Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Askofu Mwamakula amesema Uhuru wa wa kutoa maoni umelindwa na katiba, hivyo hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kumdhuru mtu sababu ya kutoa maoni yake.
Askofu Mwamakula amesema yoyote atakaetoa maoni au kunung'unika mkata huu wa bandari ikitokea akadhurika kutekwa au kuuliwa kwa namna yoyote ile viongozi waliotoa vitisho pamoja na serikali watajibika kwa hili.
Askofu Mwamakula ameyasema hayo katika mkutano mkutano na waandishi wa habari akiwa na Dr. Salaa, pamoja na Mawakili Mwabukusi na Madeleka wanazungumza, leo Julai 12, 2023.
Askofu Mwamakula amesema yoyote atakaetoa maoni au kunung'unika mkata huu wa bandari ikitokea akadhurika kutekwa au kuuliwa kwa namna yoyote ile viongozi waliotoa vitisho pamoja na serikali watajibika kwa hili.
Askofu Mwamakula ameyasema hayo katika mkutano mkutano na waandishi wa habari akiwa na Dr. Salaa, pamoja na Mawakili Mwabukusi na Madeleka wanazungumza, leo Julai 12, 2023.