Inayafonya Earth kuifuata Jua sio mvutano, bali Earth imedumbukia kwenye shimo la Jua.
Sijaelewa kabisa.
 
Back
Top Bottom