Askofu Stephen Munga: Hatuwezi Kufungwa Midomo Kisa Maendeleo

Askofu Stephen Munga: Hatuwezi Kufungwa Midomo Kisa Maendeleo

Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Acha aseme ni haki yake, kama ambavyo akina mgogo,Lusekelo,kakobe,akina shekhe Mussa,na wengine wanavyotoa maoni yao kwa nyakati tofauti...

Mtu akiwa na maoni tofauti anashambuliwa na kudhihakiwa,na kuhimiza aanzishe chama cha siasa,au agombee...

Lakini akisifia anapepelewa na kuonekana mtu mzuri tu na kugawiwa ubunge wa bure...

Mfano Harmoniza ameimba siasa kusifia,kuanzia state house mpaka chamanj ni full shangwe.. lakini Roma ameimba siasa kwa kukosoa kaambiwa hana digrii,sijui aanzishe chama n.k...

Siasa za kiafrika hovyo kabisaaa
 
Binadamu ni mtu mwenye kuhoji wakati wowote kwenye mambo yanayo husu ustawi wake, hivyo kuhoji kuhusu mstakabali wa utu wake, uhuru wake si kitu rahisi kukizuia kwa sababu fulanifulani.
 
Mkuu imenilazimu kuchangia ila sitachangia kisiasa! Ila ninapenda kukushauri kutopenda siasa kupita kiasi, kiasi kwamba inakufanya unakashifu ama kuwakejeli watz wenzako! Hivi unaposema Tanga wanapenda kujipodoa na wanawake... huoni unawakosea sana watanga? With due respect mkuu acha hizo! Mimi ni Mangi ndugu zangu hawa huwa ninawapita kuelekea nyumbani lakini kamwe siwezi kuwaeleza hayo maneno!

Huyo hana analoelewa hata kidogo.ni. wale watu wa mihemuko.

kwa mfano.muulize mtu anapataje kuwa askofu wa KKKT na pia dayosisi ina waumini wangapi.usipojua nguvu ya askofu wa dayosisi unaweza sema lolote unalotaka bila kufikiri vizuri
 
Mi naona tubaki waislamu na KKKT kwa Wakristu basssssss.
 
Kama huku kwingine ambavyo bila DIGIRII 4 huwezi kuhoji.
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
 
Sasa kaka imeandika kweli sana,hii tafakari yako katika wale wasaidizi na digrii zao nne nne nani au yupi mwenye kuweza kung'amua alichomaanisha MLUPASO?
Pengine hawaoni maudhui katika jico hilo,na wengine waona lakini akilini wanawaza nafasi zao na si mustakabali wa Mtanzania.
Ndio kwa nyongeza watu ni wagumu sana kuelewa. Mkapa alisema mauaji ya Pemba/Zanzibar yalitia doa utawala wake. Maana yake ni kuwa anaonya yanayoendelea sasa na ya kale yameisha. Ishara ya sasa ni kuwa yanaweza kutokea mauaji pale wananchi wakiamua kudai haki zao na hilo kutia doa yaani kuzua balaa kwa utawala wa sasa unaojinasibu na maendeleo kama tunavoelezwa. Uporaji wa haki katoka uchaguzi ni dalili mbaya mbaya mbaya!
 
Rudia comments zako za nyuma ulivyokuwa una mwabudu kila akisema kitu unashangilia kama zezeta. Kama ambavyo sasa unavyoshangilia upuuzi wa huyu Askofu Uchwara wa KKKT siku akibadilisha gia angani na wewe utageuka kama wafanyavyo wananyama wa Serengeti.
Nguruwe wewe
 
Rudia comments zako za nyuma ulivyokuwa una mwabudu kila akisema kitu unashangilia kama zezeta. Kama ambavyo sasa unavyoshangilia upuuzi wa huyu Askofu Uchwara wa KKKT siku akibadilisha gia angani na wewe utageuka kama wafanyavyo wananyama wa Serengeti.
Wewe nguruwe unaweza kumlinganisha Askofu Munga na huyo mropokaji wenu Mzee wa kwichi kwichi?
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Watawala ndo wanaotumia a ujinga wa wana ccm
 
Watawala ndo wanaotumia a ujinga wa wana ccm
Jibu mujarab hilo.
IMG-20191109-WA0000.jpeg
1572191514899.jpeg
 
Binafsi sina askofu yeyote ispokuwa maaskofu wa Kanisa Katoliki basi; hii ni kwa mujibu wa sheria za kanisa (canon laws). Hawa wengine kwa kanisa Katoliki hawana hadhi ya kiaskofu na hawawezi kutoa sakrament yoyote; kilichopo na kinachoonekana, ni kuheshimiana na kutambua kuwa tunaishi katika jamii wa watu wanaotofautiana.
 
Binafsi sina askofu yeyote ispokuwa maaskofu wa Kanisa Katoliki basi; hii ni kwa mujibu wa sheria za kanisa (canon laws). Hawa wengine kwa kanisa Katoliki hawana hadhi ya kiaskofu na hawawezi kutoa sakrament yoyote; kilichopo na kinachoonekana, ni kuheshimiana na kutambua kuwa tunaishi katika jamii wa watu wanaotofautiana.
Hao kina Munga ni maaskofu uchwara.
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Ujinga upi tulionao waumini unaouzungumzia ?
 
Ndio kwa nyongeza watu ni wagumu sana kuelewa. Mkapa alisema mauaji ya Pemba/Zanzibar yalitia doa utawala wake. Maana yake ni kuwa anaonya yanayoendelea sasa na ya kale yameisha. Ishara ya sasa ni kuwa yanaweza kutokea mauaji pale wananchi wakiamua kudai haki zao na hilo kutia doa yaani kuzua balaa kwa utawala wa sasa unaojinasibu na maendeleo kama tunavoelezwa. Uporaji wa haki katoka uchaguzi ni dalili mbaya mbaya mbaya!


Shida ni huyo anaeambiwa hasikii kabisa ni ndio hapo shia inapozidi uwezo
 
Back
Top Bottom