At the end we will prove that we are all wrong ,not only Newton

At the end we will prove that we are all wrong ,not only Newton

Ndio umbali. Jua nilikubwa hivyo shimo linalotengenezwa halipo deep ila lipo wide unlike blackhole ambayo shimo lake ni deep sana ila halipo wide. Ndo maana unaweza ukasogea karibu kabisa kwenye Blackhole lakini usisikie chochote mpaka uvuke event horizon.
Ndio maana effects za Jua zinafika mpaka kwa Pluto. Jinsi unavyoendelea kusogelea Jua ndo unazidi kuingia kwenye shimo lake.
Dunia ipo ndani kwenye shimo lakini bado umbali nimkubwa sana, eight light minutes to be exact.
Na dunia haiendeleii kusogelea jua, yenyewe inazungukuka tu na kurotate kwenye axis yake.
Unagusia vortex(spiral like) motion of the sun au.
 
Vitabu viko very interesting.
Nafikiri ninavyo hivi katika maktaba yangu, ila nikianza kuvitafuta sasa...it could take a week.
Vingine interesting on my list ni "The Quantum Labyrinth: How Richard Feynman and John Wheeler Revolutionized Time and Reality" cha Paul Halpern na "The Quantum Story: A History in 40 Moments" cha Jim Baggott.
I just finished "The Edge of Physics: A Journey to Earth's Extremes to Unlock The Secrets of the Universe" cha Anil Ananthaswamy a few months ago. But it was rather underwhelming.
Uko vizuri. Mimi nimesoma hicho cha labyrinth. Hivo vingine nitatafuta.
 
Yaani kitu kivutwe kuelekea shimoni, hapo hapo kiwe na uwezo wa kukizunguka hicho kitu kinachokivuta kuelekea shimoni
Sijasema kimevutwa kuelekea shimoni. Nimesema kimedumbukia.
Earth ina rotate na ku revolve kwasababu hapo zamani kabla haija dumbukia kwenye shimo la Jua, Dunia ilikuwa katika motion yake kali sana. Ilivo dumbukia hakuacha motion iliendelea na ndo maana ina spin na ku rotate.
Hata Jua na solar system yetu vina rotate around the centre of the galaxy.
 
Kumbe wewe ni neuroscientist?! That's nice. Mimi mwenyewe hapa nipo kwenye mambo ya visual arts ila I'm very interested kwenye quantum physics na mazagaza yake.
By the way ni kitabu gani unasoma hapo?
kwa hakika nimejisikia vyema kwani mimi pia nipo upande huu wa Arts lakini nmekua nikifatilia haya Mambo ....shukran kwa Nondo zako
 
Hapa ndipo nnapo jiona mweupee pee na a level physics sikuelewa nlikalili kujibia mtihan
 
Sijasema kimevutwa kuelekea shimoni. Nimesema kimedumbukia.
Earth ina rotate na ku revolve kwasababu hapo zamani kabla haija dumbukia kwenye shimo la Jua, Dunia ilikuwa katika motion yake kali sana. Ilivo dumbukia hakuacha motion iliendelea na ndo maana ina spin na ku rotate.
Hata Jua na solar system yetu vina rotate around the centre of the galaxy.
Unamaanisha vortex motion au?
 
Ngoja ntavitafuta

Soft copy zake unazo ! ?
epub version hiyo,link hapo chini
Image result for What is Real? The Unfinished Quest for the Meaning of Quantum Physics

https://anonymousfiles.io/YRNWkQQi/
 
Yaani Quantum mechanics ni shughuli. Haieleweki na inaji contradict yenyewe na ina mazingaumbwe ya kutosha. Ndo maana Einstein mwenyewe aliiogopa ikamchanganya haswa.
Na quantum mechanics ni muhimu sana sana kwasababu inagusa nyanja zote za science kwanzia Biology Chemistry na physics yenyewe.
Tukiweza kuelewa siri za huu ulimwengu vizuri tuta advance sana kama civilization.
Mnanikumbusha mbali maswala ya Hamiliton equations
 
quantum ina wenyewe,,nilisoma kitabu cha The Strange World of Quantum Mechanics
nikaishia kuona nyota nyota tu......
l
 
Kuweza kuprove black hole ina maanisha space haipo wazi ipo kama blanket. Shimo haliwezi kutokea kwenye uwazi. Space ikiwa kama blanket all matter including the sun stars etc zinatengeneza mashimo madogo madogo ambayo yanafanya matter ndogo zaidi zidumbukie.
Hivyo basi Newton was wrong because there is no such thing as gravity but bend in space time. Inayafonya Earth kuifuata Jua sio mvutano, bali Earth imedumbukia kwenye shimo la Jua.

Wewe umeelewa ulichotueleza?
 
Huu uzi ni mzuri sana, sema utapata wachangiaji wachache.

Kwa sababu humu JF wengi walienda shule kucheza chandimu badala ya kusoma.
Hapa kuna shule gani ya ajabu mkuu?
Izo issues za gravity sijui black hole hata kama haujaenda shule ukiwa interested navyo unavifuatilia na kuvijua vizuri kabisa, kama nimpenzi wa kuangalia science movies na science documentaries hayo mavitu unayajua vizuri kabisa nawe unakua msimuliaji.

Kitu ambacho huwezi kifaham kama hujaenda shule ni calculations tu (mathematics, physics kidogo) vingine vilivyo baki vinaitaji kuwa interested full stop.
 
Ina hold significance manake bila Newton tusingeweza kujenga skyscrapers, engineering etc. But still he was wrong, not completely wrong, alishindwa tu kuelewa kwamba hamna mvutano. Na nyakati pia zili changia.
Sorry father of skyscrapers: Louis Sullivan
 
Kuweza kuprove black hole ina maanisha space haipo wazi ipo kama blanket. Shimo haliwezi kutokea kwenye uwazi. Space ikiwa kama blanket all matter including the sun stars etc zinatengeneza mashimo madogo madogo ambayo yanafanya matter ndogo zaidi zidumbukie.
Hivyo basi Newton was wrong because there is no such thing as gravity but bend in space time. Inayafonya Earth kuifuata Jua sio mvutano, bali Earth imedumbukia kwenye shimo la Jua.
Hii nayo ni theory tu!! Ukiangalia sana, Discovery science na theory zao kutoka NASA zinatuharibu akili kabisa.
Hakuna hata kimoja kina exist, sio black hole, Galaxies wala kutuambia kuwa jua ni kubwa kuliko dunia. Yote hayo ni uchafu tu, wala dunia haizunguki jua, shuleni tumefanywa fools, na kweli duniani kuna full of fools. Theory kibao za uongo.
 
Back
Top Bottom