Askofu Stephen Munga: Hatuwezi Kufungwa Midomo Kisa Maendeleo

Askofu Stephen Munga: Hatuwezi Kufungwa Midomo Kisa Maendeleo

Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji

Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Wewe demu kwani una elimu gani zaidi ya upambe tu?Unaacha kujadili hoja iliyopo mezani unamjadili mtu? We danga tu la Lumumba watu wanajipigia tu.
 
Mkuu imenilazimu kuchangia ila sitachangia kisiasa! Ila ninapenda kukushauri kutopenda siasa kupita kiasi, kiasi kwamba inakufanya unakashifu ama kuwakejeli watz wenzako! Hivi unaposema Tanga wanapenda kujipodoa na wanawake... huoni unawakosea sana watanga? With due respect mkuu acha hizo! Mimi ni Mangi ndugu zangu hawa huwa ninawapita kuelekea nyumbani lakini kamwe siwezi kuwaeleza hayo maneno!
Huyo dada ni jamvi la wageni hapo Lumumba ndiyo maana hana adabu. Makahaba huwa hawana adabu.
 
Nimeishia hapo "askofu wa kanisa la ...."
Back to point, kuna umuhimu haya makanisa na viongoziwao kuwa regulated. They are just getting too comfortable
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
We kenge tu. Nà jiwe anaringià upopoma wa watu kama wew wa kukubali kila kitu kama dada opa wa sinza. Nyambafu
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.
HIVI WEWE UNAJIELEWA?? UNAELEWA ULICHOJIBU???

Ama kweli U.J.I.N.G
A NI MZIGO😂😂😁😁😃😃
 
Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji

Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo
Akili mnazipeleka wapi kwenye kujibu hoja ?!. Mbona balaa !!
 
Nimeishia hapo "askofu wa kanisa la ...."
Back to point, kuna umuhimu haya makanisa na viongoziwao kuwa regulated. They are just getting too comfortable
Hivi huko akili mnaziacha wapi kujikita kwenye hoja ?!
Tayari wewe unakishambulia kanisa & watumishi wake badala ya hoja !!.
Hebu jadili hoja yake
 
RC. Wananiangusha sana kanisa langu, wamekubali kukaa kimya sio sawa
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.

Katoa FACT yeye,kupaniki upaniki wewe!
 
Akitaka agombee na yeye awe rais. Hawa wanajivunia ujinga wa waumini kutohoji chochote. Laiti kama waumini wangekuwa wanahoji na kuwabana huko makanisani basi wangewafungia waumini wengi sana ama wangekimbiwa na waumini wengi tu.

Dumbass-idiot
 
Askofu wa Tanga huyo .Tanga wanapenda kuchonga midomo na wanawake kujipodoa kuliko maerndeleo.Asilimia kubwa ya watu wa Tanga Ukiona kasoma Ni fundi baskeli,fundi wa kutengeneza koroboi,kuziba mapipa yaliyochakaa na sufuria zilizotoboka na kutengeneza majiko ya kupikia na ushonaji

Dayosisi yake ndio inaoongoza kwa kuwa na mapato kidogo kuliko dayosisi yoyote ya KKKT sababu kwao Maendeleo sio kiti Cha maana hivyo kufanya waumini wasiwe na uwezo mkibwa wa kutoa sadaka sababu hata askofu anaona chammuhimu.kuchonga mdomo kuongelea vitu visivyohusiana na maendeleo

Ni wazi ww ni product ya vichakani
 
Nimeishia hapo "askofu wa kanisa la ...."
Back to point, kuna umuhimu haya makanisa na viongoziwao kuwa regulated. They are just getting too comfortable
Ukweli unabaki pale pale, awamu hii imevunja sana haki za binadamu, katiba, sheria, kanuni, imevunja demokrasia na misingi ya utawala bora, we Pimbi inamaana hujui kama kuna watu wamepotezwa awamu hii, wametekwa, wameuawawa, wamebambikiziwa kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi? Halafu unataka baba askofu asifie? We mzima kweli kichwani?
 
Back
Top Bottom