Askofu Stephen Munga: Hatuwezi Kufungwa Midomo Kisa Maendeleo

Askofu Stephen Munga: Hatuwezi Kufungwa Midomo Kisa Maendeleo

Toka wabanwe kwenye hospital yao ya KCMC ikiwemo mapato kupungua baada ya serikali kuwabana kwenye gharama kubwa za matibabu na kuongeza vituo vya afya vya kutosha wamekuwa wakali sana.
Rais alipokutana na viongozi wa dini kuna mmoja wa kkkt kutoka huko alilalamika kitendo cha serikali kujenga vituo vya afya maeneo ambayo wao wanatoa huduma. Rais akawaambia tatizo lao wanatoza gharama kubwa za matibabu ikiwemo ubadhirifu.
Rais akasema serikali inawapa ruzuku na kuwalipa madaktari ila wao gharama zao zipo juu.
Wana mengi sana hao wafanyabiashara maaskofu. Nao ni waathirika wa serikali wa awamu ya tano.
Ulitafiti na ubora wa huduma? Je unayo mifano yenye ushahidi?
 
Anadhani urais wa nchi ni kama kuendesha dayosisi ambayo ndani yake wamejaa nyumbu. Watu wasiohoji wala kutumiwa na mabeberu. Yaani wanakuja wanatoa sadaka wanasepa. Hawahoji sadaka inatumikaje.
Siku ikianza programu ya waumini kuwahoji watakimbia makanisa.
Hicho ulichosema ndio kichochoro cha kuminya demokrasia na kupora haki za binadamu wengine?
 
Nona unamtamka kama maharage, na hicho ndo udhaifu mlio nao; unafikili CCM inao uwezo wa kumfanya padre Nyaisonga, kuwa Padre, Mhashamu Baba Askofu Mkuu na Mwenyekiti wa TEC?
Hilo tunalijua lakini inauwezo wa kum- manipulate. Wewe ulitegemea Gwajima na Kakobe wawe kwenye praise team?
 
Hilo tunalijua lakini inauwezo wa kum- manipulate. Wewe ulitegemea Gwajima na Kakobe wawe kwenye praise team?
Gwajima na Kakobe imebidi waendane na mfumo, baada ya kuwa mtu wao (fisadi lowassa) kushindwa. Walidhani lowassa angeshinda waibe. Soma kitabu kiitwacho NYUMA YA PAZIA kimeandikwa na Dr. Slaa. Wameona bora wanyumbulike maisha yasonge.
 
Gwajima na Kakobe imebidi waendane na mfumo, baada ya kuwa mtu wao (fisadi lowassa) kushindwa. Walidhani lowassa angeshinda waibe. Soma kitabu kiitwacho NYUMA YA PAZIA kimeandikwa na Dr. Slaa. Wameona bora wanyumbulike maisha yasonge.

Basi hujui kitu. Walikuwa blackmailed.
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Umesema?
 
Kwa kweli Mimi ninawaheshimu sana viongozi wangu wa dini hasa wachungaji na maaskofu. Wamekuwa kama vipofu na wakati mwingine ninawafananisha na wale wazee wetu wa enzi za ukoloni walikuwa wakipewa pipi na mtumba wanaiachia nchi ikiibiwa na utumwa.

Leo hii wanaona heri kumpigia makofi na mashairi mazuri kuliko uhai wa watu wanao wahubiria injili. Kwa kweli ni wanafiki wakubwa.


Ni sawa na Jamaa anawanunulia watoto unifomu za shule alafu anawabaka hao watoto alafu hao viongozi wanasema analeta maendeleo.


Ni kweli kabisa utawala huu umeleta maendeleo makubwa sana. reli, umeme , elimu bure nk. OK well and good.

Tuambieni sasa upande wa pili wa awamu wa utawala huuu na kama mkibaki kimya huku watu wakikandamizwa na kuumia. Mtakuwa wanafiki wakubwa kuliko herode na mafarisayo na mnafaa kuchomwa moto.

Wachungaji na maaskofu wetu tunawaamini na tunawaelewa sana. lakini kwa sasa hebu kabla ya kuropoka mtafakari kwanza tunapima kila mnalosema.

Kemeeni maovu msidanganywe na vipipi na heshima butu mnayopewa.

"Ole wao wanaowapotosha wamoja wa wadogo hawa"
 
KKKT Hawapendi unafiki nafiki sana, na kujikomba komba hawana muda
 
Bishop Munga yuko moto sana,anaongea hisia zake zaidi,na kufurahisha hadhira. Niliwahi kushiriki kikao chake,Tume ya Kikristo ya huduma za jamii,CSSC. Kwangu mimi hana kariba ya uongozi kwa cheo chake,hatoi matumaini wala maono ya kifalsafa wakati wa hali ngumu. Hatibu majeraha,anakwangua zaidi kidonda kinachotoa damu tayari, anaongeza hasira iliyokuwepo tayari.
 
HALAFU MKIWA M

HALAFU MKIWA MNATOA MAONI AU MISIMAMO YENU YA KIPUUZI MSEPENDE KUSEMA WATANZANIA SEMA WW NA FAMILIA YAKO AU MKEO MAANA SISI HATUONI KAMA TUMEFUNGWA MIDOMO NA TUNAONA KUNA UHURU WA KUTOSHA UKIACHANA NA HAO WANAOTUMIKA KUTUVURUGIA NCHI UKIWEMO WW UNAEJIFICHA KWENYE KIVULI CHA DINI TENA ACHA KABISA KUJUMLISHA WATU WOTE WA NCHI HII UNAPOTAPIKA MAONI YAKO...KANYAGA TWENDE MAGUFULI ACHANA NA HAWA VIBARAKA
Na wewe usiwe unasema "Sisi tunaona kuna Uhuru wa kutosha", sema wewe ndio unaona kuna Uhuru wa kustoha, sijui unamsemea nani ?, Unapomkosoa Mtu jiangalie kwanza wewe mwenyewe, unaweza kuwa umejinyea hapo ulipo.
 
Na wewe usiwe unasema "Sisi tunaona kuna Uhuru wa kutosha", sema wewe ndio unaona kuna Uhuru wa kustoha, sijui unamsemea nani ?, Unapomkosoa Mtu jiangalie kwanza wewe mwenyewe, unaweza kuwa umejinyea hapo ulipo.
Uhuru upo tena wa kutosha na kama huoni uhuru hama nchi achana na kusemea watu na kama kujinyea huo ni uamuzi wangu hata hicho ninachokinya hukunilisha ww so hauna uhalali wa kunipangia nyau mmoja u
 
Sasa na wewe mbona unarudia kosa hilohilo kwa kuwazungumzia wasiokutuma? "Sisi"! Hakuna aliyekutuma umjibu baba askofu! Au nawe unaiwakilisha familia yako?
Umeona nguvu ya Mungu ilivyokupovusha na kuyaandika usiyotumwa? Migongano ya mawazo na mtazamo huulisha na kuunawirisha ubongo ulio hai! Jifunze hapa!
Kama huyo mvaa kofia unamwita baba ni kwako mm kwangu ni nyau kama wengine nina mtambua Rais wangu tu alieamua kujitoa maisha yake kwa maendeleo ya nchi hii tanzania hahahaaa makofia anahangaika buree..halafu acha kumtaja Mungu kwa vitu vya ajabu hakuna muwakilishi wa Mungu duniani sisi sote ni binadamu tu na wote tuna mwabudu yeye
 
Kwahiyo ukila leo kesho huli sababu ulishakula jana?

Mbona swali lako sio relevant yaani haliendani na ulichooliza

Kwann tunasoma historia ya vita ya dunia wakati ilishapita na kila siku tunasoma kitu hicho hicho

Ule waraka una vitu vinavyoishi unaweza kutumiwa ata kwa chaguzi zijazo....ni ujumbe unaoishi...unaleta habari za kula kwa hiyo ulichouliza hapo we unaweza kukifanya
 
Mkuu imenilazimu kuchangia ila sitachangia kisiasa! Ila ninapenda kukushauri kutopenda siasa kupita kiasi, kiasi kwamba inakufanya unakashifu ama kuwakejeli watz wenzako! Hivi unaposema Tanga wanapenda kujipodoa na wanawake... huoni unawakosea sana watanga? With due respect mkuu acha hizo! Mimi ni Mangi ndugu zangu hawa huwa ninawapita kuelekea nyumbani lakini kamwe siwezi kuwaeleza hayo maneno!
Mbona una hasira? Umeguswa penyewe?
 
Back
Top Bottom