Martin Luther King, aliamua nawe pia amua tu!RC sijui wanaishi Nchi gani? Hawapo Tz
Martin Luther King, aliamua nawe pia amua tu!RC sijui wanaishi Nchi gani? Hawapo Tz
Kwa kuwa waumini wake hawahoji juu ya kanisa vivyo Askofu hatakuwi kuhoji juu ya kinachoendelea nchini mwake?Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Achana na huyo kilazaUjinga upi tulionao waumini unaouzungumzia ?
Huo ni upuuzi tu. CCM mumeweka pandikizi lenu hapo TEC.Wanaufahamu uaskofu wao huko kwao lakini kwa sheria za kanisa hawatambuliki. Ndiyo maana maaskofu wa Katoliki hawapo CCT bali tuna TEC, Afrika tuna AMECEA.
KKKT wapo moto sana!! Hongera sana
Bakwata na nyie semeni neno!
Wewe unawaza ukiwa ndani ya box....ninachokisema mimi ni zaidi ya CCM na porojo zenu. Utaratibu wa sheria za kanisa si wa Tanzania pekee bali dunia nzima.Huo ni upuuzi tu. CCM mumeweka pandikizi lenu hapo TEC.
Ninachosema nyaisonga ni project ya ccmWewe unawaza ukiwa ndani ya box....ninachokisema mimi ni zaidi ya CCM na porojo zenu. Utaratibu wa sheria za kanisa ni wa Tanzania pekee bali dunia nzima.
Kama vile Shoo alivyo project ya CDM.Ninachosema nyaisonga ni project ya ccm
HALAFU MKIWA MNATOA MAONI AU MISIMAMO YENU YA KIPUUZI MSEPENDE KUSEMA WATANZANIA SEMA WW NA FAMILIA YAKO AU MKEO MAANA SISI HATUONI KAMA TUMEFUNGWA MIDOMO NA TUNAONA KUNA UHURU WA KUTOSHA UKIACHANA NA HAO WANAOTUMIKA KUTUVURUGIA NCHI UKIWEMO WW UNAEJIFICHA KWENYE KIVULI CHA DINI TENA ACHA KABISA KUJUMLISHA WATU WOTE WA NCHI HII UNAPOTAPIKA MAONI YAKO...KANYAGA TWENDE MAGUFULI ACHANA NA HAWA VIBARAKAAskofu mkuu wa kanisa la kkkt dayosisi ya kaskazini mashariki amesema kuwa watanzania hatuwezi Kufungwa midomo ya kutetea haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, kisa kuna mtu anasema analeta maendeleo. Ameyasema hayo katika sherehe za kutimiza miaka ishirini ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini. Ambapo ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini ilijadiliwa. Bila woga wala kupepesa macho askofu Munga katoa maoni yake hayo ili hali hivi sasa viongozi wengi wa dini wamefunga midomo yao. Napenda nimpongeze baba askofu kwa kusimamia ukweli, Mungu ambariki sana.
Ona shida uliyonayo! Ulitaka ayazungumzie maoni yaliyo kichwani mwako? Vipi angeunga hoja, ungemtaka agombee? Jifunze kuruhusu mawazo pinzani ili ujijenge!Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Sasa na wewe mbona unarudia kosa hilohilo kwa kuwazungumzia wasiokutuma? "Sisi"! Hakuna aliyekutuma umjibu baba askofu! Au nawe unaiwakilisha familia yako?HALAFU MKIWA M
HALAFU MKIWA MNATOA MAONI AU MISIMAMO YENU YA KIPUUZI MSEPENDE KUSEMA WATANZANIA SEMA WW NA FAMILIA YAKO AU MKEO MAANA SISI HATUONI KAMA TUMEFUNGWA MIDOMO NA TUNAONA KUNA UHURU WA KUTOSHA UKIACHANA NA HAO WANAOTUMIKA KUTUVURUGIA NCHI UKIWEMO WW UNAEJIFICHA KWENYE KIVULI CHA DINI TENA ACHA KABISA KUJUMLISHA WATU WOTE WA NCHI HII UNAPOTAPIKA MAONI YAKO...KANYAGA TWENDE MAGUFULI ACHANA NA HAWA VIBARAKA
Hii kanisa la kisiasa kaskazini tanzania.KKKT.Askofu mkuu wa kanisa la kkkt dayosisi ya kaskazini mashariki amesema kuwa watanzania hatuwezi Kufungwa midomo ya kutetea haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, kisa kuna mtu anasema analeta maendeleo. Ameyasema hayo katika sherehe za kutimiza miaka ishirini ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini. Ambapo ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini ilijadiliwa. Bila woga wala kupepesa macho askofu Munga katoa maoni yake hayo ili hali hivi sasa viongozi wengi wa dini wamefunga midomo yao. Napenda nimpongeze baba askofu kwa kusimamia ukweli, Mungu ambariki sana.
Kwahiyo unahalalisha kupotea na kuteswa kwa raiya wasio nahatia simply wanahoji uhalali wa mambo?. Usilewe madaraka ukadhani unao uhalali wa kuamua haki za wengine. Kumbuka mmeapa kuilinda na kuitete katiba ya JMT ambayo haikubaliani na mnayotendaAkitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Kwahiyo ukila leo kesho huli sababu ulishakula jana?Unataka waseme nini wakati ulishatoka waraka wa kwaresma umeongelea kila kitu rudi kausome tena
Nona unamtamka kama maharage, na hicho ndo udhaifu mlio nao; unafikili CCM inao uwezo wa kumfanya padre Nyaisonga, kuwa Padre, Mhashamu Baba Askofu Mkuu na Mwenyekiti wa TEC?Ninachosema nyaisonga ni project ya ccm
Jikite kwenye mada wapi amesema anataka kugombea urais? Au umeumizwa sana na ukweli mchungu.
Wewe ni mjinga unayekimbia na bendera ya wajinga. Kuna uhusiano gani kati ya kutoa sadaka na kudai haki na heshima ya utu na uhuru wa kujieleza? Una vioja wala huna hoja.Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji
Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji
Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo