Askofu Stephen Munga: Hatuwezi Kufungwa Midomo Kisa Maendeleo

Askofu Stephen Munga: Hatuwezi Kufungwa Midomo Kisa Maendeleo

Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji

Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Jikite kwenye mada,acha personal attacks
 
Wewe demu kwani una elimu gani zaidi ya upambe tu?Unaacha kujadili hoja iliyopo mezani unamjadili mtu? We danga tu la Lumumba watu wanajipigia tu.

Sijapata kuona mtu mwenye mdomo kama yehodaya Halafu Baada ya muda atajifanya anaanzisha nyuzi za kilokole!
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Poyoyo
 
Point yako ipo wapi?
Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji

Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
 
Angesifia utawala ungesema hivyo? Hivi ninyi ma kapuku mlisomea elimu za wapi? Hivi wa asisi wetu wapigania uhuru wangekuwa na mawazo ya kipuuzi ya hivi tungepata uhuru kweli? Ndo maana hadi sasa li nchi haliendelei sababu ya mawazo mgando kama haya Shwaini kabisa
angesifia nawewe ungamnanga kwamba anatafuta kukumbukwa.

siasa ni dili siku hizi.
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Hata utawala huu unajivunia ujinga wa waumini wake kama wewe. Mnaimbishwa maendeleo ambayo hayaonekani. Eti nchi ya viwanda wakati you can't showcase kiwanda hata kimoja. Mmekalia tu ujambazi kuwatishia wenye hela wawape mtambe mmekusanya pesa nyingi. Ujinga wenu endeleeni nao hivyo hivyo.
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Mawazo ya kimbolo haya[emoji86]
 
Litafanywa kuwa genge la wahuni sio kanisa, maana kanisa halitakiwi kujihusisha na mambo ya siasa,
Askofu mkuu wa kanisa la kkkt dayosisi ya kaskazini mashariki amesema kuwa watanzania hatuwezi Kufungwa midomo ya kutetea haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, kisa kuna mtu anasema analeta maendeleo. Ameyasema hayo katika sherehe za kutimiza miaka ishirini ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini. Ambapo ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini ilijadiliwa. Bila woga wala kupepesa macho askofu Munga katoa maoni yake hayo ili hali hivi sasa viongozi wengi wa dini wamefunga midomo yao. Napenda nimpongeze baba askofu kwa kusimamia ukweli, Mungu ambariki sana.
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Imeingia hiyo inapotakiwa,kudadeki.
 
Huo ndio mwisho wako wa kufikiria?
Ukweli upi alio simamia?
Sema ameamua kuchagua upande wa kushabikia!
Maana Siasa ni kama mchezo wa soka ambao unapande tatu, Yaani Wachezaji, Mashabiki, na Waamuzi,
Sasa Mwamuzi anapo chagua kushabikia upande mmoja, basi ajiandae na asira ya mashabiki wa upande wa pili wasio tayari kushuudia wakihujumiwa wazi wazi na Mwamuzi
 
Askofu mkuu wa kanisa la kkkt dayosisi ya kaskazini mashariki amesema kuwa watanzania hatuwezi Kufungwa midomo ya kutetea haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, kisa kuna mtu anasema analeta maendeleo. Ameyasema hayo katika sherehe za kutimiza miaka ishirini ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini. Ambapo ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini ilijadiliwa. Bila woga wala kupepesa macho askofu Munga katoa maoni yake hayo ili hali hivi sasa viongozi wengi wa dini wamefunga midomo yao. Napenda nimpongeze baba askofu kwa kusimamia ukweli, Mungu ambariki sana.
Mhashamu Baba Askofu Munga, hiyo serikali unayoisema kila mara na yenyewe ikianza kukusema, hautabaki salama!
 
Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji

Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Wewe in dk huyo na anajuwa anachoongea siyo kama nyie ni kusifu na kuabudu tu.
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Bila shaka wewe ndiye mjinga kuhoji usiyoyajua! Sijui kwa nini baba yako hakutumia condom kuzuia kuzaliwa kiumbe fake kama wewe!
 
Huyo ndio ninayemjua kiongozi wa kiroho.
Cha kushangaza maringo ,kejeli, majigambo na dharau za watawala ni dola baaaasi. Mwenzao anajuta alichokifanya Zanzibar, waliopo wanatishia Wananchi kitu hicho hicho!
 
Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji

Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo

Huu utetezi inaonekana ww una degree 4.
 
Back
Top Bottom