johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Askofu mkuu wa Kanisa la KKKT nchini Dr Shoo ameiomba serikali ya Rais Samia kuwapunguzia kodi katika shule na hospitali za taasisi za kidini kwani mxigo wa kodi ni mkubwa na umewaelemea.
Askofu Shoo ametoa ombi hilo mbele ya waziri mkuu mh Majaliwa katika ibada ya kumuweka kitimi Askofu Mbali wa dayosisi ya kaskazini mashariki anayechukua nafasi ya askofu Dkt. Munga aliyestaafu.
Askofu Shoo amesema CCT itaandika barua rasmi serikali kuhusiana na suala hilo
Kazi Iendelee!
Askofu Shoo ametoa ombi hilo mbele ya waziri mkuu mh Majaliwa katika ibada ya kumuweka kitimi Askofu Mbali wa dayosisi ya kaskazini mashariki anayechukua nafasi ya askofu Dkt. Munga aliyestaafu.
Askofu Shoo amesema CCT itaandika barua rasmi serikali kuhusiana na suala hilo
Kazi Iendelee!