Mapambano na CCM hayataki lelemama. Ni Kwa maneno, mwonekano au vitendo? Hakupaswi kuwapo shaka popote.
"Ni Mwabukusi, Mdude, Madeleka, Lissu, Slaa, Mwamakula, Ponda, au wa namma hiyo?"
Wapi lugha zao zikabadilika? Wapi wasiwepo kwenye mstari wa moto? Wapi wakatishika? Wapi wakaghairi kwenye wanachokiamini? Au wapi wakaishiwa hoja?
"Ama kwa hakika walipo tupo."
Aluta continua!
====
"Wekeni hiyo mikataba wazi, na muiweke leo sio kesho. Ili haya yaliyoandikwa na mnayotaka tuyaamini tuweze kuyaona wote kwa mamcho.
"Kama serikali inasema ilizingatia maoni ya watu, serikali itakuwa inasema uongo kwa sababu wananchi wa Watanzania hawajawahi kutoa maoni yoyote kuhusu mikataba ya HGA kwasababu haipo, ndio imesainiwa juzi, sasa hayo maoni wameyatoa wapi? Wananachi walikuwa wanatoa maoni kuhusu IGA, kwahiyo kama maoni yamezingatiwa hayo maoni yatakuwa ni kuhusu IGA, na kama yamezingatiwa kweli tuonyeshwe mkataba mpya wa IGA uliosaniwa ukiwa na hayo maoni ya hao wananchi.
"...Lakini mkiisoma IGA, DP World ametafsiriwa tu kama kampuni inayotoka Dubai inayomilikiwa na serikali ya Dubai, lakini hakuna kokote DP World imetajwa kwenye mkataba kama mwakilishi wa serilikali ya Dubai kwenye uendeshaji wa shughuli za bandari za tanzania. Hana mamlaka yoyote na wala serikali ya Dubai haimjui.
"Na ndio maana aliyesaini mkataba kwa niaba ya serikali ya Dubai kuhusiana na mkataba wa IGA ni Chief Executive Officer of the Ports Customs and Free Zones Cooperation, sio hata DP World. Yaani DP World anachomekwa chomekwa katika mazingira ambayo hata kesho kutwa likitokea la kutokea hamuwezi kumuwajibisha.
"Mkataba unazibana pande mbili zilizosaini, DP World haijasaini na hii ndio katiba ya uwekezaji pale bandarini.
"Kwahiyo ituambie huyu DP World ni nani, ni akaina nani hawa DP World?"
"Ni Mwabukusi, Mdude, Madeleka, Lissu, Slaa, Mwamakula, Ponda, au wa namma hiyo?"
Wapi lugha zao zikabadilika? Wapi wasiwepo kwenye mstari wa moto? Wapi wakatishika? Wapi wakaghairi kwenye wanachokiamini? Au wapi wakaishiwa hoja?
"Ama kwa hakika walipo tupo."
Aluta continua!
====
"Kama serikali inasema ilizingatia maoni ya watu, serikali itakuwa inasema uongo kwa sababu wananchi wa Watanzania hawajawahi kutoa maoni yoyote kuhusu mikataba ya HGA kwasababu haipo, ndio imesainiwa juzi, sasa hayo maoni wameyatoa wapi? Wananachi walikuwa wanatoa maoni kuhusu IGA, kwahiyo kama maoni yamezingatiwa hayo maoni yatakuwa ni kuhusu IGA, na kama yamezingatiwa kweli tuonyeshwe mkataba mpya wa IGA uliosaniwa ukiwa na hayo maoni ya hao wananchi.
"...Lakini mkiisoma IGA, DP World ametafsiriwa tu kama kampuni inayotoka Dubai inayomilikiwa na serikali ya Dubai, lakini hakuna kokote DP World imetajwa kwenye mkataba kama mwakilishi wa serilikali ya Dubai kwenye uendeshaji wa shughuli za bandari za tanzania. Hana mamlaka yoyote na wala serikali ya Dubai haimjui.
"Na ndio maana aliyesaini mkataba kwa niaba ya serikali ya Dubai kuhusiana na mkataba wa IGA ni Chief Executive Officer of the Ports Customs and Free Zones Cooperation, sio hata DP World. Yaani DP World anachomekwa chomekwa katika mazingira ambayo hata kesho kutwa likitokea la kutokea hamuwezi kumuwajibisha.
"Mkataba unazibana pande mbili zilizosaini, DP World haijasaini na hii ndio katiba ya uwekezaji pale bandarini.
"Kwahiyo ituambie huyu DP World ni nani, ni akaina nani hawa DP World?"