johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,011
- 142,043
Viongozi wa Dini kwa kauli Moja wameitaka Serikali kusikiliza maoni ya Wananchi kuhusu Miswada
Mkuu wa Kikosi Kazi cha Viongozi wa Dini Askofu Dr Shoo amesema wao wataendelea kutoa Elimu ya Uraia kwa Wananchi
Naye naibu Mufti ametaka uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi ili kudumisha amani na kuaminiana miongoni mwa Viongozi na Wananchi kwani kuna maisha kila baada ya Uchaguzi
Chanzo: Upendo TV
Mkuu wa Kikosi Kazi cha Viongozi wa Dini Askofu Dr Shoo amesema wao wataendelea kutoa Elimu ya Uraia kwa Wananchi
Naye naibu Mufti ametaka uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi ili kudumisha amani na kuaminiana miongoni mwa Viongozi na Wananchi kwani kuna maisha kila baada ya Uchaguzi
Chanzo: Upendo TV