Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,219
- 3,427
Tena hiyo ya Charles Darwin ndo ina ukakasi haswa. Sio kwamba yote sio sahihi ila kuna maeneo mengi zaidi ya kurekebisha.Sijui kama navyowaza ni sahihi ila wanadamu tuna kasumba moja amabayo tunaamini kwamba walichofanya tunaoaminishwa kwamba walikuwa sahihi basi hakitakiwi kuwa challenged!
Mathalan ukiangalia tafiti alizofanya Charles Darwin kuhusu ' theory of evolution by natural selection ' utagundua tumepata pa kuanzia ili kupitia matango pori!