SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,446
Sasa wewe unayejua kwanini unahangaika na watu wanaokuwa blackmailed?
Nilikuwa nakufafanulia kuwa hawako huko kwa ridhaa yao.
Sasa wewe unayejua kwanini unahangaika na watu wanaokuwa blackmailed?
Kwani Jukwaani huwa wanasiasa wanapotoa ahadi za uongo wanahojiwa?Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Tuliza mshono usifumuke tena mamaAkitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Walishamezwa zamanii na PengoRC sijui wanaishi Nchi gani? Hawapo Tz
Mbona umeleta maneno meengi Hata yasiyohusiana na mada?Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji
Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Acha madharau kwa Binadamu wenzio we we.Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji
Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Mtu aliyeshindwa kuajiri miaka minne,aliyeshindwa kupandisha watu madaraja miaka minne,aliyevuruga uchumi biashara zikafungwa ,mtu anayebambikia watu kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ,mtu aliyeharibu mzunguko wa fedha na kuwabambikiza watanzania umaskini wa kutupa hawana uwezo wa kula hata mlo mmoja kwa sababu yake ,nakuuliza Magufuri anaongoza watu au vitu ?Watanzania watakula hiyo miradi we pimbi ,elimu bure we mtoto haijaanza Leo hata huyo Magufuri hajamfikia Nyerere alichofanya elimu bure ,vitabu ,daftari ,kalamu vyote bure ,sio hii yenu ya maigizo .Kwa kukusaidia kiongozi mzuri ni yule anayeboresha maisha ya anaowaongoza sio kuboresha vitu kijana ili apate teni pasenti.Tusipofungwa midomo kwa sababu za maendeleo tutafungwa kwa ajili ya nini Sasa? Ni lini mdomo uliwahi kumtibu mtu? Ni lini haki za binadamu zilimsomesha mtoto shule ya msingi hadi kidato cha nne bure, Ni lini Uhuru wa kujieleza ulijenga kipande cha lami, sulikumbuki demokrasia iliwahi kumuonya mwizi,
Ifike wakati mfunge mabakuli yenu muache Mh. Atutengenezee Tanzania kwa ajili ya Watanzania.
Hawa wakatoliki tangu wawe na vimada akili yote imehamia kwenye lile tunda la EdenAskofu mkuu wa kanisa la kkkt dayosisi ya kaskazini mashariki amesema kuwa watanzania hatuwezi Kufungwa midomo ya kutetea haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, kisa kuna mtu anasema analeta maendeleo. Ameyasema hayo katika sherehe za kutimiza miaka ishirini ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini. Ambapo ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini ilijadiliwa. Bila woga wala kupepesa macho askofu Munga katoa maoni yake hayo ili hali hivi sasa viongozi wengi wa dini wamefunga midomo yao. Napenda nimpongeze baba askofu kwa kusimamia ukweli, Mungu ambariki sana.
Ulitaka awapandishe madaraja wafanyakazi hewa? Wenye vyeti? Au ulitaka wapandishwe cheo walioajiriwa kwasababu ya ushemeji na ujomba?Mtu aliyeshindwa kuajiri miaka minne,aliyeshindwa kupandisha watu madaraja miaka minne,aliyevuruga uchumi biashara zikafungwa ,mtu anayebambikia watu kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ,mtu aliyeharibu mzunguko wa fedha na kuwabambikiza watanzania umaskini wa kutupa hawana uwezo wa kula hata mlo mmoja kwa sababu yake ,nakuuliza Magufuri anaongoza watu au vitu ?Watanzania watakula hiyo miradi we pimbi ,elimu bure we mtoto haijaanza Leo hata huyo Magufuri hajamfikia Nyerere alichofanya elimu bure ,vitabu ,daftari ,kalamu sio hii yenu ya maigizo .Kwa kukusaidia kiongozi mzuri ni yule anayeboresha maisha ya anaowaongoza sio kubiresha vitu kijana I'll apate teni pasenti.
DuhHuyu Mzee anaitendea haki PhD yake sio kama wale wa kuokotwa majalalani.
Na wanasiasa (watawala) wanajivunia ujinga wa wananchi na wanachama wao kutokohoji chochote. Wangeamua kuhoji matumizi yasiyo ya uwazi na ya kufuja ya kodi zao hakika wanasiasa wengi wangekuwa keko au segereaAkitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Ashindwe anayeteka ,anayeua,anayefunga watu kwenye viroba,anayepeleka wakosoaji wake gereza la mukamira,anayesingizia watu kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ndio ashindwe kwa jina la yesu amen.Huu ni uchuro mtupu kwani nani kawafunga midomo mnatafuta kiki za kitoto. Unaongea ili uozo mtupu we hubiri upendo acha kuchochea chuki. Heshimu mamlaka. Ushindwe kwa jina la Yesu
Huu ni uchuro mtupu kwani nani kawafunga midomo mnatafuta kiki za kitoto. Unaongea ili uozo mtupu we hubiri upendo acha kuchochea chuki. Heshimu mamlaka. Ushindwe kwa jina la Yesu
Kama baba askofu kaongea uchuro huu utakuwa Nini?
Hatar kwerrrrrrKama baba askofu kaongea uchuro huu utakuwa Nini?
Angesifia angekuwa askofu kamili ?Sio askofu uchwara waimba mapambio ujumbe umewachoma kisu kwenye mfupa .Wanaufahamu uaskofu wao huko kwao lakini kwa sheria za kanisa hawatambuliki. Ndiyo maana maaskofu wa Katoliki hawapo CCT bali tuna TEC, Afrika tuna AMECEA.
Acheni kukufuru bwana, yani watu wasiongee utafikiri tunatawaliwa na malaika Michael, mbona hata Trump anasakamwa vile ina maana yeye sio rais.Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.