Glas
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,242
- 1,190
Nafikiria kuhamia hili kanisa. Maana wengine mbwembwe tu! HawasemiKKKT wapo moto sana!! Hongera sana
Nafikiria kuhamia hili kanisa. Maana wengine mbwembwe tu! HawasemiKKKT wapo moto sana!! Hongera sana
Ukweli upi alio simamia?Askofu mkuu wa kanisa la kkkt dayosisi ya kaskazini mashariki amesema kuwa watanzania hatuwezi Kufungwa midomo ya kutetea haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, kisa kuna mtu anasema analeta maendeleo. Ameyasema hayo katika sherehe za kutimiza miaka ishirini ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini. Ambapo ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini ilijadiliwa. Bila woga wala kupepesa macho askofu Munga katoa maoni yake hayo ili hali hivi sasa viongozi wengi wa dini wamefunga midomo yao. Napenda nimpongeze baba askofu kwa kusimamia ukweli, Mungu ambariki sana.
Jikite kwenye mada, jibu hoja zake with proof beyond reasonable doubt, acha kuongelea watu. Lumumba mnashindiwa wapi ndio maana mnafanya ujinga wa kuenguwa watu kipumbavu kwenye uchaguzi yaani hamna hoja kabisa. Si ujibu hoja jifunzeni huko Lumumba kuattack points sio kuattack mtu Pimbi wa kijani.Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji
Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji
Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Halafu hana hata alichofanya cha ajabu mpaka asifiwe zaidi ya kuvurunda na kuwatia umaskini wa kutupa watanzania.Huyo anaetaka kusifiwa tu ujinga muda wote, atueleze ndege alizozikuta toka akiwa waziri zilienda wapi? mbn hazisemwi, au aliziuza? kama alivyouza nyumba za serikali?
Ukweli upi alio simamia?Askofu mkuu wa kanisa la kkkt dayosisi ya kaskazini mashariki amesema kuwa watanzania hatuwezi Kufungwa midomo ya kutetea haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, kisa kuna mtu anasema analeta maendeleo. Ameyasema hayo katika sherehe za kutimiza miaka ishirini ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini. Ambapo ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini ilijadiliwa. Bila woga wala kupepesa macho askofu Munga katoa maoni yake hayo ili hali hivi sasa viongozi wengi wa dini wamefunga midomo yao. Napenda nimpongeze baba askofu kwa kusimamia ukweli, Mungu ambariki sana.
Tulia sindano ikuingie vizuri.Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
Hizi ndio PhD za ukweli sio za kudesa za maganda ya korosho halafu unajidai kufukuza vyeti feki wakati na wewe unavyo hivyo hivyo.Huyu Mzee anaitendea haki PhD yake sio kama wale wa kuokotwa majalalani.
Anayetaka kutufunga midomo kwa kigezo cha kutuletea maendeleo is incompetent individual na hajui analolifanya na hata maana ya hicho anachoita maendeleo hakijuiAskofu mkuu wa kanisa la kkkt dayosisi ya kaskazini mashariki amesema kuwa watanzania hatuwezi Kufungwa midomo ya kutetea haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, kisa kuna mtu anasema analeta maendeleo. Ameyasema hayo katika sherehe za kutimiza miaka ishirini ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini. Ambapo ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini ilijadiliwa. Bila woga wala kupepesa macho askofu Munga katoa maoni yake hayo ili hali hivi sasa viongozi wengi wa dini wamefunga midomo yao. Napenda nimpongeze baba askofu kwa kusimamia ukweli, Mungu ambariki sana.
Lakini amesema ukweliAskofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji
Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Ukweli upi alio simamia?
Sema ameamua kuchagua upande wa kushabikia!
Maana Siasa ni kama mchezo wa soka ambao unapande tatu, Yaani Wachezaji, Mashabiki, na Waamuzi,
Sasa Mwamuzi anapo chagua kushabikia upande mmoja, basi ajiandae na asira ya mashabiki wa upande wa pili wasio tayari kushuudia wakihujumiwa wazi wazi na Mwamuzi
Ukweli upi alio simamia?
Sema ameamua kuchagua upande wa kushabikia!
Maana Siasa ni kama mchezo wa soka ambao unapande tatu, Yaani Wachezaji, Mashabiki, na Waamuzi,
Sasa Mwamuzi anapo chagua kushabikia upande mmoja, basi ajiandae na asira ya mashabiki wa upande wa pili wasio tayari kushuudia wakihujumiwa wazi wazi na Mwamuzi
Toka wabanwe kwenye hospital yao ya KCMC ikiwemo mapato kupungua baada ya serikali kuwabana kwenye gharama kubwa za matibabu na kuongeza vituo vya afya vya kutosha wamekuwa wakali sana.KKKT wapo moto sana!! Hongera sana
Anadhani urais wa nchi ni kama kuendesha dayosisi ambayo ndani yake wamejaa nyumbu. Watu wasiohoji wala kutumiwa na mabeberu. Yaani wanakuja wanatoa sadaka wanasepa. Hawahoji sadaka inatumikaje.Jikite kwenye mada wapi amesema anataka kugombea urais? Au umeumizwa sana na ukweli mchungu.
Miaka kumi ya jk ya kuchonga mdomo imeisaidia nini nchi. ? Mbona madudu kila kona. Hao wabunge wenyewe walikuwa wanalpwa na safari hawaendi.Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji
Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Demokrasia ndio maendeleo au upuuzi wa ufipa?Maendeleo ni pesa za walipa kodi siyo pesa binafsi za mtukufu wala Hisani, maendeleo ni haki ya watanzania chini ya CCM hakuna maendeleo awamu huu baada ya ukandamizaji demokrasia kuzidi kuliko awamu zote zilizopita
Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji
Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Huwezi elewa. Jibu pana sana hilo.HIVI WEWE UNAJIELEWA?? UNAELEWA ULICHOJIBU???
Ama kweli U.J.I.N.G
A NI MZIGO[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji2][emoji2]